Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASHARTI WALIYOPEWA CHELSEA KUHAMIA WEMBLEY STADIUM

Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Chelsea, inatarajia kutumia uwanja wa Wembley kwa muda ili kupisha marekebisho ya uwanja wao wa Stamford Bridge.
Chelsea itapewa uwanja wa Wembley kama itakidhi vigezo vilivyotolewa na uongozi husika wa uwanja huo ikiwemo kuhakikisha mashabiki watakaoingia uwanjani hawapungui elfu 50. Mchakato wa marekebisho ya Stamford Bridge yalianza mwaka mmoja uliopita chini ya mmiliki wa klabu hiyo Roman Ibramovich, lengo kuu likiwa ni kuongeza viti ili...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UHAKIKI WA KAZI ZA VIJANA WALIYOPEWA MASHINE NA NHC WAFANYIKA MIKOANI

New Picture (10)Kikundi cha vijana 40 kiitwacho Wajenzi Isoso Wilayani Kishapu kikiendelea na ufyatuaji matofali ya kufungamana wakati kilipotembelewa na Meneja wa NHC wa Huduma kwa Jamii, Bw. Muungano Saguya kwa nia ya kuhakiki kazi wanazofanya. Halmashauri ya Wilaya hiyo imewapa vijana maeneo ya kufanyia kazi na mtaji wa kufanyia kazi zao. New Picture (11)Kiongozi wa kikundi cha vijana 40 cha Wajenzi Isoso, Wilayani Kishapu akisoma risala kwa Meneja wa NHC wa Huduma kwa Jamii, Bw. Muungano Saguya (wa pili kushoto...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wembley Don yavurugwa

Mkurugenzi wa uwanja wa Wembley Don Roger Maslin anausikitiakia uwanja wake kwa jinsi ulivyovurugwa na wacheza Ragby..

 

10 years ago

BBCSwahili

Wembley kuandaa Euro 2020

Uwanja wa Wembley ni miongoni mwa viwanja vitakavyoandaa mechi za Euro

 

10 years ago

Vijimambo

Kocha apinga Football ya Marekani ,Wembley

Kocha wa timu ya soka ya England Roy Hodgson amehoji uamuzi wa chama cha soka nchini humo FA kuruhusu mechi ya mchezo wa Football ya marekani kuchezwa kwenye uwanja wa Wembley siku sita tu kabla ya mapambano ya soka kuwania kufuzu katika fainali za kombe la Ulaya kati ya England na Slovenia

Mchuano wa jumapili hii kati ya Jacksonville Jaguars na Dallas Cowboys ni wa tatu kuchezwa katika huo mwaka huu.


Hodgson analalamika kuwa mchezo wa Football ya marekani unaharibu uwanja na hivyo kuna...

 

9 years ago

Dewji Blog

Klabu ya mchezo wa draft Wembley manispaa ya Singida, yaendesha shindano la kugombea Mbuzi

IMG_1833

Diwani wa kata ya Kisaki (CCM) manispaa ya Singida, Mosses Ikaku (kushoto) akimkabidhi Rajabu Nkungu zawadi ya Beberu la Mbuzi, kilo 10 za mchele na kreti ya soda, baada ya kuwa mshindi wa kwanza kwenye shindano la draft lililoshirikisha wachezaji 86. Shindano hilo liliandaliwa na kufadhiliwa na klabu ya draft ya Wembley ya mjini hapa. IMG_1849 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley wakicheza mchezo wa draft. IMG_1855 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley...

 

10 years ago

Dewji Blog

First Look at the 2020 Olympic Stadium!

We’re close to the end of the 2014 world cup, and in Japan they already know what their 2020 Olympic stadium, in which it will host the greatest sports event in the world, will look like. 

There is an informal competition between countries hosting the Olympic games – who can produce the most grandiose event. Well, Japan is already laying infrastructure and has been preparing since it was first named.

The stadium is the masterpiece of these preparations, and it is cutting edge not only ind...

 

9 years ago

BBC

Kenya's stadium for alcoholics

Why Kenya is treating alcoholics in a sports stadium

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani