WATU NA MATUKIO KATIKA MKUTANO WA MHESHIMIWA ISMAIL JUSSA
![](http://img.youtube.com/vi/Q1Rh4Iy-dr4/default.jpg)
Pichan ni wana DMV waliofika kumsikiliza Mh.Jussa katika mkutano uliofanyika jana jJumamosi, Maryland USA, alielezea vipi katiba ilivyochakachuliwa na kutoa sababu kwa nini UKAWA hawatoshiriki katika kura ya maoni
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eeLXn2f3DIQ/default.jpg)
Hotuba ya Ismail Jussa Washington DC (Part2)
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.
10 years ago
VijimamboWATANZANIA WAISHIO DMV USA WALIPOKUTANA KUMSIKILIZA MH. ISMAIL JUSSA, ALIPOELEZEA UCHAKACHULIWAJI WA MAONI YA KATIBA NA KUELEZEA SABABU ZINAZOIFANYA UKAWA KWA NINI HAITOSHIRIKI KATIKA KURA YA MAONI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-J7xcwiXOFTc/VO6vWpMibpI/AAAAAAAABHk/yJqC4VlPDeY/s72-c/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
BREAKING NEWS: FIRM CONFIRMED: ISMAIL JUSSA IN WASHINGTON D.C., FEB 28, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-J7xcwiXOFTc/VO6vWpMibpI/AAAAAAAABHk/yJqC4VlPDeY/s1600/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo Washington, D.C. (DMV) kuongea na waTanzania Jumamosi February 28, 2015 kuanzia saa 10 jioni hadi mbili usiku (4pm-8pm). Zingatia muda
Agenda;Mchakato wote wa Katiba mpyaUfafanuzi juu ya muundo wa serikali tatuUamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na uraia pachaMaswali na majibu bila kikomo
Address: TABEER HALL 1401 UNIVERSITY...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s72-c/Jussa.jpg)
Kwanini naunga mkono kwa Mh Edward Lowassa kukaribishwa UKAWA : Ismail Jussa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s320/Jussa.jpg)
Baada ya kusoma maoni na mitazamo ya watu mbali mbali, nataka na miye nieleze mtazamo wangu kuhusiana na masuala hayo lakini zaidi nikirudi nyuma katika miaka ya 1991 na...
10 years ago
Michuzi03 Mar
Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe (Cuf) Ismail Jussa Ladhu azungumza na watanzania DMV
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BdDUeaP4ke4/VPHcEWVp4kI/AAAAAAAABH4/1WTCikbvSDI/s72-c/Jussa.jpg)
Masaa 24 kabla ya kuunguruma DMV: Ismail Jussa afanya ziara USA State Department
Amb. Donald Teitelbaum, Deputy Assistant Secretary, Bureau of African Affairs akiwa na Ismail Jussa US State dept jana
Mh. Jussa anatarajia kuunguruma MDV leo jion kuanzia saa kumi hadi mbili usiku.Ataongelea mchakato wote wa Katiba: na uamuzi wa UKAWA kususia mchakato huo dhalimu. Kwa nini Diaspora walitengwa kutoa maoni na kwa nini UKAWA hawatashiriki kura ya maoni.
Mhe. Ismail Jussa (Muwakilishi wa Stone, Town, Zanzibar) kupitia chama cha wanainchi CUF na mjumbe wa UKAWA atakuwepo...
![](http://1.bp.blogspot.com/-BdDUeaP4ke4/VPHcEWVp4kI/AAAAAAAABH4/1WTCikbvSDI/s1600/Jussa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-38GHAYHjR44/VPHcfD0V82I/AAAAAAAABIA/ZGQo3nZQM1Q/s1600/Jussa%2BWashington%2BDC.jpg)
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://img.youtube.com/vi/c8adcYnIulQ/default.jpg)
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, aongea katika mkutano wa sekta ya nyumba
mahojiano ya Mheshimiwa Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, akihojiwa na Cloudstv wakati wa mkutano wa uwekezaji sekta ya nyumba uliofanyika tarehe 11 Juni, 2014 katika Hotel ya Jumeirah Madnat Dubai. Makamu wa Rais Mheshimiwa Dkt Mohamed Bilal alikuwa mgeni rasmi.
5 years ago
MichuziMatukio Katika Picha: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefunga Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini Tanzania 2020 JNICC, DSM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania