Kafulila amwandikia barua Spika
MBUNGE wa Kigoma Kusini (NCCRMageuzi), David Kafulila, amemwandikia barua Spika wa Bunge, Anne Makinda kumuomba aitake Serikali kuwasilisha hoja juu ya sakata la mabehewa feki ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili ijadiliwe na wabunge.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Manji amwandikia barua Magufuli
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSAx6pF-uOFJfV7-kDw7cGGyxjwbWtd2RX1zqDEbSSx*uCN3o-HMfE9Usw5hjDeLRS2UkzJ7*gt4bRxM9aqzuQe/2.jpg?width=650)
Manji amwandikia barua Aveva
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Spika awaandikia barua Chenge, Ngeleja
![Anne Makinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/anne-makinda-300x225.jpg)
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda
NA AGATHA CHARLES
KUTOKANA na kile kilichoonekana kama kugoma kufanya uchaguzi wa wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge ambazo wenyeviti wao wamehusishwa na fedha za Escrow kwa kutaka kwanza mwongozo wa Spika, Kamati hizo zimeagizwa kufanya uchaguzi huo kabla ya kuanza Mkutano wa Bunge Jumanne wiki ijayo.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilillah, alisema tayari hadi jana Spika wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JJ8Y4H2yKus/XtyQ1KmP0aI/AAAAAAAC6-0/3VooJ736xy8gkV-1jb50lElZG6QpjBtfQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS TRUMP ALIMWA BARUA NA SPIKA WA BUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-JJ8Y4H2yKus/XtyQ1KmP0aI/AAAAAAAC6-0/3VooJ736xy8gkV-1jb50lElZG6QpjBtfQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Katika barua hiyo ambayo iliandikwa tarehe 4 Juni, Spika Pelosi amesema kuwa wameshuhudia wanajeshi kwenye ngazi za Lincoln Memorial na sehemu nyingine za jiji la Washington, yalipo makao makuu ya taifa hilo.
==>>Tafsiri ya barua ya Spika Nancy Pelosi kwa Donald...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Tume yasubiri barua ya Spika kuhusu Zitto
TUME ya Uchaguzi imesema hata ikipokea barua kutoa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya kumvua uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe haina uwezo wa kuchukua hatua yoyote mpaka watakapopokea barua kutoka kwa Spika wa Bunge.
10 years ago
Vijimambo18 Mar
Spika: Sijapokea barua ya kumvua Zitto ubunge.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Makinda-18March2015.jpg)
Spika Makinda aliwaambia waandishi wa habari nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana kuwa ofisi yake haiwezi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4g9cM*ACd6rtLWBtJHDy*V9oUHmU1*OLvINynr8zDKGhTtvD-jGkiTqkIWkff6hjsA7swtDCz2FcZLexTXFgAH/aunty.jpg)
AUNT AMWANDIKIA WARAKA MKE WA MTU
11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10