Kandoro aonya waharibifu miundombinu
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wananchi wasio wazalendo, ambao hubomoa kwa makusudi kingo za madaraja katika barabara kuu kwa lengo la kupata...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Teknolojia ya kisasa kukabili wanyamapori waharibifu
WIZARA ya Maliasili na Utalii iko katika mazungumzo na kampuni moja kwa kushirikisha jamii ili kuweza kutumia teknolojia ya kisasa kukabiliana na wanyamapori wanaoharibu mazao. Waziri wa Maliasili na Utalii,...
10 years ago
Habarileo22 Sep
Wataka sheria ziwabane waharibifu wa mazingira
SERIKALI imetakiwa kuweka sheria kali na kuzitumia dhidi ya wote wanaoharibu mazingira na kusababisha mabadiliko ya tabia nchi ambayo yana athari kubwa kwa binadamu.
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia
10 years ago
StarTV06 Apr
Viongozi wa kimila Mbozi waazimia kuwadhibiti waharibifu vyanzo vya maji.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Viongozi wa kimila katika Kata za Hezya na Nyimbili wilayani Mbozi mkoani Mbeya wameamua kuisaidia Serikali katika kuwadhibiti waharibifu wa vyanzo vya maji na mazingira kwa kutumia kinga na adhabu za kimila.
Hatua hiyo imedaiwa kuwa itasaidia kuyaweka mazingira katika uasili wake na hivyo kuihakikishia jamii upatikanaji endelevu wa huduma ya maji safi na salama.
Katika mahojiano na Star Tv muda mfupi baada ya uzinduzi wa mradi mkubwa wa maji unaovihusisha vijiji...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Kandoro awavaa madereva alfajiri
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
RC Kandoro ajitwika zigo Sokoine
HATUA ya Chama cha Soka mkoani hapa (MREFA), kwa kushirikina na wamiliki wa Uwanja wa Sokoine kushindwa kuukarabati umeishtua Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa na kuamua kuingilia kati kwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
AQRB iwafute wababaisha — Kandoro
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao wamekuwa wakichafua sifa...