Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashali: Serikali inaua michezo

NDONDI ni kati ya michezo ambayo inaweza kuiletea sifa nzuri nchi yetu kutokana vijana wengi kuamua kujikita katika mchezo huu ambao sasa ni ajira ya uhakika. Lakini, tatizo kubwa ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YASHAURI WADAU WA MICHEZO KUJITOKEZA KUSAIDIA MICHEZO NCHINI

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kupokea msaada wa hundi ya milioni kumi kutoka Zantel kwa ajili ya Chama cha Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT) leo jijini Dar es Salaaam, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (kulia), Afisa Mtendaji Mkuu Zantel Bw. Pratap Ghose (kushoto) pamoja na ...

 

9 years ago

Habarileo

RT: Mikoa inaua riadha

RIADHA Tanzania (RT) imeitupia lawama mikoa kwa kushindwa kuendeleza mchezo huo nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Hewa chafu inaua mamilioni duniani

Watu milioni saba walifariki mwaka 2012 kutokana na hewa chafu, kwa mujibu wa shirika la afya duniani

 

11 years ago

Habarileo

Homa ya ini inaua kuliko Ukimwi - daktari

IDARA ya afya mkoani hapa imehadharisha jamii dhidi ya ugonjwa wa ini, ikisema ni mbaya zaidi ya virusi vya Ukimwi.

 

11 years ago

KwanzaJamii

Kansa inaua wanawake 250,000 kila mwaka

Na Albano Midelo TAKWIMU zinaonyesha kuwa kila mwaka nchini Tanzania akina mama zaidi ya 8,000 hufariki dunia kutokana na matatizo mbalimbali ya uzazi. Wanawake pia wanakabiliwa na tatizo jingine la kiafya ambalo ni ugonjwa wa saratani au kansa ya kizazi ambayo inaelezwa ndiyo inayoongoza katika kusababisha vifo vitokanavyo na kansa kwa akina mama waliopo katika nchi zinazoendelea. Utafiti unaonyesha kwamba akina mama zaidi ya 500,000 hupatwa na ugonjwa wa kansa ya uzazi kila mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ifanya mambo manne, kuinua michezo

Kwa takribani siku 28 nilikuwa miongoni mwa watu waliopata bahati yakushuhudia vijana wadogo wa Kitanzania wakionyesha vipaji walivyojaliwa na Mwenyezi Mungu katika mashindano ya shule ya Umisseta na Umitashuta.

 

11 years ago

Dewji Blog

Serikali yaunga mkono jitihada za wadau wa Michezo

IMG_6504 bacelona

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu  makocha wa Timu ya Barcelona  kutoka nchini Hispania  ambao wako nchini kwa ajili ya  mafunzo ya makocha yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili, wa kwanza kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, mafunzo hayo yanatolewa kwa ushirikiano na Kiwanda cha Bia cha Tanzania Breweries.

Na Genofeva...

 

9 years ago

StarTV

Serikali awamu ya tano Yashauriwa kutenganisha Wizara ya Michezo.

Serikali ya awamu ya tano, imeshauriwa kuitenganisha Wizara ya Michezo na wizara nyingine, ili kusukuma maendeleo ya michezo nchini. Katika awamu iliyopita, michezo ilikuwa Wizara moja na Habari, Vijana na Utamaduni, na hivyo baadhi ya wadau kudai kwamba waziri husika alikuwa na mzigo wa kushughulikia sekta nne kwa wakati mmoja. Ushauri kwa serikali mpya umetolewa na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA) mkoani Dar es Salaam, Majaliwa Mbassa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani