Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mume na mke wazua balaa Bunge la Katiba

>Chama cha National League for Democracy (NLD) Zanzibar kimemtaka, Rais Jakaya Kikwete kufuta uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia chama hicho kwa madai kuwa walioteuliwa katika chama hicho ni mtu na mkewe na kufanya uteuzi huo kukosa sura ya Muungano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Bunge la Katiba: Posho zazua balaa

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

Na Fredy Azzah, Dodoma

WAKATI vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini hapa, kundi la wajumbe wa Bunge hilo limeibuka na kulalamikia hatua ya kutolipwa posho za kujikimu.

Kutokana na hali hiyo    wajumbe hao ambao hawakuwa tayari kutajwa majina yao gazetini, wamedai wamekuwa wakiishi maisha ya tabu hali inayochangiwa na Ofisi ya Bunge Maalumu kushindwa kuwalipa posho za siku 11...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!

Na waandishi wetu WAKATI zikiwa zimesalia siku 35 kuelekea uchaguzi mkuu, kwa nyakati tofauti wagombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamezua balaa kufuatia watu kugombana baada ya kutofautiana kwa hoja za ushabiki, Risasi Jumamosi limesheheni matukio motomoto. Katika tukio la awali, maeneo ya Mbagala- Charambee, jijini Dar mapaparazi wetu...

 

10 years ago

GPL

Okwi, Manyika wazua balaa Morogoro

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi. Na Duadi Julian, Morogoro
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mrundi, kipa Peter Manyika wameonekana kivutio kikubwa mkoani hapa tangu walipofika. Timu hiyo ipo Morogoro kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa leo kwenye Uwanja wa Jamhuri mkoani hapa.Wachezaji hao wameonekana kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa timu hiyo...

 

11 years ago

GPL

Mashabiki Yanga wazua balaa Boko

Ibrahimu Mussa BAADHI ya mashabiki wa Yanga wamelalamikia kitendo cha uongozi wa klabu hiyo kutumia kiasi kikubwa kulipia uwanja ambao wanafanyia mazoezi klabu hiyo ya Boko Veterani kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, kwa madai kuwa wana uwezo wa kujenga wa kwao. Mashabiki hao walikuwa wakifuatilia mazoezi hayo na kushuhudia namna uwanja huo ulivyo na ‘pichi’ nzuri, hali...

 

9 years ago

GPL

MKE WA PETER WA PQUARE AFAGILIWA BALAA!

Mke wa mwanamuziki wa Nigeria Peter, Lola Omotayo. Lagos, Nigeria SEPTEMBA 2, mwaka huu ilikuwa ni siku nzuri ya kusherehekea kuzaliwa kwa mke wa staa wa muziki nchini Naija anayeund la P-Square, Peter, Lola Omotayo ambapo staa huyo alimfagilia balaa. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Peter alishea na mashabiki wake kumtakia heri ya kuzaliwa kwa kuandika maneno matamu.“Maisha yangu bila ya wewe ni sawa na mto pasipo...

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE WATEKWA!

KIJANA aliyetambulika kwa jina la Dickson Mathias (35), na msichana aliyejulikana kwa jina la Mariam Kimaya wanadaiwa kutekwa kwa nyakati tofauti baada ya kufunga ndoa ya siri katika Kanisa la KKT, Tegeta jijini Dar, Mei Mosi, 2012, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Mariam Kimaya anayedaiwa kutekwa. Akizungumza na gazeti hili kwa majonzi makubwa, dada wa Dickson, Aneth Mbaga alisema tukio hilo lilitokea baada ya Dickson...

 

11 years ago

GPL

MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI

Stori: Haruni Sanchawa
TIMBWILI! Jamaa mmoja na mkewe ambao wote hawakujulikana majina mara moja wamezua varangati la aina yake mahakamani kisa kikiwa ni kufutiwa kesi na kushindwa kuheshimu amri za maafande. Polisi wakimdhibiti jamaa huyo. Tukio hilo la aina yake lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar baada ya mume huyo kufutiwa kesi iliyokuwa ikimkabili ya unyayasaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke amkimbia mume kingono

Palikuwa na kituko cha mwaka kilichotukia katika kituo cha polisi bulenga, wakati mwanamke mmoja alipokuwa akiomba poo kwa mumewe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani