AQRB iwafute wababaisha — Kandoro
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao wamekuwa wakichafua sifa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Chalenji iwafute machozi Watanzania
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6DJu-ZY1SsM/VBmNnKlpX_I/AAAAAAAGkF8/YyvwAB5Ha04/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Rais Wa awamu ya Pili Mh. Ali Hassan Mwinyi kuwa mgeni rasmi Mkutano wa 22 wa AQRB
Rais mstaafu wa Awamu ya pili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Ali Hassan Mwinyi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa 22 wa Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi (AQRB) utakaofanyika Septemba 18 2014.
Msajili wa Bodi ya AQRB Bwana Jehad Abdalah Jehad amesema hayo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Bwana Jehad alisema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kuendeleza wataaluma wa fani ya...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
RC Kandoro ajitwika zigo Sokoine
HATUA ya Chama cha Soka mkoani hapa (MREFA), kwa kushirikina na wamiliki wa Uwanja wa Sokoine kushindwa kuukarabati umeishtua Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa na kuamua kuingilia kati kwa...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Kandoro awavaa madereva alfajiri
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kandoro aonya waharibifu miundombinu
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wananchi wasio wazalendo, ambao hubomoa kwa makusudi kingo za madaraja katika barabara kuu kwa lengo la kupata...
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kandoro: Viongozi wanakwamisha uhifadhi mazingira
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amesema kampeni ya uhifadhi wa mazingira inakuwa ngumu kufikia malengo kutoka na baadhi ya viongozi waliyopewa dhamana ya kusimamia kuwa vinara wa kuvunja...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mohamed Said Abdallah na Saadan Abdu Kandoro
10 years ago
Habarileo04 Jun
Kandoro aingilia kati sakata la mjamzito
SAKATA la unyanyasaji aliofanyiwa mjamzito Judith Komba siku ya kujifungua katika hospitali ya Rufaa kitengo cha wazazi cha Meta, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuagiza wauguzi waliokuwa zamu siku ya tukio wachukuliwe hatua stahiki.