Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe (Cuf) Ismail Jussa Ladhu azungumza na watanzania DMV
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe. Ismail Jussa Ladhu akiongea na Watanzania wa DMV siku ya Jumamosi Feb 28, 2015 kwenye ukumbi wa Tabeer Hall uliopo University Blvd East, Hyattsville, Maryland, Nchini Marekani.
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BdDUeaP4ke4/VPHcEWVp4kI/AAAAAAAABH4/1WTCikbvSDI/s72-c/Jussa.jpg)
Masaa 24 kabla ya kuunguruma DMV: Ismail Jussa afanya ziara USA State Department
![](http://1.bp.blogspot.com/-BdDUeaP4ke4/VPHcEWVp4kI/AAAAAAAABH4/1WTCikbvSDI/s1600/Jussa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-38GHAYHjR44/VPHcfD0V82I/AAAAAAAABIA/ZGQo3nZQM1Q/s1600/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
9 years ago
Habarileo27 Oct
Polisi wazima vurugu za CUF Mji Mkongwe
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eeLXn2f3DIQ/default.jpg)
Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Q1Rh4Iy-dr4/default.jpg)
WATU NA MATUKIO KATIKA MKUTANO WA MHESHIMIWA ISMAIL JUSSA
Pichan ni wana DMV waliofika kumsikiliza Mh.Jussa katika mkutano uliofanyika jana jJumamosi, Maryland USA, alielezea vipi katiba ilivyochakachuliwa na kutoa sababu kwa nini UKAWA hawatoshiriki katika kura ya maoni
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-J7xcwiXOFTc/VO6vWpMibpI/AAAAAAAABHk/yJqC4VlPDeY/s72-c/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
BREAKING NEWS: FIRM CONFIRMED: ISMAIL JUSSA IN WASHINGTON D.C., FEB 28, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-J7xcwiXOFTc/VO6vWpMibpI/AAAAAAAABHk/yJqC4VlPDeY/s1600/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo Washington, D.C. (DMV) kuongea na waTanzania Jumamosi February 28, 2015 kuanzia saa 10 jioni hadi mbili usiku (4pm-8pm). Zingatia muda
Agenda;Mchakato wote wa Katiba mpyaUfafanuzi juu ya muundo wa serikali tatuUamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pachaMaswali na majibu bila kikomo
Address: TABEER HALL 1401 UNIVERSITY...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s72-c/Jussa.jpg)
Kwanini naunga mkono kwa Mh Edward Lowassa kukaribishwa UKAWA : Ismail Jussa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s320/Jussa.jpg)
Baada ya kusoma maoni na mitazamo ya watu mbali mbali, nataka na miye nieleze mtazamo wangu kuhusiana na masuala hayo lakini zaidi nikirudi nyuma katika miaka ya 1991 na...
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
Mwakilishi Jimbo la Bububu Mhe BHAA akanusha tuhuma ya gari lake kuhusika mashambulizi dhidi ya Wanachama wa CUF
11 years ago
Michuzi12 Jun