Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANONGORO NYERERE KUTANGAZA KUWANIA URAIS

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muhongo kutangaza nia kuwania urais leo

Profesa Sospter MuhongoWAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Membe: Watanzania subirini kwa hamu siku yangu ya kutangaza nia ya kuwania Urais

membe 2

Na theNkoromo Blog

 WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa  Kimataifa, Bernard Membe, amewaomba Watanzania kusubiri kwa hamu siku ya kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Membe amesema, amepanga kutangaza nia hiyo,  Juni 6, mwaka huu,  na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo kwakuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo ikiwemo kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.

Waziri Membe ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

Urais 2015 kumekucha CCM: Makongoro Nyerere naye kutangaza nia Butiama


Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Tanzania ambaye pia ni baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ajulikanaye kama Makongoro Nyerere naye anatarajia kutangaza nia ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari imebainisha kuwa Makongoro Nyerere atatangaza nia ya kugombea urais kupitia chama cha Mapinduzi ifikapo tarehe moja mwezi wa sita mwaka huu yaani siku ya jumatatu.
Makongoro nyerere ameungana na Waziri Prof. Mark...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA KUTANGAZA NIA JUMAPILI HII YA KUWANIA URAIS,TANZANIA ITASIMAMA KWA MASAA 3 PALE DODOMA

Ndugu,Watanzania,Napenda kuwajulisha kuwa Tar.31.05.2015 siku ya Jumapili,Nitazungumza na Watanzania kutoka Makao Makuu ya Nchi-Dodoma.Mazungumzo yangu nanyi yatajikita kuomba ridhaa ndani ya Chama ya Kugombea nafasi ya Urasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Tukiwa tunaianza safari ya Kuelekea Miaka 50 tena ya Taifa letu,Naomba usipitwe na Mazungumzo yangu yatakayokuwa LIVE kupitia Redio na Televison Mbalimbali hapa Nchini. Muda: Saa 9 Alasiri hadi 12 JioniMahali:Chuo Cha Mipango...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Magige Nyerere naye ajitosa kuwania urais



NA KHADIJA MUSSA MTOTO mwingine wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Magige Nyerere, amejitokeza na kuonyesha nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Magige ni mtoto wa pili wa Mwalimu Nyerere kuonyesha nia ya kuwania uras baada ya hivi karibuni Makongoro Nyerere, kutajwa kuwa ni miongoni mwa watu wanaowania nafasi hiyo.  Mke wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere amebariki watoto hao kuwania nafasi hiyo na kusema ni raia halali wa Tanzania na...

 

10 years ago

Vijimambo

Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Steve Nyerere Kutangaza Nia Leo, Viwanja Vya Kinondoni Bwawani

Tuungane rasmi nami katika kutangaza nia kinondoni. Ndugu zangu punde mtakuwa na mkutano mkubwa kinondoni bwawani. Sehemu ambayo mimi nimezaliwa na kusoma na kuishi apo. So natangaza nia rasmi kuwa naweza kuwa mfano kwa vijana wenzangu. Kinondoni tumekuwa na mateso mbali mbali.

Kwa mfano mafuriko akuna kiongozi aliyeweza tatua, bara bara, mikopo midogo midogo kwa kina mama, ajila kwa vijana, ongezeko la ada mashuleni kupanda nani anakemea , uchafu wa wilaya, tiba kwa wazazi wetu leo mzazi...

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA WA PCCB AFA KATIKA AJALI, ALIKUWA ANAWAHI KUTANGAZA NIA YA KUWANIA UBUNGE HUKO NJOMBE

AFISA wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, PCCB, Conrad Mtenga (53) maarufu kama Chillangamsafa amefariki katika ajali kwenye barabara kuu ya Mbeya-Iringa.
Watu wawili wamejeruhjiwa kwenye ajali hiyo iliyotokea eneo la Tanangozi, baada ya gari dogo aina ya Nissan Patrol, mali ya AfriCarriers, kugongana uso kwa uso na Lori aina ya Scania.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Pudenciana Protas alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani