Waliopora kufikishwa kizimbani Malawi
Kesi ya maafisa wa zamani wa serikali wanaodaiwa kuhusika katika wizi wa mamilioni ya dola inatarajiwa kuanza Jumatano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Dec
Maofisa 16 wa FIFA kufikishwa kizimbani
ZURICH, USWISI
MAOFISA 16 wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), wanatarajia kufikishwa kizimbani kutokana na kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi wa kina ambao unafanywa na waendesha mashtaka wa nchini Marekani.
Wanaotarajiwa kufikishwa kizimbani ni pamoja na maofisa wa ngazi ya juu wa Kamati ya uongozi ambao wapo madarakani kwa sasa na wale waliostaafu, akiwemo Rais wa Chama cha Soka cha Honduras, Rafael Callejas.
Mwanasheria Mkuu nchini Marekani, Loretta Lynch, amesema katika...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Waliopora NMB wahukumiwa kifo
NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...
11 years ago
Malawi Today24 Mar
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Coastweek
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...
11 years ago
TheCitizen25 May
Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Makonda sasa kufikishwa mahakamani
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Kamanda wa LRA kufikishwa ICC