Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku ya kampeni isiwe ya upande mmoja

Rais Jakaya Kikwete juzi alipiga marufuku vyama vya siasa na asasi za kiraia kufanya kampeni za kuhamasisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa, akisema kufanya hivyo ni kuvunja Sheria ya Kura ya Maoni kwa kuwa muda wake haujafika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia, Profesa Makame Mbarawa akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Mradi wa njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine kwenye sherehe zilizofanyika Pemba hivi karibuni.  Wawakilishi wa balozi mbalimbali na viongozi wa serikali wakiwa kwenye uzinduzi rasmi wa Mradi huo  Wageni mbalimbali  wakiwa kwenye uzinduzi huo mjini Pemba.  Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Technolojia,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hawawezi kuwa upande wa wananchi na mafisadi kwa wakati mmoja

KUNA msemo usemao kwamba huwezi kuila keki yako halafu ukabakiwa nayo. Mtu mwenye keki ana uamuzi mmoja kati ya miwili. Uile keki yako nayo itoweke, au usiile ubakiwe nayo. Lakini...

 

11 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!-2

Tunaendelea na mada yetu nzuri tuliyoianza wiki iliyopita. Somo tajwa hapo juu ni muhimu sana. Wanaume wamekuwa wakilifanya suala la mchepuko kuwa halali yao, wanawaona wanawake ni wakosaji pindi wanapochepuka. Mchepuko ni halali yao.
ENDELEA… Michepuko ikishakuwa mingi, ni rahisi kushindwa kupafomu vizuri nyumbani na hapo ndipo tatizo linapohamia kwa mke. Mke anakosa haki yake kwa muda mrefu, ataanza kumlalamikia mumewe...

 

11 years ago

GPL

MCHEPUKO SI NDIYO DILI, KWA NINI UWE UPANDE MMOJA!

Bila shaka mu wazima wa afya wasomaji wa safi hii. Ni siku nyingine tena Mungu ametujalia tunakutana katika safu yetu na kujuzana mawili matatu yahusuyo maisha yetu ya uhusiano. Muhimu kupeana darasa maana ni moja ya kujifunza vitu vipya au kukumbushana vile ambavyo tayari tunavifahamu. Hakika hakuna asiyejua mchepuko katika kizazi cha leo. Watu wanachepuka kwenye ndoa na hata kwenye uchumba. Anayechepuka huwa akilini mwake ana...

 

10 years ago

Mwananchi

JK apiga marufuku kampeni, Ukawa wanasa waraka mzito

Wakati Rais Jakaya Kikwete akipiga marufuku vyama vya siasa na asasi za kiraia kufanya mapema kampeni za kuhamasisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umenasa waraka wa mkakati wa kutumia Sh2.5 bilioni za umma kuipigia debe katiba hiyo.

 

10 years ago

StarTV

Wanasiasa wapigwa marufuku kutumia maeneo ya shule kupiga kampeni

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji wa Tarime na msimamizi wa uchaguzi Venance Mwamengo amevitaka vyama vya siasa kuacha kutumia maeneo ya shule na vyuo kuendesha mikutano yao ya kampeni ili kuepuka kuvuruga masomo kwa wanafunzi husika.

Amesema hayo wakati mgombea ubunge katika Jimbo la Tarime Mjini Ester Matiko alipochukua fomu ya kuwania ubunge.

Mwamengo amesema kwamba hata ruhusu ratiba ya chama chochote cha siasa, kuendesha mikutano yao ya kampeni katika maeneo ya taasisi yoyote ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM APIGA MARUFUKU MAANDAMANO KATIKA KIPINDI CHA KAMPENI.


Jiji la Dar es Salaam limepiga marufu maandamno yeyote ya vyama vya siasa hasa wakati wa kampeni na kwamba kufanya hivyo ni kinyume na sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa chama au wafuasi wowote watakaobainika kufanya maandamo hayo.Agizo hilo kali kwa wafuasi na vyama vya siasa imekuja siku moja tu kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, ambapo kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam vyama vyote vya siasa na wafuasi wao watakaofanya kampeni zao Dar es Salaam hawanabudi...

 

5 years ago

Michuzi

UVUTAJI WA TUMBAKU UNA ATHARI KIUCHUMI WA MTU MMOJA MMOJA ANAYETUMIA


Na WAMJW-Dodoma

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema Tanzania kama nchi nyingine za Kiafrika wavutaji wa tumbaku wako hatarini kuyumba kiuchumi na kupata magonjwa yasiyoambukizwa kama tahadhari hazitachukuliwa mapema.

Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa ripoti ya utafiti wa matumizi ya tumbaku kwa watu wazima wa mwaka 2018 nchini uliofanyika mapema leo katika Ukumbi wa Takwimu jijini Dodoma.

Waziri Ummy amesema utafiti huo umeonesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani