Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopora kufikishwa kizimbani Malawi

Kesi ya maafisa wa zamani wa serikali wanaodaiwa kuhusika katika wizi wa mamilioni ya dola inatarajiwa kuanza Jumatano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Maofisa 16 wa FIFA kufikishwa kizimbani

CallejasZURICH, USWISI

MAOFISA 16 wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), wanatarajia kufikishwa kizimbani kutokana na kuhusika na tuhuma za rushwa baada ya uchunguzi wa kina ambao unafanywa na waendesha mashtaka wa nchini Marekani.

Wanaotarajiwa kufikishwa kizimbani ni pamoja na maofisa wa ngazi ya juu wa Kamati ya uongozi ambao wapo madarakani kwa sasa na wale waliostaafu, akiwemo Rais wa Chama cha Soka cha Honduras, Rafael Callejas.

Mwanasheria Mkuu nchini Marekani, Loretta Lynch, amesema katika...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Waliopora NMB wahukumiwa kifo


NA WILLIUM PAUL, MOSHI
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Moshi, imewahukumu raia wawili wa Kenya, kunyongwa hadi kufa baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kumuua kwa kukusudia askari Polisi, wakati wa tukio la uporaji la Benki ya NMB, Mwanga.
Wakati Wakenya hao Samwel Saitoti na Michael Kimani, wakipewa adhabu hiyo, Mtanzania Calist Kanje alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuwa mshiriki mkuu.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Kakusulo Sambo, alisema baada ya...

 

11 years ago

Malawi Today

Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks


Coastweek
Deadlock in Malawi and Tanzania on Lake Malawi border mediation talks
Malawi Today
Mediation talks between Malawi and neighbouring Tanzania on the border dispute over Lake Malawi ended in a deadlock last week. Head of the mediating team, former Mozambican President Joaquim Chissano is quoted by allafrica.com as having publicly ...
Tanzania: After Two Days, No Agreement Over Lake NiassaAllAfrica.com
Dar firm on border claimDaily News
Tanzania, Malawi fail to reach agreement on border...

 

11 years ago

TheCitizen

Malawi’s President Banda declares Malawi election ‘null and void’

Malawi’s President Joyce Banda on Saturday declared this week’s chaotic election “null and void” and called for a fresh vote, throwing the impoverished nation into crisis.

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MEMBE AWASILI MALAWI KUMWAKILISHA MHE. RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA ALIYEKUWA BALOZI WA MALAWI NCHIN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania, Marehemu Flossie Gomile-Chidyaonga aliyefarikii dunia tarehe 09 mei, 2014 Jijini na Dar es Salaam na anatarajiwa kuzikwa tarehe 14 Mei, 2014. Mhe. Membe anamwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye mazishi hayo. 
Balozi wa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Njia ya kufikishwa ICC ni fupi

MABADILIKO hayaepukiki.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanahabari kufikishwa mahakamani Misri

Waandishi habari 20 wakiwemo 4 wa kigeni wanatarajiwa kufikishwa mahakamani leo mjini Cairo, Misri baada ya kuhusihwa na ugaidi

 

10 years ago

Mtanzania

Makonda sasa kufikishwa mahakamani

makondaNA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita, ametangaza kumfikisha mahakamani Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, baada ya kushindwa kuomba radhi kutokana na kashfa alizozitoa dhidi yao.
Guninita alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika mkutano wake na waandishi wa habari,uliofanyika katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo.
Hatua hiyo imekuja baada ya Makonda kuandikiwa barua Februari 12 mwaka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kamanda wa LRA kufikishwa ICC

Kamanda wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda ambaye alikamatwa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Dominic Ongwen atakabidhiwa kwa mahakama ya kimataifa ya ICC, yasema serikali ya Uganda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani