Martha Nghambi
Martha Nghambi - Promoting Peace Is Her Mission
AllAfrica.com
If someone asked you out of the blue what you believe peace is, what would you say? For Martha Nghambi, the Global Peace Foundation Country Director, Tanzania Chapter, after pausing for a couple of seconds said, "Peace is all about feeling comfortable ...
Promoting Peace Is Her Mission
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Ooh…madam martha!-5
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Ilipoishia wiki iliyopita: Kila upande ukawa unashambulia kwa zamu, lakini tahadhari ya kutoruhusu goli mapema. Kila John akikumbuka mpinzani anayesaka naye kabumbu uwanjani hapo ni mwalimu wake, mzuka wa kucheza kwa bidii ulimpanda mara mbili huku akisubiri maksi kutoka kwa mashabiki.
ASA SONGA MBELE…
Mtu na mwanafunzi wake hao wakiwa katika hali hiyo, ghafla walisikia mlango ukifunguliwa bila aliyeufungua kubisha hodi. Kufumba na kufumbua walipigwa butwaa kumuona...
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Ooh…madam martha!-4
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Hakuishia hapo, mwanzoni alikuwa akimpapasa lakini sasa akawa anamminya kama anayekamua jipu, ikawa mara apapase zile cheni, mara azishike na kuziunganisha, ilimradi tu alishaanza kumzoea mwalimu wake.
Sasa ikawa mpambano umepamba moto, kati ya mtu na mwanafunzi wake, John…
CHECHEMEA NAYO SASA…
Kama nilivyokwisha kueleza hapo awali, kuwa wawili hao kwa maana ya Madam Martha na mwanafunzi wake John ni watu wa mjini waliojikuta wakiishi mjini Katoro kwa mazingira ya...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Ooh…madam Martha!-3
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
Kuona hapati upinzani wala katazo lolote, Madam Martha ambaye ugonjwa wake mkubwa ni wanaume watanashati, aliupeleka mkono kifuani kwa denti wake na kuanza kuuchezesha kiaina huku akisifia kifua kipana cha John. Ikawa wakati akijiandaa kupiga hatua zaidi huku John akiwa ameduwaa kama aliyepigwa na shoti ya umeme, ghafla mlango ulifunguliwa bila mtu kubisha hodi.
YUMBAYUMBA NAYO SASA…
Kabla mlango haujafunguka wote, haraka sana Madam Martha alijiongeza na kwa kasi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-wpXC52QKRBzHuB38YpuvHKJJSaU9LEyAdHrWhDHXFn41MzViC*3uCDwMC9dj5yXTih39nv6tg85SHk4oxTuXFU/1Martha.jpg?width=650)
MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Martha Baraka ndani ya WRM Agosti 9
MWIMBAJI wa muziki wa injili nchini, Martha Baraka, anatarajia kuuteka ukumbi wa Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM), Kivule jijini Dar es Salaam Agosti 9, atakapoimba vibao vyake...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s72-c/martha.jpg)
MARTHA MLATA AMWAGA SOLA SEKONDARI YA MKALAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-p-zKNS1csOA/VIf1KNi7lTI/AAAAAAAAr_U/0S5xkyw_ANA/s1600/martha.jpg)
KERO ya maji safi na salama katika Shule ya Sekondari ya Nduguti wilayani Mkalama, imeanza kupatiwa ufumbuzi baada ya Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Martha Mlata, kubeba jukumu la kusaidia.
Martha, ambaye amekuwa akishiriki kwenye kusaidia huduma za kijamii kuhususan elimu na afya, ametosa sh. Milioni tatu katika kuhakikisha kero hiyo inapatiwa ufumbuzi.
Awali, wanafunzi walikuwa wakilazimika kukatisha masomo kwa saa 40 kwa mwezi ili kufuata maji umbali mrefu hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s72-c/index.jpg)
Martha Mwaipaja apania kuburudisha tamasha la Krismass.
![](http://1.bp.blogspot.com/-12osNiw7ZqI/VI5j8v2DJ9I/AAAAAAACwcM/HajjStifL2A/s1600/index.jpg)
9 years ago
MichuziMartha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...