Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manyika: Father is my mentor

The up and coming Simba Sports Club goal keeper, Peter Manyika, has said that his father’s encouragement helped him a lot when his team drew 0-0 with their rivals, Dar es Salaam Young Africans in their Mainland Premier league derby at the National Stadium in Dar es Salaam.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Marathon stars struggle with loss of their mentor

Branson died last Saturday during a morning run in Iten

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA 8 YA BABA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU NA BIRTHDAY YA FATHER KIDEVU

Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) Mroki Mroki-Father KidevuSekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika nane sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani.
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki 'Father Kidevu' alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki.
Unakumbukwa na wengi sana maana...

 

10 years ago

GPL

Okwi, Manyika wazua balaa Morogoro

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Duadi Julian, Morogoro
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mrundi, kipa Peter Manyika wameonekana kivutio kikubwa mkoani hapa tangu walipofika. Timu hiyo ipo Morogoro kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa.Wachezaji hao wameonekana kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa timu hiyo...

 

9 years ago

Mtanzania

Peter Manyika atoa ‘single’ ya tatu

Manyika PeterNA MWANDISHI WETU

KOCHA wa makipa wa Timu ya Taifa, Peter Manyika, ameachia wimbo wa tatu aliouita ‘Karudi Baba Mmoja’ akinukuu vitabu vya zamani vilivyokuwa vikifundishiwa shuleni.

Wimbo huo wenye mahadhi ya Zouk ameimba kwa ustadi mkubwa akieleza kisa kizima cha baba huyo aliyerudi toka safari ya mbali aliyewataka watoto wake wakitaka urithi wataupata shambani.

“Niliamua kuimba kwa mafunzo, lengo likiwa ni kuwataka vijana wafanye kazi wasifikirie mali za kure bure badala ya kufanya kazi,...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan

JhikoMan akitumbuiza kwenye Tamasha la Majahazi 2013Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan aliyejiunga nasi moja kwa moja kutoka Helsinki Finland mwishoni mwa mwezi Julai.
Amezungumza mengi kuhusu ziara yake ya Ulaya iliyoanza mwezi wa nne, maonyesho aliyofanya, kazi alizorekodi na pia watu aliowashirikisha kwenye albamu yake mpya ijayo.
Amezungumzia IMANI ya RASTA na pia MUZIKI WA TANZANIA kwa ujumlaAmeongea mengi memaKARIBU UJIUNGE NASI

 

9 years ago

Bongo5

Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.

Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.

12093349_1679673918915048_223428952_n

Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...

 

10 years ago

Michuzi

MWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO



Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja  na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam. 
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...

 

11 years ago

TheCitizen

I am who I am because of my father

Zuhura Karya, 55, takes pride in the fact that she paved the way for other girls in her village to go to school. At a time when it was a weird thing in her community to send girls to school, Zuhura and her six sisters were the exception.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stupid Father yahujumiwa

FILAMU ya Stupid Father iliyotarajiwa kusambazwa mwanzoni mwa wiki iliyopita, imeghushiwa na kuingizwa sokoni kabla ya wahusika kufanya hivyo na kusababisha iliyo halali isisambazwe. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani