Marekani kupambana na ukimwi, Afrika
Marekani itatoa madawa ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi kwa zaidi ya watoto laki tatu wanaoishi na virusi vya ugonjwa huo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bPMMzfi0-BI/U47MhBwSlKI/AAAAAAAFne8/y7dq4ZYYtXo/s72-c/unnamed+(89).jpg)
wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi
NA RAMADHANI JUMA
OFISI YA MKURUGENZI-KALAMBO
OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha UKIMWI kimetumia zaidi ya shilingi milioni 8.5 kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo katika wilaya hiyo.
Fedha hizo zimetumika kuwanunulia wanafunzi yatima wanaoishi katika mazingira magumu sare za shule, viatu pamoja vifaa vya kujifunzia ikiwemo madaftari na kalamu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godfrey Sichona alikabidhi kwa...
10 years ago
BBCSwahili11 Sep
Marekani kupambana na Islamic State
Marekani imetoa tamko kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria na Iraq.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Jeshi la Marekani kupambana na Ebola
Rais wa Marekani Barack Obama amethibitisha kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba kupambana na wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi.
10 years ago
BBCSwahili08 Sep
Marekani kusaidia kupambana na Ebola
Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Marekani kusaidia UG kupambana na Kony
Serikali ya Marekani inatuma ndege ya kivita na wanajeshi kusaidia UG kumsaka kiongozi wa kundi la Lord's Resistance Army, Joseph Kony.
11 years ago
BBCSwahili23 Jul
Janga la Ukimwi barani Afrika
Kati ya watu milioni 35 ambao wanaishi na ukimwi 67% wanatoka kusini mwa Sahara barani Afrika.
10 years ago
Habarileo10 Feb
Balozi Iddi ashukuru Marekani kupambana na maafa
MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi ameishukuru Serikali ya Marekani kwa msaada wao katika kuimarisha na kujikinga na maafa mbalimbali pindi yanapotokea Visiwani Zanzibar.
5 years ago
CCM Blog23 May
MAREKANI KUIPATIA TANZANIA BIL. 5.6 KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/Screenshot-2020-05-22-at-14.40.32-660x400.png)
5 years ago
CCM BlogMAREKANI YATOA DOLA MILIONI 3.6 KUPAMBANA NA CORONA TANZANIA
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni jambo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania