Maofisa 16 wa FIFA kufikishwa kizimbani
ZURICH, USWISI
MAOFISA 16 wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), wanatarajia kufikishwa kizimbani kutokana na kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi wa kina ambao unafanywa na waendesha mashtaka wa nchini Marekani.
Wanaotarajiwa kufikishwa kizimbani ni pamoja na maofisa wa ngazi ya juu wa Kamati ya uongozi ambao wapo madarakani kwa sasa na wale waliostaafu, akiwemo Rais wa Chama cha Soka cha Honduras, Rafael Callejas.
Mwanasheria Mkuu nchini Marekani, Loretta Lynch, amesema katika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Waliopora kufikishwa kizimbani Malawi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
MAOFISA WANNE WA NEMC KIZIMBANI WAKIKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-TCaf6Y-pv2E/XtjznNk7jzI/AAAAAAALsn4/SIuOBnExtNgbswhEsoaux0JYoGiDYchGgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-04%2Bat%2B3.40.15%2BPM.jpeg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TVMAOFISA wanne wa Baraza la usimamizi wa Mazungira (NEMC) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka tisa yakiwemo ya kughushi, kula njama, utakatishaji fedha na kuisababishia Mamlaka hasara ya Sh. Milioni 18.5..
Katika hati ya mashtaka...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s72-c/blatter.jpg)
SEPP BLATTER NA MAOFISA SABA WA FIFA MATATANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-v9Wwq3ayhKU/VW8r6mpRq_I/AAAAAAAAB5c/j561VoJAXTU/s400/blatter.jpg)
Rais huyo ambaye alipewa madaraka ya kuongoza Shirikisho hilo siku chache zilizopita ikiwa ni awamu ya tano, kingine kilichochukua Headlines kwa sasa ni ishu ya Sepp Blatter kufanyiwa uchunguzi na maafisa wa Marekani ili kujua kama anahusika na tuhuma za rushwa ambazo zinawahusu maafisa wengine saba wa FIFA.Hata...
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4ufkKvtc-1I/VVohLeKZ54I/AAAAAAAHYIM/y20D4E2BYRY/s72-c/download.jpg)
Maofisa wanane wa Benki Kuu Tanzania (BOT) kizimbani kwa mashitaka 14 ya kufoji vyeti vya kidato cha nne
![](http://1.bp.blogspot.com/-4ufkKvtc-1I/VVohLeKZ54I/AAAAAAAHYIM/y20D4E2BYRY/s640/download.jpg)
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
RAIA WA CHINA KUFIKISHWA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oOHmo8VfZss/XpH8Ca8h3tI/AAAAAAABnHw/hTo_aGa6umo5HbMFztUpz0WmTH7EGj2CACLcBGAsYHQ/s640/images.jpg)
Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 11,2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Benjamini Kuzaga amesema mtuhumiwa amekiuka utaratibu huo Aprili 5, 2020 katika kizuizi cha Ntibili Majimoto.
"Mtuhumiwa alikuwa anaendesha gari lenye namba za...
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Korea Kaskazini kufikishwa ICC?
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Makonda sasa kufikishwa mahakamani
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...