Manji amwandikia barua Magufuli
Mwenyekiti wa kampuni ya Quality Group, Yusuf Manji amemwandikia barua Rais John Magufuli kumuelezea mchakato wa zabuni aliyoshinda kuendeleza ufukwe wa Coco maarufu kama Coco Beach uliopo Kinondoni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSAx6pF-uOFJfV7-kDw7cGGyxjwbWtd2RX1zqDEbSSx*uCN3o-HMfE9Usw5hjDeLRS2UkzJ7*gt4bRxM9aqzuQe/2.jpg?width=650)
Manji amwandikia barua Aveva
10 years ago
Habarileo27 Jun
Kafulila amwandikia barua Spika
MBUNGE wa Kigoma Kusini (NCCRMageuzi), David Kafulila, amemwandikia barua Spika wa Bunge, Anne Makinda kumuomba aitake Serikali kuwasilisha hoja juu ya sakata la mabehewa feki ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) ili ijadiliwe na wabunge.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
Maalim Seif amwandikia barua Rais Kikwete
9 years ago
Bongo504 Dec
Barua kwa Dkt John Magufuli: Nisamehe, sikukuamini
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Dear Uncle Magufuli,
Japo salamu hii hufaa kutamkwa kwa mdomo, lakini acha tu niseme Shikamoo Uncle Magu. Pole na kazi. Mimi sijambo kabisa. Nilitaka kukupigia simu lakini haina chaji nimeipeleka kwenye duka la Mtifuamchwa kuchaji ? si unajua ndiye mtu pekee mwenye jenereta hapa kijijini kwetu!
Uncle najua unaielewa vyema hali yangu lakini kama unijuavyo mimi huwa sipendi kukuomba chochote labda kama ukiamua kunitumia. Kusema na ule ukweli maisha ni magumu sana. Jana nilikula mlo mmoja tu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s72-c/BIBI.png)
RAIS MAGUFULI AJIBU BARUA YA KIKONGWE, AAMURU APEWE EKARI, BIBI AMSHUKURU (+VIDE)
![](https://1.bp.blogspot.com/-RBaG8KAU0Jc/XuSaL0NnsrI/AAAAAAABMWY/iNoJPmgVK4cXvW-t2YivmimSPzRJpBTIQCLcBGAsYHQ/s400/BIBI.png)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pXWI1kxUZH4g9cM*ACd6rtLWBtJHDy*V9oUHmU1*OLvINynr8zDKGhTtvD-jGkiTqkIWkff6hjsA7swtDCz2FcZLexTXFgAH/aunty.jpg)
AUNT AMWANDIKIA WARAKA MKE WA MTU
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
9 years ago
Michuzi12 Nov
BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11215818_1645853955683038_3394542812123695413_n.jpg?oh=954015a4699df4509dcc0343f155dbec&oe=56EE4B6D)
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...