Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maonyesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition kufikia tamati leo

DSCN9663

CEO wa TRADEX Corporation, Frank A.P.M Bruurs, akionesha wateja (hawapo pichani) namna ya bidhaa zao zinazopatikana Netherlands na Ujerumani- s-Hertogenbosch wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition, Mlimani City.

Na Andrew Chale

Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya leo.

Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAONYESHO YA TANZANIA BUILDEX INTERNATIONAL TRADE EXHIBITION YAFIKA TAMATI

Na Andrew Chale
Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya Jumamosi Januari 31, 2015.

Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya kigeni kutoka falme za kiarabu ya S.K.M Air Conditioning LLC na wadau wengine yameshirikisha makampuni zaidi ya 50, ya ndani na nje ya Tanzania ambapo wameonyesha bidhaa zao hizo pamoja na kuuza.

Baadhi ya makampuni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti za Busara 2015 kufikia tamati leo

#TogetherAsOne #AmaniNdioMpangoMzima

Wasanii kutunukiwa tuzo za amani

Na Andrew Chale, modewji blog, Zanzibar

Tamasha kubwa la Kimataifa la muziki linalofanyika kila mwaka visiwani hapa la Sauti za Busara,  linatarajiwa kufikia tamati usiku wa leo Februari 15 huku zikitarajiwa kutolewa tuzo za amani kwa washindi.

Tamasha hilo kwa mwaka huu ni la 12,  limezidi kuwa la mafanikio kwa kuweza kukusanya umati mkubwa wa mashabiki waliotoka sehemu mbalimbali duniani.

Tamasha hillo lilianza Ahamisi ya Februari 12, kwa shamra shamra...

 

10 years ago

Bongo5

Mashindano ya Pool Table Afrika kufikia tamati leo Dar

Mashindano ya mchezo wa Pool Table kwa timu za Afrika leo yanafikia tamati katika fainali itakayofanyika katika ukumbi wa Budget Hall Kunduchi jijini Dar-es-Salaam. Mashindano hayo ambayo Tanzania imekuwa mwenyeji yameshirikisha nchi za Kenya Uganda, Afrika Kusini, Lesotho, Malawi, Zambia na Cameroon.

 

9 years ago

Dewji Blog

PAMCA: Waendelea na mkutano wao jijini Dar es Salaam kufikia tamati leo

Mkutano wa Mkuu wa Pili wa Chama cha Kudhibiti Mbu cha Pan African (PAMCA) leo umeingia katika siku yake ya pili jijini Dar es Salaam ambapo watafiti wamewasilisha taarifa zao mbalimbali za utafiti walizofanya katika maeneo yao kutoka nchi mbalimbali za Afrika ikiwa ni pamoja na ushauri wa kitaalam wa kupata suluhisho la kumdhibiti na hatimaye kumtokomweza kabisa Mdudu mbu barani Afrika. Pichani ni Mwanasayansi Mtafiti Kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Dk...

 

10 years ago

Coastweek

Tanzania set to hold first Swahili international tourism exhibition


IPPmedia
Tanzania set to hold first Swahili international tourism exhibition
Coastweek
DAR ES SALAAM (Xinhua) -- The Tanzania Tourist Board (TTB) has announced that it will organize its first Swahili international tourism expo aimed at boosting and marketing the East African nation's tourism. Devota Mdachi, TTB acting managing director, ...
Dar to host Swahili International Tour Expo slotted for next monthIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Michuzi

GULIO LA VODACOM KUFIKIA TAMATI KESHO

Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Jessam Jeremia akiwapa maelekezo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliofika kwenye gurio la “Vodacom expo” lilioandaliwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kuwauzia bidhaa mbalimbali za mawasiliano kwa bei nafuu.Gurio hilo linafanyika kwa siku mbili mfululizo katika viwanja vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam waliofika kwenye viwanja vya Kijitonyama kwenye gurio la Vodacom Expo wakionyeshwa baadhi ya simu na...

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania coached on international trade deals

>Capacity of Tanzania and other African countries to negotiate better in the international trade deals was enhanced through a week-long training as facilitated by the World Trade Organisation (WTO).

 

10 years ago

TheCitizen

Foreign firms to participate in Tanga Trade exhibition

>Foreign companies from at least five countries have confirmed to take part in the coming 3rd Tanga International Trade Fair which is aims to be the biggest business occasion after Dar es Salaam International Trade Fair (DITF).

 

10 years ago

Michuzi

Mkapa visits AutoSueco stall at Contractors International Conference exhibition in Dar es Salaam

AutoSueco (VOLVO) Commercial Manager, Mr. Alen Nkya (right) clarifies a point regarding construction equipment, trucks and power generators to former President of Tanzania, Hon. Benjamin Mkapa (centre), Minister of Works, Dr. John Magufuli (left) and other delegates during Contractors International Conference in Dar es Salaam over the weekend.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani