Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chalenji iwafute machozi Watanzania

Mashindano ya Kombe la Chalenji yanayoshirikisha nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati yanaendelea mjini Addis Ababa, Ethiopia yakishirikisha nchi 11 zinazounda kanda hiyo ya Cecafa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

JACKLINE JUMA SAKILU: Mpiganaji JWTZ aliyewafuta machozi Watanzania Kilimanjaro Marathon 2014

MBIO za Kilimanjaro Marathon 2014 zimefanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro jana, huku ikishuhudiwa Mtanzania pekee, Jackline Juma Sakilu akiipeperusha vema bendera ya Tanzania katika mbio za Nusu Marathoni Km 21....

 

11 years ago

Tanzania Daima

AQRB iwafute wababaisha — Kandoro

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri  Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta  wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao  wamekuwa wakichafua sifa...

 

9 years ago

Mwananchi

Uganda kidume Chalenji 2015

Timu ya Uganda imethibitisha ubora wake unaoifanya iwe kinara wa soka kwa nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kulingana na viwango vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) inakoshika nafasi ya 68 duniani baada ya kutwaa Kombe la Chalenji mwaka 2015.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyojionea Cecafa Chalenji 2013

MICHUANO ya soka kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) maarufu kama Cecafa Chalenji Cup iliyoanza Novemba 27 hadi Desemba 12, mwaka huu, ikishirikisha jumla ya timu...

 

10 years ago

Mwananchi

Chalenji bado yaitesa Cecafa

Mashindano ya Chalenji yanalitesa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wakiwaza nini cha kufanya baada ya kukosekana kwa mdhamini wa mashindano hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ilikoanzia michuano ya Kombe la Chalenji

Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati, (CECAFA) linaelezwa kuwa ni kati ya mMabaraza makongwe barani Afrika katika soka.

 

9 years ago

Habarileo

Uganda bingwa mpya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Rwanda ‘Amavubi’ bao 1-0.

 

10 years ago

Mwananchi

Cecafa yahaha kuiokoa Chalenji

 Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa ) linahangaika kusaka mwenyeji wa mashindano ya Kombe la Chalenji mwaka huu yaliyopangwa kuanza mwishoni mwa Novemba.

 

9 years ago

Habarileo

Zanzibar yaanza vibaya Chalenji

TIMU ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes jana ilianza vibaya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Burundi katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Addis Ababa, Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani