Maria Sharapova ajitoa mashindano ya Fed Cup.
Mcheza tennis nambari mbili duniani Maria Sharapova hatocheza mchezo wa nusu fainali mwishoni mwa wiki hii dhidi ya mjerumani katika mashindano ya Fed Cup yanayofanyika huko Sochi nchini Urusi.
Sharapova mwenye umri wa miaka 27 ameondolewa katika mashindano hayo kutokana na kusumbuliwa na jeraha la mguu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Sharapova ameonesha masikitiko yake kutokana na namna alivyokuwa na hamasa ya kufanya vizuri katika mashindano hayo.
“ Mimi na timu yangu tulibadilisha...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Maria Sharapova aitema Fed Cup
9 years ago
BBCSwahili31 Aug
Maria Sharapova kuikosa US Open
5 years ago
The Guardian26 Feb
'I'm saying goodbye': Maria Sharapova announces tennis retirement
5 years ago
Al Jazeera America27 Feb
Maria Sharapova retires: Rise and fall of tennis superstar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBU8xpLL0tH-*2-mCjU2ZK7smz1xFrhv4*2PwQ8vLdfUCn5pDWw3Hture9dOqiQV3uwCtDBAhgpfxKlFybSNqOV/MO.jpg)
MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA
5 years ago
FXStreet23 Mar
Fed's Bullard: Says Fed willing to do more to assist with crisis
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lskup_PINdU/VMZELXj33JI/AAAAAAAG_lA/WnqKXASauyc/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA MALECELA CUP 2014 YAMALIZIKA JIMBO LA SAME MASHARIKI
BOFYA HAPA...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eOtSLw0Og-Q/UzlJ0qa6JWI/AAAAAAAA8pE/1FE4WwkTnBk/s72-c/02.jpg)
MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO
Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.
Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda...