Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Okwi, Manyika wazua balaa Morogoro

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Duadi Julian, Morogoro
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mrundi, kipa Peter Manyika wameonekana kivutio kikubwa mkoani hapa tangu walipofika. Timu hiyo ipo Morogoro kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa.Wachezaji hao wameonekana kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa timu hiyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!

Na waandishi wetu WAKATI zikiwa zimesalia siku 35 kuelekea uchaguzi mkuu, kwa nyakati tofauti wagombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamezua balaa kufuatia watu kugombana baada ya kutofautiana kwa hoja za ushabiki, Risasi Jumamosi limesheheni matukio motomoto. Katika tukio la awali, maeneo ya Mbagala- Charambee, jijini Dar mapaparazi wetu...

 

11 years ago

GPL

Mashabiki Yanga wazua balaa Boko

Ibrahimu Mussa BAADHI ya mashabiki wa Yanga wamelalamikia kitendo cha uongozi wa klabu hiyo kutumia kiasi kikubwa kulipia uwanja ambao wanafanyia mazoezi klabu hiyo ya Boko Veterani kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, kwa madai kuwa wana uwezo wa kujenga wa kwao. Mashabiki hao walikuwa wakifuatilia mazoezi hayo na kushuhudia namna uwanja huo ulivyo na ‘pichi’ nzuri, hali...

 

11 years ago

Mwananchi

Mume na mke wazua balaa Bunge la Katiba

>Chama cha National League for Democracy (NLD) Zanzibar kimemtaka, Rais Jakaya Kikwete kufuta uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia chama hicho kwa madai kuwa walioteuliwa katika chama hicho ni mtu na mkewe na kufanya uteuzi huo kukosa sura ya Muungano.

 

10 years ago

TheCitizen

Manyika: Father is my mentor

The up and coming Simba Sports Club goal keeper, Peter Manyika, has said that his father’s encouragement helped him a lot when his team drew 0-0 with their rivals, Dar es Salaam Young Africans in their Mainland Premier league derby at the National Stadium in Dar es Salaam.

 

9 years ago

Mtanzania

Peter Manyika atoa ‘single’ ya tatu

Manyika PeterNA MWANDISHI WETU

KOCHA wa makipa wa Timu ya Taifa, Peter Manyika, ameachia wimbo wa tatu aliouita ‘Karudi Baba Mmoja’ akinukuu vitabu vya zamani vilivyokuwa vikifundishiwa shuleni.

Wimbo huo wenye mahadhi ya Zouk ameimba kwa ustadi mkubwa akieleza kisa kizima cha baba huyo aliyerudi toka safari ya mbali aliyewataka watoto wake wakitaka urithi wataupata shambani.

“Niliamua kuimba kwa mafunzo, lengo likiwa ni kuwataka vijana wafanye kazi wasifikirie mali za kure bure badala ya kufanya kazi,...

 

11 years ago

Michuzi

Mahojiano ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan

JhikoMan akitumbuiza kwenye Tamasha la Majahazi 2013Karibu katika mahojiano kati ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan aliyejiunga nasi moja kwa moja kutoka Helsinki Finland mwishoni mwa mwezi Julai.
Amezungumza mengi kuhusu ziara yake ya Ulaya iliyoanza mwezi wa nne, maonyesho aliyofanya, kazi alizorekodi na pia watu aliowashirikisha kwenye albamu yake mpya ijayo.
Amezungumzia IMANI ya RASTA na pia MUZIKI WA TANZANIA kwa ujumlaAmeongea mengi memaKARIBU UJIUNGE NASI

 

9 years ago

Bongo5

Manyika Jr na Naima wapanga kufunga ndoa, aeleza misukosuko waliyopitia

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Mlinda mlango wa Simba, Peter Manyika Jr na mchumba wake Naima wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.

12081027_1651638835115791_2014890630_n

Wawili hao wamepitia misukosuko mingi kwenye uhusiano wao ikiwa ni pamoja na kuwa kwenye hatari kuvunjika kwa uhusiano wao kutokana na shinikizo la wazazi na uongozi wa Simba.

Klabu ya Simba iliwahi kumuonya mchezaji huyo baada ya kuwashambulia mashabiki wa soka kwenye mtandao waliodai kuwa Naima ni chanzo cha kushuka kwa kiwango chake uwanjani.

12093349_1679673918915048_223428952_n

Akiongea kwenye kipindi cha Uhondo cha EFM...

 

10 years ago

Michuzi

MWAMEJA, MANYIKA, PAWASA, LUNYAMILA NA MMACHINGA WAITWA KUIVAA REAL MADRID, MAKOCHA WAO MKWASA, MINZIRO NA JULIO



Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
MAKIPA maarufu waliowahi kuwika nchini, Mohamed Mwameja  na Peter Manyika Peter wamejumuishwa katika kikosi cha Tanzania All Stars kitakachomenyana na magwiji wa Real Madrid ya Hispania, Agosti 23, mwaka huu jijini Dar es salaam. 
Chini ya makocha Charles Boniface Mkwasa ‘Master’ na Wasaidizi Freddy Felix Minziro na Jamhuri Kihwelo ‘Julio’, Daktari Mwanandi Mkwankemwa na viongozi Mtemi Ramadhani, Hassan Mnyenye, Omar Gumbo na Hamisi Kisiwa kikosi hicho kitaingia...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkuu wa Mkoa Morogoro aongoza mamia kumzika Mke wa Mbunge a Jimbo la Morogoro Kusini

Mkuu wa mkoa akimpeleka Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mh  Innocent Kalogeris  kupokea mwili wa mpendwa mke wake,kulia ni dada wa mbunge huyo.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Dr Joel Bendera Leo amewaongoza mamia ya wananchi wa mkoa wa Morogoro kumzika Mke wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Mh lnocenti Kalogeris watu mbali mbali wakiwemo wabunge,wakuu wa mikoa wa staafu na watu mashuhuri wamefurika nyumbani kwa mbunge huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani