Manyara wahitimisha wiki ya maziwa
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani akivishwa skafu mjini Babati Mkoani Manyara jana wakati alipohitimisha maadhimisho ya wiki ya 18 ya maziwa ambayo kitaifa ilihitimishwa mkoani Manyara.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Elaston Mbwilo na viongozi wengine wakifuatilia hitimisho la maadhimisho ya wiki ya 18 ya maziwa ambayo kitaifa ilihitimishwa jana Mjini Babati na Dk Kamani.
Ofisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W7ThP0v8F1o/Xs-sqnt2KQI/AAAAAAALr2s/veubRDlc9PUxmHNvh8TZsiP1uj3q4jMHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a088403c-00ef-46e8-af77-a8f2fe34bad2.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AZINDUA WIKI YA MAZIWA, KUANZISHA KAMPENI YA KUKAGUA WANAOKUNYWA MAZIWA YA UNGA
SERIKALI imesema itaanzisha kampeni ya kukagua Ofisi za Umma na binafsi ambazo zinatumia maziwa ya unga badala ya maziwa halisi yanayotengenezwa nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega leo jijini Dodoma wakati akizindua wiki ya maziwa nchini ambayo itafanyika hadi Juni 1.
Naibu Waziri Ulega amesema ni jambo la aibu kuona watanzania wakitumia maziwa ya unga na kuacha yale yanayotengenezwa na watanzania wenzao jambo ambalo amesema...
10 years ago
VijimamboMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAFIKIA KILELE MJINI DODOMA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Bendera azindua zoezi la unywaji maziwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MFf3C_0LJRk/XtTAHAxMqTI/AAAAAAALsMw/5S_VR9VgFwUGrbP9bIOUGGa4BTjb-jeHwCLcBGAsYHQ/s72-c/_MG_3342.jpg)
Benki ya NMB yaadhimisha Wiki ya Maziwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-MFf3C_0LJRk/XtTAHAxMqTI/AAAAAAALsMw/5S_VR9VgFwUGrbP9bIOUGGa4BTjb-jeHwCLcBGAsYHQ/s640/_MG_3342.jpg)
NMB Madaraka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vF2JWiXd1hM/XtTAGFjfqMI/AAAAAAALsMo/lc6HT9u79IEViz28nXazGuTIT24S-JBiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_3340.jpg)
NMB Bank House
![](https://1.bp.blogspot.com/-QXEzyFVF-eo/XtTAFxcbHAI/AAAAAAALsMk/CD2FODx0jDwUWKggAJFMIRjyqc8Jr78oQCLcBGAsYHQ/s640/Kenyatta.jpg)
NMB Kenyatta
![](https://1.bp.blogspot.com/-HGknPLuFYP0/XtTAGMkyQcI/AAAAAAALsMs/Wa715VgHqyUMPOHryZCAB07v25QoTGLDwCLcBGAsYHQ/s640/N%2B4.jpg)
NMB Clock Tower
Meneja Uhusiano Mwandamizi wa NMB Kanda ya Kaskazini anayeshughulikia Kilimo- Oscar Rwechungura alisema katika kuadhimisha Wiki ya Maziwa kwa kushirikiana na wadau wengine katika sekta ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Hjnz7Ee4w20/XsfNnjNkDzI/AAAAAAALrRg/lV1NxFW_Vx0gXNUD2hoJZI0ww7y9pCiRQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.29%2BPM.jpeg)
WIKI YA MAZIWA KUADHIMISHWA JUNI 1, JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hjnz7Ee4w20/XsfNnjNkDzI/AAAAAAALrRg/lV1NxFW_Vx0gXNUD2hoJZI0ww7y9pCiRQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.29%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q_rAcW2GkYA/XsfNnnJ9QKI/AAAAAAALrRo/AQVkLPia-bAAwYRz06EAV0jco5avEVAcgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.33%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2s0ow1gNsRA/XsfNnoQIxdI/AAAAAAALrRk/qDfubZC6q1YN5JN-myxTRcJDRnLO5bW5gCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-22%2Bat%2B3.08.45%2BPM.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji Maziwa ya Mama Kitaifa yafikia kilele mjini Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kuhitimisha Maadhimisho ya 23 ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama kitaifa kwenye viwanja vya Nane Nane Nzuguni Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog).
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi zawadi Mwanafunzi Margreth Mussa wa shule ya msingi Maria de Matias baada ya kushinda shindano la kuandika insha ya lishe na unyonyeshaji wakati wa sherehe za kilele cha Maadhimisho ya 23 ya...
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA 23 YA WIKI YA UNYONYESHAJI MAZIWA YA MAMA KITAIFA YAZINDULIWA LEO MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-4IZUGwwXXiE/Vb-G6Q8AOmI/AAAAAAAHtpo/mUuUddlVw4s/s640/NA.%2B6.NEF.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHIRIKI MAONYESHO YA 18 YA WIKI YA MAZIWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eZvj5_SV0k8/XtPkDSVsHII/AAAAAAALsKg/C6QZwhQDGzAy3gHq1V4ut4P3qHC3fCwiACLcBGAsYHQ/s72-c/eb310d63-56b3-49ac-8c35-84c5f2a0675d.jpg)
DC KATAMBI, BODI YA MAZIWA WAGAWA MAZIWA KWA WATU WENYE UHITAJI JIJINI DODOMA
WATANZANIA wametakiwa kujiwekea Utamaduni wa kunywa maziwa kwa wingi na siyo kusubiri mpaka waandikiwe na Daktari kwani unywaji wa maziwa hujenga afya.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi leo wakati wa ziara yake ya kugawa maziwa kwa watu wenye mahitaji kwa kushirikiana na Bodi ya Maziwa ambapo wamegawa maziwa Lita 1650 yenye thamani ya Sh Milioni Nane.
DC Katambi amesema Ofisi yake itaendelea kuhamasisha unywaji wa maziwa pamoja na kutoa...