Mume na mke wazua balaa Bunge la Katiba
>Chama cha National League for Democracy (NLD) Zanzibar kimemtaka, Rais Jakaya Kikwete kufuta uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia chama hicho kwa madai kuwa walioteuliwa katika chama hicho ni mtu na mkewe na kufanya uteuzi huo kukosa sura ya Muungano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la Katiba: Posho zazua balaa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Fredy Azzah, Dodoma
WAKATI vikao vya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba vikiendelea mjini hapa, kundi la wajumbe wa Bunge hilo limeibuka na kulalamikia hatua ya kutolipwa posho za kujikimu.
Kutokana na hali hiyo wajumbe hao ambao hawakuwa tayari kutajwa majina yao gazetini, wamedai wamekuwa wakiishi maisha ya tabu hali inayochangiwa na Ofisi ya Bunge Maalumu kushindwa kuwalipa posho za siku 11...
10 years ago
GPL
MAGUFULI, LOWASSA WAZUA BALAA!
11 years ago
GPL
Okwi, Manyika wazua balaa Morogoro
11 years ago
GPL
Mashabiki Yanga wazua balaa Boko
10 years ago
GPL
MKE WA PETER WA PQUARE AFAGILIWA BALAA!
11 years ago
GPL
MUME, MKE WATEKWA!
11 years ago
GPL
MUME, MKE VARANGATI MAHAKAMANI
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Mke amkimbia mume kingono