Marufuku ya biashara ya miraa,Kenya
Ni mwaka mmoja tangu serikali ya Uingereza kupiga marufuku uuzaji na utumiaji wa miraa ama Mirungi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 May
Marufuku ya Miraa UK yazua kizaazaa Kenya
Wabunge kutoka eneo linalokuza mmea wa Khat au Miraa la Meru mashariki ya Kenya wametishia kuwasilisha mswada bungeni kulazimisha serikali kuwafukuza wakulima waingereza wanaoishi katika eneo hilo.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Marufuku ya Miraa yaanza rasmi UK
Marufuku ya utafunaji wa miraa nchni Uingereza inaanza kutekelezwa leo na kusababisha hofu ya kupoteza ajira kwa wakulima Kenya
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Marufuku ya Miraa yaanza kutekelezwa
Marufuku ya utafunaji wa miraa nchni Uingereza inaanza kutekelezwa leo na kusababisha hofu ya kupoteza ajira kwa wakulima Kenya
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wasomali walaani marufuku ya Miraa UK
Wasomali waishio Uingereza wanaotafuna mmea wa Miraa wamelaani hatua ya serikali kupiga marufuku mmea huo . Je nini athari yake?
5 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi13 Feb
JK APENDEKEZA KUPIGWA MARUFUKU YA BIASHARA YA MENO YA NDOVU NA PEMBE ZA FARU DUNIANI
Rais Jakaya Kikwete akiongea kuhusu mbinu za kukabiliana na ujangili na biashara haramu ya meno ya tembo na pembe za faru, ambapo katika mkutano maalumu wa tatizo hilo leo huko Lancaster House jijini London, Uingereza leo, mependekeza kupigwa marufuku kwa biashara hiyo ulimwenguni kote ili kuua biashara hiyo.
5 years ago
Michuzi
MKUU WA MKOA WA KIGOMA APIGA MARUFUKU WATOTO KUUZA BIASHARA MAENEO MBALIMBALI
Na Editha Karlo-Michuzi Blog,Kigoma.
MKUU wa mkoa Kigoma Emanuel Maganga amepiga marufuku kwa wanafunzi na watoto kutumika kuuza bidhaa kwenye masoko na maeneo ya biashara na badala yake wazazi watekeleze agizo la serikali la watoto na wanafunzi hao kukaa nyumbani.
Akizungumza leo wakati akifanya Ziara kwenye masoko ya Buzebazeba Ujiji, Mwanga na Kibirizi kukagua utekelezaji wa agizo la serikali kujilinda dhidi ya virus vya Corona alisema kuwa watoto watakaokuwepo wakiuza kwenye masoko wazazi...
5 years ago
Michuzi
DC NDEJEMBI APIGA MARUFUKU BIASHARA ZISIZO NA VITAKASA MIKONO NDANI YA WILAYA YA KONGWA
Charles James, Michuzi TV
MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepiga marufuku biashara zozote ndani ya wilaya hiyo ambazo hazina vifaa vya kujikinga na corona.
DC Ndejembi amewataka wafanyabiashara wote kuhakikisha wanaweka maji ya kunawa yanayotiririka, sabuni au vitakasa mikono ikiwa ni jitihada za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya mapafu maarufu Corona.
Akizungumza katika mkutano wake na watendaji wa kata zote za wilaya hiyo, DC Ndejembi pia amewataka watendaji hao...
11 years ago
BBCSwahili01 Aug
Kenya yakata rufaa ya marufuku ya CAF
Kenya imekata rufaa ya marufuku ya mwaka 1ya kocha Adel Amrouche na shirikisho la soka barani Afrika CAF.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania