Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashindano ya Pool Table Afrika kufikia tamati leo Dar

Mashindano ya mchezo wa Pool Table kwa timu za Afrika leo yanafikia tamati katika fainali itakayofanyika katika ukumbi wa Budget Hall Kunduchi jijini Dar-es-Salaam. Mashindano hayo ambayo Tanzania imekuwa mwenyeji yameshirikisha nchi za Kenya Uganda, Afrika Kusini, Lesotho, Malawi, Zambia na Cameroon.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

PAMCA: Waendelea na mkutano wao jijini Dar es Salaam kufikia tamati leo

Mkutano wa Mkuu wa Pili wa Chama cha Kudhibiti Mbu cha Pan African (PAMCA) leo umeingia katika siku yake ya pili jijini Dar es Salaam ambapo watafiti wamewasilisha taarifa zao mbalimbali za utafiti walizofanya katika maeneo yao kutoka nchi mbalimbali za Afrika ikiwa ni pamoja na ushauri wa kitaalam wa kupata suluhisho la kumdhibiti na hatimaye kumtokomweza kabisa Mdudu mbu barani Afrika. Pichani ni Mwanasayansi Mtafiti Kutoka Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) Dk...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti za Busara 2015 kufikia tamati leo

#TogetherAsOne #AmaniNdioMpangoMzima

Wasanii kutunukiwa tuzo za amani

Na Andrew Chale, modewji blog, Zanzibar

Tamasha kubwa la Kimataifa la muziki linalofanyika kila mwaka visiwani hapa la Sauti za Busara,  linatarajiwa kufikia tamati usiku wa leo Februari 15 huku zikitarajiwa kutolewa tuzo za amani kwa washindi.

Tamasha hilo kwa mwaka huu ni la 12,  limezidi kuwa la mafanikio kwa kuweza kukusanya umati mkubwa wa mashabiki waliotoka sehemu mbalimbali duniani.

Tamasha hillo lilianza Ahamisi ya Februari 12, kwa shamra shamra...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Mchezo wa Safari Lager National Pool Championship 2014 yazinduliwa leo jijini Dar

MASHINDANO ya mchezo wa pool ya ‘Safari Lager National Pool Championship 2014’, ngazi ya mikoa yanatarajia kuanza Juni 14, mwaka huu katika mikoa 18 ya Tanzania Bara.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam leo, Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo huo Taifa (TAPA), Amosi Kafwinga amesema mashindano hayo ambayo kwa ngazi ya taifa yatamalizika mwezi Septemba 14, mwaka huu.
Kafwinga amesema fainali za taifa za mashindano hayo yanayodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania(TBL)...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonyesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition kufikia tamati leo

DSCN9663

CEO wa TRADEX Corporation, Frank A.P.M Bruurs, akionesha wateja (hawapo pichani) namna ya bidhaa zao zinazopatikana Netherlands na Ujerumani- s-Hertogenbosch wakati wa maonesho ya Tanzania Buildex International Trade Exhibition, Mlimani City.

Na Andrew Chale

Maonyesho ya Tanzania Buildex Internatinal Trade Exhibition January 29 -31, yanayoendelea ndani ya ukumbi wa mikutano wa Mlimani City Conference, yanatarajia kufikia tamati jioni ya leo.

Maonyesho hayo yaliyoandaliwa na kampuni ya ...

 

11 years ago

Michuzi

Safari Lager kudhamini Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika 2014

 Meneja wa Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa Mashindano ya Mchezo wa Pool Afrika (2014 All Africa BlackBall Pool Championsship) yanayotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Oktoba 16-18,2014 kwenye Ukumbi wa Burget,Kunduchi Jijini Dar es Salaam.Mashindano hayo yatashirikisha timu kutoka Zambia,Afrika Kusini,Malawi,Lesotho,Kenya,Uganda na Wenyeji Tanzania,ambapo mshindi wa jumla ataondoka na kitita cha...

 

11 years ago

Michuzi

TIMU YA TAIFA YA MCHEZO WA POOL YAENDELEA KUJIJUA TAYARI KWA MASHINDANO YA AFRIKA

TIMU ya Taifa ya Safari Pool imeonyesha uwezo wa juu baada ya kuzichapa timu za kombania za Mikoa ya kimichezo ya Ilala na Temeke kwa siku tofauti katika kujiweka sawa na mshindano ya Afrika ya mchezo huo yajulikanayo kwa “Safari All Africa Pool Championship”.
Timu ya Safari Pool ilianza mchakato wa kujipima ikiwa ni sehemu ya maandalizi natimu ya Kombania ya Mkoa wa kimichezo wa Ilala ambapo waliibuka na ushindi wa 12-9 katika mchezo uliochezwa Ijumaa octoba 10,2014 kwenye Ukumbi...

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi kiti cha kubebea wagonjwa kilichotolewa na kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa Iringa(IPA) katika hosptali Halimashauri ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa Pool ngazi ya Mkoa yaliyoanza jana mkoani humoyajulikanayo kama “Safari Lager Pool Competition 2014” ngazi ya Mkoa. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Halimashauri ya Wilaya ya Iringa,...

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo

Katiba Tawala wa Wilaya ya Moshi mjini,Remida Ibrahim(wa pili kulia) akicheza kuashilia uzinduzi wa fainali za mashindano ya Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014” yanayofanyika katika Ukumbi wa Kuringe Mkoani Kilimanjaro.Kutoka kushoto ni Katibu wa chama cha Pool Taifa(TAPA), Amos Kafwinga,Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Makamu Mwenyekiti wa TAPA, Fred Mushi. Baadhi ya Wachezaji wa Pool wakiwa na zawadi mbalimbali wakielekea Hospitali ya...

 

10 years ago

Michuzi

GULIO LA VODACOM KUFIKIA TAMATI KESHO

Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania Jessam Jeremia akiwapa maelekezo baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliofika kwenye gurio la “Vodacom expo” lilioandaliwa na kampuni hiyo kwa ajili ya kuwauzia bidhaa mbalimbali za mawasiliano kwa bei nafuu.Gurio hilo linafanyika kwa siku mbili mfululizo katika viwanja vya Kijitonyama jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wakazi wa jijini Dar es Salaam waliofika kwenye viwanja vya Kijitonyama kwenye gurio la Vodacom Expo wakionyeshwa baadhi ya simu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani