Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maria Sharapova ajitoa mashindano ya Fed Cup.

Mcheza tennis nambari mbili duniani Maria Sharapova hatocheza mchezo wa nusu fainali mwishoni mwa wiki hii dhidi ya mjerumani katika mashindano ya Fed Cup yanayofanyika huko Sochi nchini Urusi.

Sharapova mwenye umri wa miaka 27 ameondolewa katika mashindano hayo kutokana na kusumbuliwa na jeraha la mguu.

Akizungumza na waandishi wa habari, Sharapova ameonesha masikitiko yake kutokana na namna alivyokuwa na hamasa ya kufanya vizuri katika mashindano hayo.

“ Mimi na timu yangu tulibadilisha...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maria Sharapova aitema Fed Cup

Mcheza tennis Maria Sharapova hatocheza nusu fainali katika mashindano ya Fed Cup yanayofanyika huko Sochi nchini Urusi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Maria Sharapova kuikosa US Open

Nyota namba tatu wa mchezo wa Tenesi duniani kwa upande wa wanawake Maria Sharapova amejitoa kushirikia michuano Us Open

 

5 years ago

The Guardian

'I'm saying goodbye': Maria Sharapova announces tennis retirement

'I'm saying goodbye': Maria Sharapova announces tennis retirement  The GuardianMaria Sharapova announces her retirement from professional tennis  GIVEMESPORTMaria Sharapova announces retirement from tennis aged 32  Sky SportsFive-time grand slam winner Maria Sharapova retires from tennis  CNN InternationalWomen's Sport: The defining moments of Maria Sharapova's career  GIVEMESPORTView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Al Jazeera America

Maria Sharapova retires: Rise and fall of tennis superstar

Maria Sharapova retires: Rise and fall of tennis superstar  Al Jazeera AmericaMaria Sharapova announces her retirement from professional tennis  GIVEMESPORTMaria Sharapova announces retirement  Deutsche WelleMaria Sharapova: Highlights of the Career and Interesting Facts  Sputnik InternationalMaria Sharapova, the ultimate competitor with a complicated legacy  CNN InternationalView Full coverage on Google News

 

11 years ago

GPL

MO FARAH AJITOA MASHINDANO YA JUMUIYA YA MADOLA

Mo Farah amejiondoa katika michuano hiyo kwa kutokuwa fiti. MWANARIADHA wa Uingereza, Mo Farah, amejitoa katika Mashindano ya Jumuiya ya Madola yaliyoanza jana mjini Glasgow, Scotland kutokana na kusumbuliwa na maradhi. Mjamaica Usain Bolt yeye atashiriki michuano hiyo. Mo amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa wiki za karibuni ila ataendelea kujifua kwa ajili ya michuano mingine ijayo.… ...

 

5 years ago

FXStreet

Fed's Bullard: Says Fed willing to do more to assist with crisis

Fed's Bullard: Says Fed willing to do more to assist with crisis  FXStreetFed's Bullard: Coronavirus shutdown not a recession but an investment in survival  Forex FactoryUnemployment could reach 30% in the U.S., says St. Louis Fed's Bullard  MarketWatchFed's Bullard: Coronavirus shutdown is not a recession but an investment in survival  CNBCU.S. Jobless Rate May Soar to 30%, Fed’s Bullard Says  BloombergView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Makalla Cup yafika tamati wilayani Mvomero

Fainali za michezo mpira wa miguu kutafuta bingwa wa wilaya ya Mvomero zinazokwenda kwa jina la Makalla Cup zimehitimishwa jana kwa mamia ya watazamaji kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa Kialawa, Kijiji cha Bwagala ambapo ulizikutanisha katika Fainali Timu ya Koloni ya Bwagala na timu ya Mkuyuni ya Mlali na hatimaye ubingwa wa Makalla Cup ulikwenda kwa Timu ya Koloni kwa kuifunga Mkuyuni mabao 2-1.
Mgeni rasmi na mdhamini wa Mashindano hayo ya Makalla Cup alikuwa Mbunge wa Mvomero na...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA MALECELA CUP 2014 YAMALIZIKA JIMBO LA SAME MASHARIKI

Mgeni rasmi katika mashindano ya John Sawel Malecela 2014,mbunge wa viti maalum Ester Bulaya(mwenye kofia) akiwa na mbunge wa jimbo la Same Mashariki Anne Kilango Malecela wakati wa fainali ya mshindano hayo iliyofanyika katika uwanja wa Mamba Myamba wilayani Same. 
Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela akiongozwa na katibu wa chama cha soka wilaya ya Same Nathaniel Msangi kwenda kukagua timu za sekondari ya Parane na Ntenga zilizokuwa zikicheza mchezo wa fainali ya kwanza.

BOFYA HAPA...

 

11 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA NSSF MEDIA CUP YAANZA KUTIMUA MBIO

MASHINDANO ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii inayowahusisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari (NSSF Media Cup) yameanza kutimua vumbi katika uwanja wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
Akifungua mashindano hayo, Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka, amewataka wanahabari nchini kuhakikisha wanajiunga na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kujihakikishia maisha ya amani na utulivu baada ya kustaafu.
Alisema kuwa, wanahabari wanapaswa kwenda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani