Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapambano yanaendelea

Tido Mhando bado anaendelea kusimulia kwa muhtasari tu yale aliyokutana nayo kwenye kipindi kirefu cha maisha yake kama mtangazaji na mwandishi wa habari. Jumapili iliyopita alielezea, pamoja na mengine mengi, siku aliyohudhuria sherehe za kukabidhiana madaraka baina ya Rais Mwalimu Nyerere na Rais Ali Hassan Mwinyi, mwaka 1985.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAPAMBANO YA FISTULA YANAENDELEA KWA USHIRIKIANO WA HOSPITALI YA CCBRT NA VODACOM FOUNDATION

Mkurugenzi wa walemavu katika Hospitali ya CCBRT,Brenda Msangi(kulia)akielezea ubora wa simu aina ya ZTE kwa waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kukabidhiwa simu 150 zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 6/=zilizotolewa msaada na Vodacom Foundation kwa ajili ya kurahisisha huduma za mawasiliano kwa mabalozi wa kampeni ya kutokomeza Fistula nchini.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Vodacom Foundation,Renatus Rwehikiza,Grace Lyon na Chandra Almony. Mkuu wa Vodacom...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yanaendelea Sudan Kusini

Mapigano yanaendelea Sudan Kusini licha ya mazungumzo ya amani kuandaliwa nchini Ethiopia

 

11 years ago

Habarileo

Majadiliano kuuza meno ya tembo yanaendelea

SERIKALI inaendelea na jitihada za kuzungumza na vyombo vya kimataifa, kutafuta kukubaliwa kuuza meno ya tembo yaliyokamatwa tangu mwaka 1961. Lengo la mauzo hayo, ni kupata fedha za kuwekeza katika sekta hiyo kuimarisha ulinzi na kupambana na ujangili.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo kuhusu Syria yanaendelea Geneva

Siku ya kwanza ya mazungumzo ya amani kati ya wawakilishi wa serikali ya Syria na waasi yanatarajiwa kuanza mjini Geneva nchini Uswizi

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA KUUAGA MWILI WA KUAMBIA YANAENDELEA VIZURI

Makamu Mwenyekiti wa Bongo Movie Mahsen Awadhi Said ‘DK.Cheni (kushoto),akibadilishana mawazo na baadhi ya wajumbe wa Klabu ya Bongo Movie juu ya maandalizi ya msiba huo kwenye Viwanja vya Leaders Club. Msanii wa Filamu Ditto akipata kilaji wakati wa maandalizi na majadiliano ya shughuli za kuuaga mwili wa marehemu Kuambiana.…

 

5 years ago

Michuzi

Maandalizi ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea

Na Luteni Selemani SemunyuMAANDALIZI ya Mashindano ya TANAPA Lugalo Open yanaendelea vyema huku vilabu vyote Tanzania vikithibitisha kushiriki katika mashindano hayo yanayotarajiwa kufanyika Ijumaa hadi Jumapili katika Klabu ya Jeshi la Ulinzi la Wananchji wa Tanzania Jijini Dar es salaam.
Akizungumzia Maandaalizi hayo Nahodha wa Lugalo Kapteni Japhet Masai alisema Vilabu vilivyothibitisha ni Dar es Salaam Gymkana, Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, TPC Moshi, Kili Golf , Sea Criff ya...

 

10 years ago

GPL

BAADA YA KUPIGWA CHUPA, KAJALA ASEMA MAISHA YANAENDELEA

Kajala Masanja akiwa na bandeji kichwani baada ya kupigwa chupa. STAA wa filamu Bongo, Kajala Masanja, kupitia akaunti yake ya Instagram hivi punde amesema maisha yanaendelea ikiwa ni siku mbili baada ya kupigwa chupa na mtu asiyemfahamu usiku wa kuamkia Jumatatu akiwa klabu wakati alipokwenda katika shoo ya kumchangia mke wa Mabeste, Maisha Club. Kajala akiwa Maisha Club kabla ya kujeruhiwa kwa chupa.  Kajala alieleza kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU: MAANDALIZI YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA YANAENDELEA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao unatarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu yanaendelea japo kwa kiasi kikubwa hatma yake inategemea kukamilika kwa mchakato wa Katiba mpya.
Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumatatu, Juni 30, 2014) wakati akizungumza na Mameya wa Majiji, Manispaa na Wenyeviti wa Halmashauri za Miji na Wilaya Tanzania katika kikao cha siku moja kilichofanyika kwenye ukumbi wa Regal Naivera jijini Tanga.
Waziri Mkuu yuko Tanga kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani