Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi ya risasi yatokea Congo

Mashambulizi ya risasi yalenga kituo cha Radio na Televishen ya Taifa demokrasia ya Congo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mengine yatokea Lamu

Watu waliojihami wamevamia kijiji cha Pandanguo katika Kaunti ya Lamu Pwani ya Kenya na kuteketeza nyumba pamoja na shule.

 

10 years ago

BBCSwahili

Congo DR yaitia adabu Congo Brazaville

DR Congo ilitoka nyuma na kuishinda Congo kwa mabao 4-2 na kufika katika semi fainali ya mechi za kombe la Afrika.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji zaidi yatokea Nigeria

Ghasia zaidi zimetokea Kaskazini Mashariki mwa Nigeria ambapo watu 13 wameuawa baada ya watu wengine 29 kuuawa mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano zaidi yatokea CAR

Mapigano mapya yametokea tena nchini Jamuhuri ya Afrika ya Kati kati ya Waislamu na Wakristo

 

10 years ago

CloudsFM

Ajari mbaya yatokea Mbeya

Abiria wapatao 65 wamenusurika kifo baada ya uhodari wa dereva wa Bus la Nganga Express linalo fanya safari yake Mbeya - Dar, baada ya kulikwepa Lori uso kwa uso na kulitosa kwenye mtaro ilikoa roho za abiria na wafanyakazi wa Bus hilo. Majeruhi wa5 wamekimbizwa hospitali ya rufaa Mbeya. Ajari imetokea Mbeya kijiji cha Lilongo asbh hii majira ya 12.48. Ashukuliwe Mungu kwa kumpa dereva ujasiri huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Milipuko yatokea jeshini Sudan

Kumetokea milipuko katika maeno ya jeshi nje ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum.

 

10 years ago

GPL

AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO

Basi la Kampuni ya Air Bus likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali. Raia wakijaribu kuokoa maisha ya abiria waliopata ajali. Miili ya abiria waliopoteza maisha kwenye ajali…

 

10 years ago

GPL

AJALI YATOKEA ENEO LA BAMAGA, DAR

Gari aina ya Nissan Navara lenye namba za usajili T 900 CEH likiwa eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar baada ya kugongana na daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU linalofanya safari zake kati ya Mwenge - Kariakoo jioni hii. Daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU…

 

11 years ago

BBCSwahili

Milipuko miwili yatokea,Gikomba, Nairobi

Milipuko miwili ya maguruneti imetokea katika Soko kubwa zaidi nchini Kenya la Gikomba linalopakana na mtaa wa Easteleigh

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani