Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zuhura Ally: Tunajihudumia wenyewe timu ya taifa

Huwezi kuitaja timu ya taifa ya mpira wa wavu ya wanawake bila kulitaja jina la nahodha wa timu hiyo, Zuhura Ally kwani ni mchezaji anayecheza bila kukata tamaa hata kama timu yake inafungwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa Stars mpaka sasa inaongoza 3-0 dhidi ya timu ya Benin.

"Uzalendo kwanza" Shabiki wa timu ya Taifa Stars akishangilia  Mshambliaji wa Timu ya Taifa Stars,Thomas Ulimwengu akijaribu kumtoka Beki wa Timu ya Benin wakati wa Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas inaongoza bao 3-0 mpaka sasa. Kiungo Mshambuliaji wa Taifa Stars,Amri Kiemba akiipatia timu yake bao la pili katika Mchezo wao wa Kirafiki unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo,Taifa Stas...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA CHESS YAKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA KWENDA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NCHINI NORWAY

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia), akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Spicenet, Vinay Choundry ambaye ni muasisi wa mchezo huo hapa nchini, kushoto ni mchezaji Emmanuel Mwaisumbe. Safari hiyo imedhaminiwa na Tanzania Chess...

 

11 years ago

Michuzi

matapeli walamba email ya Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Ally Mayay Tembele

Mchezaji wa zamani wa Yanga na Taifa Stars Ally Mayay Tembele (pichani) anawaarifu ndugu, jamaa na marafiki pamoja na jamii ya Tanzania kwa jumla kwamba email address yake ya maya@yahoo.comimeibwa na matapeli na kuanza kutumika vibaya (phishing) kwa kudai kuwa yeye yupo Ukraine na amekumbwa  na matatizo hivyo anaomba msaada wa pesa haraka.


Mbaya zaidi, katika email yake hiyo Ally Mayay Tembele aliwahi kuambatanisha nyaraka nyeti kadhaa ikiwemo pasipoti ambazo wezi hao wanazitumia kama alama...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikapu wataja timu ya Taifa

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) limewaita wachezaji 18 kuunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Kikapu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

18 wateuliwa timu ya taifa kikapu

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Basi la timu ya taifa TZ lakamatwa

Basi la timu ya taifa ya soka TZ, limekamatwa kutokana na deni la shilingi milioni 140.

 

11 years ago

GPL

TIMU 2O BORA ZA TAIFA DUNIANI

1. Germany (+1) 2. Argentina (+3) 3. Netherlands (+12) 4. Colombia (+4) 5. Belgium (+6) 6. Uruguay (+1) 7. Brazil (-4) 8. Spain (-7) 9. Switzerland (-3) 10. France (+7) 11. Portugal (-7) 12. Chile (+2) 13. Greece (-1) 14. Italy (-5) 15. USA (-2) 16. Costa Rica (+12) 17. Croatia (+1) 18. Mexico (+2) 19. Bosnia and Hercegovina (+2) 20. England (-10) ...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa

Mwishoni mwa mwezi Februari, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilivunja mkataba na kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen na kukikabidhi kikosi cha Stars kwa muda chini ya mMkurugenzi wa uUfundi wa TFF, Salum Madadi akisaidiwa na kocha Hafidh Badru kutoka Zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani