Mashindano ya Pool Table Afrika kufikia tamati leo Dar
Mashindano ya mchezo wa Pool Table kwa timu za Afrika leo yanafikia tamati katika fainali itakayofanyika katika ukumbi wa Budget Hall Kunduchi jijini Dar-es-Salaam. Mashindano hayo ambayo Tanzania imekuwa mwenyeji yameshirikisha nchi za Kenya Uganda, Afrika Kusini, Lesotho, Malawi, Zambia na Cameroon.
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
PAMCA: Waendelea na mkutano wao jijini Dar es Salaam kufikia tamati leo
10 years ago
Dewji Blog15 Feb
Sauti za Busara 2015 kufikia tamati leo
Wasanii kutunukiwa tuzo za amani
Na Andrew Chale, modewji blog, Zanzibar
Tamasha kubwa la Kimataifa la muziki linalofanyika kila mwaka visiwani hapa la Sauti za Busara, linatarajiwa kufikia tamati usiku wa leo Februari 15 huku zikitarajiwa kutolewa tuzo za amani kwa washindi.
Tamasha hilo kwa mwaka huu ni la 12, limezidi kuwa la mafanikio kwa kuweza kukusanya umati mkubwa wa mashabiki waliotoka sehemu mbalimbali duniani.
Tamasha hillo lilianza Ahamisi ya Februari 12, kwa shamra shamra...
11 years ago
Michuzi
Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...
10 years ago
Dewji Blog31 Jan
Maonyesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition kufikia tamati leo
CEO wa TRADEX Corporation, Frank A.P.M Bruurs, akionesha wateja (hawapo pichani) namna ya bidhaa zao zinazopatikana Netherlands na Ujerumani- s-Hertogenbosch wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition, Mlimani City.
Na Andrew Chale
Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya leo.
Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya ...
11 years ago
Michuzi
Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014

11 years ago
MichuziTIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...
11 years ago
Michuzi
MASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA


11 years ago
MichuziMashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo
10 years ago
Michuzi
GULIO LA VODACOM KUFIKIA TAMATI KESHO

