Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaunga azimio la UN huko Syria

Mjumbe wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ameunga mkono lakini kwa tahadhari uamuzi wa Umoja wa Mataifa kuhusu Syria.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

URUSI NA CHINA ZA KWAMISHA AZIMIO LA KUIPELEKA SYRIA ICC

Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa, katika mkutano wake uliofanyika siku ya Alhamisi ambapo ilishindikana kupitisha Rasimu ya Azimio lililotaka kuipeleka Syria katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai ( ICC) baada ya Urusi na China ambazo ni wajumbe wa kudumu wa Baraza hilo kupiga kura ya turufu (veto) huku nchi 13 zikipiga kura ya kuunga mkono.
Na Mwandishi Maalum Siku chache baada ya Bw. Lakhdar Brahimi ,Mjumbe wa Maalum wa Katibu Mkuu na Muungano wa Nchi za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaunga mkataba wa Ukrain

Ikulu ya whitehouse nchini Marekani yafurahishwa na makubaliano kati ya serikali na upinzani nchini Ukrain ili kumaliza mzozo

 

10 years ago

GPL

ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ

Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani 'inaifungia mlango' Syria

Marekani imeiwekea vikwazo benki ya Urusi inayofanya biashara na Syria kuzidisha shinikizo za kiuchumi dhidi ya serikali ya Syria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kutuma vikosi maalum Syria

Waziri wa ulinzi nchini marekani anasema kuwa kikosi maalum cha jeshi la marekani kitatumwa kuendesha oparesheni nchini Syria

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yapinga uchaguzi wa Urais Syria

Msemaji wa Ikulu ya White House ametaja uchaguzi wa Urais uliopangwa kufanywa nchini Syria kama "Mzaha wa Demokrasia".

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema inafanya kila iwezalo kuzuia wapiganaji wa ISIL kuudhibiti mji wa Syria Kobane.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatambua rasmi waasi wa Syria

Marekani imewapa waasi wa Misri hadhi ya kidiplomasia ambapo wamefungua afisi nchini humo. Hata hivyo hawatambuliwi Kiserikali.

 

10 years ago

GPL

MAREKANI YAWASHAMBULIA WANAMGAMBO WA SYRIA KWA NDEGE

Ndege za kijeshi za Marekani zikirusha makombora kushambulia wanamgambo wa kundi la Islamic State katika mji wa Kabane, Syria. Muonekano baada ya ndege za Marekani kutupa makombora.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani