Manyika: Father is my mentor
The up and coming Simba Sports Club goal keeper, Peter Manyika, has said that his father’s encouragement helped him a lot when his team drew 0-0 with their rivals, Dar es Salaam Young Africans in their Mainland Premier league derby at the National Stadium in Dar es Salaam.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen30 Jul
Marathon stars struggle with loss of their mentor
9 years ago
MichuziKUMBUKUMBU YA MIAKA 8 YA BABA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU NA BIRTHDAY YA FATHER KIDEVU
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki 'Father Kidevu' alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki.
Unakumbukwa na wengi sana maana...
10 years ago
GPLOkwi, Manyika wazua balaa Morogoro
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Peter Manyika atoa ‘single’ ya tatu
NA MWANDISHI WETU
KOCHA wa makipa wa Timu ya Taifa, Peter Manyika, ameachia wimbo wa tatu aliouita ‘Karudi Baba Mmoja’ akinukuu vitabu vya zamani vilivyokuwa vikifundishiwa shuleni.
Wimbo huo wenye mahadhi ya Zouk ameimba kwa ustadi mkubwa akieleza kisa kizima cha baba huyo aliyerudi toka safari ya mbali aliyewataka watoto wake wakitaka urithi wataupata shambani.
“Niliamua kuimba kwa mafunzo, lengo likiwa ni kuwataka vijana wafanye kazi wasifikirie mali za kure bure badala ya kufanya kazi,...
11 years ago
MichuziMahojiano ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan
Amezungumza mengi kuhusu ziara yake ya Ulaya iliyoanza mwezi wa nne, maonyesho aliyofanya, kazi alizorekodi na pia watu aliowashirikisha kwenye albamu yake mpya ijayo.
Amezungumzia IMANI ya RASTA na pia MUZIKI WA TANZANIA kwa ujumlaAmeongea mengi memaKARIBU UJIUNGE NASI
9 years ago
Bongo511 Nov
Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia
Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.
Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.
Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.
Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...
10 years ago
MichuziMWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO
Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam.
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...
11 years ago
TheCitizen22 Jun
I am who I am because of my father
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Stupid Father yahujumiwa
FILAMU ya Stupid Father iliyotarajiwa kusambazwa mwanzoni mwa wiki iliyopita, imeghushiwa na kuingizwa sokoni kabla ya wahusika kufanya hivyo na kusababisha iliyo halali isisambazwe. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...