Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maombolezo yahitimishwa Kenya.

Ibada ya mkesha wa kuhitimisha siku tatu za maombolezo ya chuo kikuu cha Garissa yaadhimishwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HOJA YA KUSITISHA BUNGE MAALUM LA KATIBA YAHITIMISHWA RASMI

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba toka Kamati namba Tano, Mhe. Dkt. Asha-Rose Migiro akisoma taarifa wakati wa mjadala wa jioni bungeni hapo jana 15 Septemba, 2014 mjini Dodoma.Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma HOJA ya kusitisha Bunge Maalum la Katiba imehitimishwa rasmi Kisheria kwa Mahakama Kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutamka kwamba bunge hilo linaweza kuendelea na shughuli zake. Taarifa hiyo imetolewa jana 15 Septemba, 2014 na Mjumbe wa Kamati namba Tano, Mhe. Dkt....

 

10 years ago

Vijimambo

WARSHA KUHUSU AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA YAHITIMISHWA JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Mnasa Nyerembe akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magese Mulongo ya kufunga Warsha ya siku tatu kuhusu Amani na Usalama Barani Afrika iliyoandaliwa na Umoja wa Afrika na kufanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha. Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Afrika na nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz kwa pamoja na Balozi wa Ethiopia katika Umoja wa Afrika Mhe. Konjit Sinegiorgis wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Nyerembe (hayupo...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA KUHUSU AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA YAHITIMISHWA JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Mnasa Nyerembe akitoa hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Magese Mulongo ya kufunga Warsha ya siku tatu kuhusu Amani na Usalama Barani Afrika iliyoandaliwa na Umoja wa Afrika na kufanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha.Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Afrika na nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz kwa pamoja na Balozi wa Ethiopia katika Umoja wa Afrika Mhe. Konjit Sinegiorgis wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Nyerembe (hayupo...

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA KAMATI ZA MAADILI ZA MAHAKAMA ZA MIKOA YA DODOMA NA SINGIDA YAHITIMISHWA MJINI DODOMA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mhe. Chiku Gallawa akisisitiza kamati za maadili za mahakama za mikoa ya Dodoma na Singida kusaidia kupunguza malalamiko ya wananchi juu ya masuala ya kimahakama wakati akifunga mafunzo ya siku mbili ya kamati hizo mjini Dodoma Feb. 10, 2015. Wajumbe wa Kamati za Maadili za Mahakama za Mikoa ya Dodoma na Singida wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa wakati akifunga mafunzo ya siku mbili kwa kamati hizo Mjini Dodoma Feb. 10, 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ibada ya maombolezo Charleston

Mamia ya Waumini wamehudhuria ibada ya maziko ya watu tisa waliouawa katika kanisa moja mjini Charleston

 

9 years ago

BBCSwahili

Maombolezo na hali ya hatari Ufaransa

Baada ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ijumaa, Ufaransa yatangaza maombolezo na hali ya hatari

 

11 years ago

BBCSwahili

Afghan yatangaza maombolezo kitaifa

Serikali ya Afghanistan imetangaza siku moja ya maombolezo kuwakumbuka waliofukiwa na maporomoko ya udongo

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghana yatangaza siku tatu za maombolezo

Serikali ya Ghana imetangaza siku tatu za maombolezo kufuatia vifo vya watu zaidi ya 150

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ugonjwa wa corona unavyoathiri mazishi na maombolezo

Mataifa mengi duniani yamechukua hatua ya kupiga marufuku mikusanyiko ya watu kama sherehe na misiba ilikuepeuka kuenea kwa maambukizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani