Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masaa 24 kabla ya kuunguruma DMV: Ismail Jussa afanya ziara USA State Department

Amb. Donald Teitelbaum, Deputy Assistant Secretary, Bureau of African Affairs akiwa na Ismail Jussa US State dept janaMh. Jussa anatarajia kuunguruma MDV leo jion kuanzia saa kumi hadi mbili usiku.Ataongelea mchakato wote wa Katiba: na uamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu. Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na kwa nini UKAWA hawatashiriki kura ya maoni.Mhe. Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha wanainchi CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI

Kabla ya mkutano kuanza, picha ya juu na chini zinazofuata, zikionyesha  kisimamo cha dakika moja kumuombe na kada  na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, John Komba

MC katika mkutano huo, Bw.Libe Mwang'ombe, aliyeumudu kuuendesha mkutano kwa utaratibu uliotakiwa na kwa usalama hadi mwisho bila jazba hadi mwisho masuali yaliulizwa kwa vifungu na kujibiwa ipasavyo   Dada Salma akiuliza suali kwa wakati wake, masuali mengi yaliulizwa na wadau mbali mbali ambyo yalikuwa ya msingi kwa mustakabali...

 

10 years ago

Michuzi

Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe (Cuf) Ismail Jussa Ladhu azungumza na watanzania DMV

 Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe. Ismail Jussa Ladhu akiongea na Watanzania wa DMV siku ya Jumamosi Feb 28, 2015 kwenye ukumbi wa Tabeer Hall uliopo University Blvd East, Hyattsville, Maryland, Nchini Marekani.   Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)



Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.

 

10 years ago

Vijimambo

WATU NA MATUKIO KATIKA MKUTANO WA MHESHIMIWA ISMAIL JUSSA


Pichan ni wana DMV waliofika kumsikiliza Mh.Jussa katika mkutano uliofanyika jana jJumamosi, Maryland USA, alielezea vipi katiba ilivyochakachuliwa na kutoa sababu kwa nini UKAWA hawatoshiriki katika kura ya maoni

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: FIRM CONFIRMED: ISMAIL JUSSA IN WASHINGTON D.C., FEB 28, 2015


Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo Washington, D.C. (DMV) kuongea na waTanzania Jumamosi February 28, 2015 kuanzia saa 10 jioni hadi mbili usiku (4pm-8pm). Zingatia muda
Agenda;Mchakato wote wa Katiba mpyaUfafanuzi juu ya muundo wa serikali tatuUamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pachaMaswali na majibu bila kikomo

Address: TABEER HALL 1401 UNIVERSITY...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA AFANYA ZIARA WILAYA MPYA YA MKALAMA,KUUNGURUMA LEO LIVE STAR TV MKUTANO WA HADHARA MJINI SINGIDA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana na Msafara wake wakielekea kukagua mradi wa ujenzi wa Daraja la Mto Sibiti linalounganisha wilaya za Meatu mkoani Simiyu na Mkalama, Singida wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua, kuhimiza na kusukuma ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya CCM, kukagua maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.Kinana leo na viongozi mbalimbali wa chama hicho...

 

10 years ago

Vijimambo

Kwanini naunga mkono kwa Mh Edward Lowassa kukaribishwa UKAWA : Ismail Jussa

Mjadala mkubwa umezuka kuhusu mwelekeo wa ushirikiano wa vyama vikuu vya upinzani vinavyounda UKAWA na hatua ya kumkaribisha Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Mhe. Edward Lowassa, ili kushirikiana kuiondosha madarakani CCM pamoja na mfumo wake wa kikandamizaji na kifisadi ulioambatana na kiburi kikubwa cha watawala.

Baada ya kusoma maoni na mitazamo ya watu mbali mbali, nataka na miye nieleze mtazamo wangu kuhusiana na masuala hayo lakini zaidi nikirudi nyuma katika miaka ya 1991 na...

 

10 years ago

US Department Of State (Press Release)

State Department's First Connect Camp in Tanzania Empowers Young African ...


State Department's First Connect Camp in Tanzania Empowers Young African ...
US Department of State (press release)
The Bureau of Educational and Cultural Affairs (ECA) will conduct eight Connect Camps in Tanzania, Namibia, Rwanda, and Cote d'Ivoire during 2015-2016 supporting alumni from the Mandela Washington Fellowship (MWF) for Young African Leaders and ...

 

11 years ago

Michuzi

Mdau Ismail Bibangamba ala nondozzz katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University)

Katika Mahafali ya Spring 2014 Commencement (Bowie State University) akiwemo mTanzania anayeishi hapa mjini Maryland,  Ismail Bibangamba, ameweza kutimiza ndoto yake ya kufaulu nondo zzz ya Master of Business Administration siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani Comcast Center, College Park Maryland Nchini Marekani. Ismail John Bibangamba akipita picha ya kumbukumbu  baada ya kuchukua nondozzz yake ya Master of Business Administration, siku ya Jumatatu May 19. 2014 Ndani ya Mjengo wa Comcast...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani