Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marais wa mataifa ya Ebola waomba msaada

Marais wa Liberia ,Sierra Leone na Guinea,mataifa matatu yalioathirika vibaya na Ebola wanataka msaada zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Tenisi walemavu waomba msaada

TIMU ya taifa ya tenisi kwa upande wa walemavu, imewataka wadau mbalimbali kuwaunga mkono na kuwasaidia vifaa vya michezo waweze kutimiza malengo yao ya kufanya vizuri katika michuano mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Waathirika wa mafuriko waomba msaada

Wananchi wa Kata ya Arusha chini, Wilaya ya Moshi wamewaomba viongozi wa Serikali kuwapatia msaada wa chakula na mavazi kutokana na  vitu vyao kusombwa na maji ya mvua inayoendelea kunyesha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wa ukoma Tanga waomba msaada

KAMBI ya wazee wenye ulemavu wa ukoma iliyopo Msufini Kata ya Ngomeni wilayani hapa, Mkoa wa Tanga inakabiliwa na changamoto ya uchakavu wa vitanda hali inayosababisha kulala chini. Wakizungumza na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakulima wa karafuu,Pemba waomba msaada

Wakulima Pemba wanaitaka Serikali yao kufanya juhudi kwa ajili ya kuendeleza zao ambalo wamekuwa wakizalisha kwa miaka mingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walioathiriwa na mafuriko Kibondemaji waomba msaada

ZAIDI ya wakazi 27 wa Mtaa wa Kibondemaji ‘A’, Kata ya Mianzini, wilayani Temeke ambao nyumba zao zimeathiriwa na mafuriko wamewaomba viongozi wa wilaya kufika, kujionea jinsi watakavyowasaidia. Akizungumza na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wafinyanzi waomba msaada wa vifaa vya kisasa

DSC_0908

Mratibu wa Mradi wa Ukimwi ILO, Getrude Sima (kushoto) akitoa maelezo ya kikundi cha kina mama ambao ni walengwa wa mradi wa Ukimwi unaofadhiliwa na SIDA chini ya shirika la kazi duniani (ILO), kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, katika ziara ya kikazi ya kutembelea miradi inayosaidiwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa  mkoani Iringa na Njombe. Kulia ni Practice Specialist HIV/AIDS, Dr...

 

10 years ago

StarTV

Vijana waathirika dawa za kulevya Arusha waomba msaada

Na Ramadhani Mvungi,

Arusha.

Makundi ya vijana wanaoishi katika mazingira hatarishi ambao wameathirika na dawa za kulevya jijini Arusha yameiomba Serikali na wadau wengine wawasaidie kuwapatia matibabu ya afya zao.

Hatua hii itawawezesha kuondokana na maradhi nyemelezi ambayo yanawasababishia vifo baada ya kinga za miili yao kudhoofika.

comprar kamagra barato

Katika zoezi la kuyashawishi makundi ya vijana yaweze kuondoka mitaani na kwenda kuishi kwenye vituo rasmi ili kupatiwa elimu...

 

9 years ago

StarTV

Wakulima wa viazi Makota Iringa waomba msaada wa serikali

Wakulima wa viazi katika kijiji cha Makota wilayani Iringa waiomba Serikali kupitia wakala wa Vipimo kuingilia kati tatizo la ujazo wa Lumbesa ambao unadhoofisha sekta ya kilimo na kudumaza uchumi wa wakulima.

Wakulima hao wamesema licha ya kuelekeza nguvu zao katika sekta ya kilimo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi lakini kilimo kimekosa manufaa kwao kutokana na wachuuzi kutumia mbinu mbaya msimu wa uuzwaji wa zao hilo.

 Viazi ni miongoni mazao ya chakula na biashara, ambapo zao hili kwa...

 

10 years ago

GPL

WAFANYANZI WAOMBA MSAADA WA VIFAA VYA KISASA‏

Mratibu wa Mradi wa Ukimwi ILO, Getrude Sima (kushoto) akitoa maelezo ya kikundi cha kina mama ambao ni walengwa wa mradi wa Ukimwi unaofadhiliwa na SIDA chini ya shirika la kazi duniani (ILO), kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez, katika ziara ya kikazi ya kutembelea miradi inayosaidiwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa mkoani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani