Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani kupambana na ukimwi, Afrika

Marekani itatoa madawa ya kupambana na ugonjwa wa ukimwi kwa zaidi ya watoto laki tatu wanaoishi na virusi vya ugonjwa huo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi

NA RAMADHANI JUMA  OFISI YA MKURUGENZI-KALAMBO   OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa kupitia kitengo cha UKIMWI kimetumia zaidi ya shilingi milioni 8.5 kwa ajili ya kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa huo katika wilaya hiyo.   Fedha hizo zimetumika kuwanunulia wanafunzi yatima wanaoishi katika mazingira magumu sare za shule, viatu pamoja vifaa vya kujifunzia ikiwemo madaftari na kalamu, ambapo Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Godfrey Sichona alikabidhi kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kupambana na Islamic State

Marekani imetoa tamko kuchukua hatua stahiki dhidi ya kikundi cha wanamgambo wa dola ya kiislam huko Syria na Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la Marekani kupambana na Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama amethibitisha kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba kupambana na wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia kupambana na Ebola

Marekani imesema itapeleka vifaa vya kijeshi, kusaidia kupambana na ugonjwa wa Ebola uliozuka katika nchi za Afrika Magharibi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani kusaidia UG kupambana na Kony

Serikali ya Marekani inatuma ndege ya kivita na wanajeshi kusaidia UG kumsaka kiongozi wa kundi la Lord's Resistance Army, Joseph Kony.

 

11 years ago

BBCSwahili

Janga la Ukimwi barani Afrika

Kati ya watu milioni 35 ambao wanaishi na ukimwi 67% wanatoka kusini mwa Sahara barani Afrika.

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Iddi ashukuru Marekani kupambana na maafa

MAKAMU wa Pili wa Rais, Balozi Seif Ali Iddi ameishukuru Serikali ya Marekani kwa msaada wao katika kuimarisha na kujikinga na maafa mbalimbali pindi yanapotokea Visiwani Zanzibar.

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI KUIPATIA TANZANIA BIL. 5.6 KUSAIDIA KUPAMBANA NA CORONA


Marekani imetangaza kuwa kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) itaongeza kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 2.4 (Takriban Shilingi za Kitanzania bilioni 5.6), ikiwa ni msaada kwa sekta ya afya nchini Tanzania ambapo msaada huu unalenga kuimarisha uwezo wa maabara na upimaji wa kimaabara, kusaidia jitihada za utoaji taarifa, miradi ya maji na usafi wa mazingira, kuzuia na kudhibiti maambukizi, kutoa elimu ya afya kwa umma na miradi mingine.Fedha hizi ni nyongeza ya msaada...

 

5 years ago

CCM Blog

MAREKANI YATOA DOLA MILIONI 3.6 KUPAMBANA NA CORONA TANZANIA


 Serikali ya Marekani imetenga kiasi cha dola millioni3.6 ( Shilling billioni 7.8) kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Tanzania katika mapambano dhidi ya janga la Korona (COVID-19)
Pia serikali hiyo imetoa kiasi cha dola millioni 1.9 ( shilingi Billioni 4.4) kupitia shirika lake la msaada la USAID ili kuisaidia Tanzania kukabiliana na mlipuko huo.
Mwakilishi Mkazi wa shirika la USAID nchini Tanzania Andy Karas alisema haya katika mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema kuwa kuwa ni jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani