Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manji amwandikia barua Aveva

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji. Na Saleh Ally
MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji, ameandika barua kwenda katika makao makuu ya Simba na juu ya bahasha kuna jina la Evans Aveva. Barua hiyo ya Manji kwa Aveva imetua klabuni hapo na kupokewa na imeelezwa ina ujumbe mzito ambao umeweka historia katika soka nchini katika kipindi hiki.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Manji amwandikia barua Magufuli

Mwenyekiti wa kampuni ya Quality Group, Yusuf Manji amemwandikia barua Rais John Magufuli kumuelezea mchakato wa zabuni aliyoshinda kuendeleza ufukwe wa Coco maarufu kama Coco Beach uliopo Kinondoni.

 

10 years ago

Habarileo

Kafulila amwandikia barua Spika

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR - Mageuzi).MBUNGE wa Kigoma Kusini (NCCRMageuzi), David Kafulila, amemwandikia barua Spika wa Bunge, Anne Makinda kumuomba aitake Serikali kuwasilisha hoja juu ya sakata la mabehewa feki ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili ijadiliwe na wabunge.

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete

Mgombea urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amemwandikia barua Rais Jakaya Kikwete kumwomba wakutane ili kuzungumzia hali ya kisiasa ya Zanzibar, baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2015 kufutwa.

 

10 years ago

GPL

AUNT AMWANDIKIA WARAKA MKE WA MTU

Na IMELDA MTEMA Siku chache baada ya msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel kuvamiwa na kundi la watu akiwa nyumbani kwa Wema Sepetu akitaka kuadabishwa kwa madai ya kutembea na mume wa mtu, msanii huyo ameamua kumuandikia waraka mwenye mume. Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel akipozi. Aunt alifikia uamuzi wa kuandika waraka huo baada ya siku chache baadaye tena kuandikwa habari juu ya kunaswa jijini Mwanza akiwa na mnenguaji...

 

11 years ago

GPL

Aveva kufuru

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akipokelewa na mashabiki wa timu ya Simba SC. Omary Mdose na Said Ally
KAZI imeanza babake! Wakati Yanga wakiwa bize na mazoezi baada ya ujio wa Kocha Marcio Maximo, upande wa pili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva, naye ameanza kuonyesha makali kwa vitendo. Aveva ambaye amechukua madaraka hivi karibuni, ameanza kwa kulipa mishahara ya wachezaji wote wa timu hiyo na benchi la ufundi,...

 

11 years ago

TheCitizen

Aveva: My vision for Simba SC

One of Simba Sports Club’s presidential candidates, Evans Aveva has said that he will turn the club into a winning outfit locally and internationally if elected.

 

11 years ago

Mwananchi

Ni Tupa au Aveva leo

Wanachama wa Simba leo watapata fursa ya kuchagua viongozi wao wapya katika Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo utakaofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

GPL

Aveva historia Simba

Na Waandishi Wetu
SIMBA imeweka historia ya kuwa na kiongozi wa kwanza wa juu ambaye atakuwa akitambulika kwa cheo cha rais na siyo mwenyekiti tena kama ilivyokuwa awali, hiyo ni baada ya Evans Aveva kushinda kwa kishindo katika nafasi hiyo kwenye Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, jana. Aveva amepata ushindi katika uchaguzi huo uliofanyika kwenye Ukumbi wa Bwalo la Polisi jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na...

 

11 years ago

TheCitizen

It’s Aveva vs Tupa for presidency

Evans Aveva, a key member of Friends of Simba, goes head to head with Andrew Tupa in the battle for the Msimbazi Street club’s presidency at Oysterbay Police Officers Mess today.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani