Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Martha Baraka ndani ya WRM Agosti 9

MWIMBAJI wa muziki wa injili nchini, Martha Baraka, anatarajia kuuteka ukumbi wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), Kivule jijini Dar es Salaam Agosti 9, atakapoimba vibao vyake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mdau Sunday Shomari atia baraka ndani ya Ofisi za MMG

IMG_0590Mdau Sunday Shomari akiwa na Ankal wakati alipotembelea ndani ya ofisi Michuzi Media Group (MMG) mara tu baada ya kuwasili jijini Dar es alaam. IMG_0594

 

10 years ago

Michuzi

Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA


Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.

Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho  usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku  hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...

 

11 years ago

Michuzi

FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA


Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando, 
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
 Msama amesema kuwa baada ya albamu...

 

9 years ago

Promoting Peace Is Her Mission

Martha Nghambi


Martha Nghambi - Promoting Peace Is Her Mission
AllAfrica.com
If someone asked you out of the blue what you believe peace is, what would you say? For Martha Nghambi, the Global Peace Foundation Country Director, Tanzania Chapter, after pausing for a couple of seconds said, "Peace is all about feeling comfortable ...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam martha!-5

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Ilipoishia wiki iliyopita: Kila upande ukawa unashambulia kwa zamu, lakini tahadhari ya kutoruhusu goli mapema. Kila John akikumbuka mpinzani anayesaka naye kabumbu uwanjani hapo ni mwalimu wake, mzuka wa kucheza kwa bidii ulimpanda mara mbili huku akisubiri maksi kutoka kwa mashabiki.

ASA SONGA MBELE…
Mtu na mwanafunzi wake hao wakiwa katika hali hiyo, ghafla walisikia mlango ukifunguliwa bila aliyeufungua kubisha hodi. Kufumba na kufumbua walipigwa butwaa kumuona...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam martha!-4

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Hakuishia hapo, mwanzoni alikuwa akimpapasa lakini sasa akawa anamminya kama anayekamua jipu, ikawa mara apapase zile cheni, mara azishike na kuziunganisha, ilimradi tu alishaanza kumzoea mwalimu wake.

Sasa ikawa mpambano umepamba moto, kati ya mtu na mwanafunzi wake, John…
CHECHEMEA NAYO SASA…

Kama nilivyokwisha kueleza hapo awali, kuwa wawili hao kwa maana ya Madam Martha na mwanafunzi wake John ni watu wa mjini waliojikuta wakiishi mjini Katoro kwa mazingira ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Ooh…madam Martha!-3

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi.
YUMBAYUMBA NAYO SASA…
Kabla mlango haujafunguka wote, haraka sana Madam Martha alijiongeza na kwa kasi...

 

11 years ago

GPL

MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja akitumbuiza katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…

 

10 years ago

Michuzi

Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.


“TAMASHA linafanyika siku maalum ambayo Yesu Kristo amezaliwa, nitatoa huduma kwa njia ya uimbaji naomba wakazi wa mikoa yote mitatu wafike kwa wingi wale ambao hawanifahamu pia watanifahamu siku hiyo na wataguswa na kupata ujumbe uliotukuka,” anasema mwimbaji Martha Mwaipaja. Mwimbaji huyo anasema kuwa amejipanga vilivyo ikiwa pamoja na kufanya maandalizi ya hali ya juu huku akisistiza kuwa atafanya makubwa katika tamasha la Krismasi ambalo litakuwa la pili kufanyika. Mwaipaja ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani