Manaiki Awachezesha Mastaa Hawa Maarufu Movie ya ‘Wake up’
PRODYUZA maarufu Bongo, Manaiki Sanga, hivi karibuni aliitambuLisha filamu yake mpya ya ‘Wake Up’ ambayo amewachezesha karibu mastaa wote marufu Bongo.
Akiongea na waandishi wa Habari kwenye Hoteli ya Atriums jijini Dar es Salaam, Manaiki alisema filamu hiyo ina ubora wa hali ya juu na imekuja kufunika filamu zote za Bongo ambazo zimewahi kuchezwa.
Aliongeza kuwa filamu hiyo imesimamiwa na muongozaji maarufu mwenye ujuzi wa juu ambaye amebobea kwenye kazi ya uongozaji wa filamu, Leah...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMANAIKI AWACHEZESHA MASTAA MAARUFU MOVIE YA ‘WAKE UP’
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu
December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri wa kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta amekiri kuwa katika harakati za mwisho za kwenda kucheza soka barani katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Samatta ambaye December 30 alikiri kuwa bado hajasaini na Genk kama inavyoripotiwa ila mambo yanaenda vizuri, […]
The post Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu appeared first on...
9 years ago
GPLWATOTO WANAVYOWAHENYESHA MASTAA HAWA
10 years ago
GPLMASTAA HAWA WAMECHEZEA MIOYO YAO!
9 years ago
GPLMASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA
10 years ago
Bongo Movies27 Mar
Hawa Ndio Mastaa Hodari Kuficha Mimba
Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.
Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia.
Lakini wapo ambao wakinasa, hata shughuli zao zinasimama. Hutawaona mtaani, wakiulizwa...
10 years ago
Vijimambo16 Jan
Mastaa wa Bongo Movie ni “Masnichi”
9 years ago
Mtanzania16 Sep
MC Simon awaponda mastaa wa Bongo Movie
NA SHARIFA MMASI
MSHEREHESHAJI mahiri nchini, Simon Mbwana, maarufu kwa jina la MC Simon, amewatupia lawama waandaaji na watunzi wa filamu za kibongo nchini kwamba hawana upeo mpana katika utunzi wao.
Alisema katika filamu yake anayotarajia kuiachia muda wowote ikikamilika itaonyesha mfano wa kuigwa na wakongwe hao katika utunzi na uchezaji anaoamini utaondoa pengo kubwa lililopo katika utunzi wa hadithi za tamthilia za kibongo.
“Tanzania ipo nyuma kimaendeleo katika filamu kwa kuwa si...