Martha Baraka ndani ya WRM Agosti 9
MWIMBAJI wa muziki wa injili nchini, Martha Baraka, anatarajia kuuteka ukumbi wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), Kivule jijini Dar es Salaam Agosti 9, atakapoimba vibao vyake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Sep
Mdau Sunday Shomari atia baraka ndani ya Ofisi za MMG
![IMG_0590](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_0590.jpg?w=714)
![IMG_0594](http://sundayshomari.files.wordpress.com/2014/09/img_0594.jpg?w=714)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Update ya msiba wa MAREHEMU REHEMA RAMADHANI BARAKA, mdogo wake mwenyekiti wa ASET BARAKA MSIILWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOPcP3wzQ8g/VEYZ2Xytr3I/AAAAAAAGsIc/otP9N3qQdLw/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
Ifuatayo ni update ya msiba wa mdogo wake Mwenyekiti wa African Stars Entertainment (ASET) Baraka Msiilwa, Marehemu Furaha Ramadhani Baraka, kilichotokea wikiendi iliyopita huko Ubelgiji.
Taarifa ni kwamba mwili wa Marehemu mdogo wetu Furaha unaondoka Brussels kesho usiku kwenda Zurich. Utalala Zuruch na kusafirishwa Jumatano Asubuhi kwa ndege ya shirika la Swiss Air, na unatarajiwa kuwasili Dar es salaam siku hiyo hiyo ya Jumatano mnamo saa mbili usiku
Mazishi yamepangwa kufanyika siku ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...
9 years ago
Promoting Peace Is Her Mission04 Sep
Martha Nghambi
AllAfrica.com
If someone asked you out of the blue what you believe peace is, what would you say? For Martha Nghambi, the Global Peace Foundation Country Director, Tanzania Chapter, after pausing for a couple of seconds said, "Peace is all about feeling comfortable ...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Ooh…madam martha!-5
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Ilipoishia wiki iliyopita: Kila upande ukawa unashambulia kwa zamu, lakini tahadhari ya kutoruhusu goli mapema. Kila John akikumbuka mpinzani anayesaka naye kabumbu uwanjani hapo ni mwalimu wake, mzuka wa kucheza kwa bidii ulimpanda mara mbili huku akisubiri maksi kutoka kwa mashabiki.
ASA SONGA MBELE…
Mtu na mwanafunzi wake hao wakiwa katika hali hiyo, ghafla walisikia mlango ukifunguliwa bila aliyeufungua kubisha hodi. Kufumba na kufumbua walipigwa butwaa kumuona...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Ooh…madam martha!-4
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Hakuishia hapo, mwanzoni alikuwa akimpapasa lakini sasa akawa anamminya kama anayekamua jipu, ikawa mara apapase zile cheni, mara azishike na kuziunganisha, ilimradi tu alishaanza kumzoea mwalimu wake.
Sasa ikawa mpambano umepamba moto, kati ya mtu na mwanafunzi wake, John…
CHECHEMEA NAYO SASA…
Kama nilivyokwisha kueleza hapo awali, kuwa wawili hao kwa maana ya Madam Martha na mwanafunzi wake John ni watu wa mjini waliojikuta wakiishi mjini Katoro kwa mazingira ya...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Ooh…madam Martha!-3
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi.
YUMBAYUMBA NAYO SASA…
Kabla mlango haujafunguka wote, haraka sana Madam Martha alijiongeza na kwa kasi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-wpXC52QKRBzHuB38YpuvHKJJSaU9LEyAdHrWhDHXFn41MzViC*3uCDwMC9dj5yXTih39nv6tg85SHk4oxTuXFU/1Martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s72-c/index.jpg)
Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.
![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s1600/index.jpg)