Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wembley kuandaa Euro 2020

Uwanja wa Wembley ni miongoni mwa viwanja vitakavyoandaa mechi za Euro

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Top Flight

No EURO 2020 and only EURO 2021 due to Coronavirus outbreak

No EURO 2020 and only EURO 2021 due to Coronavirus outbreak  The Top FlightEuro 2020 Postponed for a Year due to coronavirus  beIN SPORTS MENA Breaking NewsEuro 2020 postponed for a year  Barca BlaugranesFootball news - Euro 2020 postponed until 2021 - reports  Eurosport.comUEFA Postpone EURO 2020 - Official Statement in Full  90minView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 15.03.2020: Euro 2020, Mahrez, Aubameyang, Bailey, Kondogbia, Neymar, Mane

Huenda Uefa ikaahirisha Euro 2020 hadi Desemba ili kutoa fursa kwa Ligi ya Premier na mashindano mengine ya vilabu kumalizika baada ya kutokea kwa janga la Corona.

 

5 years ago

The Sun

Coronavirus in sport LIVE: Euro 2020 POSTPONED, Champions League final moved and horse racing CANCELLED

Coronavirus in sport LIVE: Euro 2020 POSTPONED, Champions League final moved and horse racing CANCELLED  The SunCoronavirus in sport live updates: UEFA plan to delay Euro 2020 until summer 2021 but finish Champions  talkSPORT.comArsenal's Ainsley Maitland-Niles 'axed by Mikel Arteta'  Sports Mole11pm Arsenal news LIVE: Arteta wife issues coronavirus update, Saka FUT revealed, Diop transfer wanted  The SunCoronavirus in sport live updates: UEFA postpone Euro 2020 until 2021, Grand National...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI KUANDAA MPANGO KAZI WA KITAIFA WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI YA ZEBAKI KWA WACHIMBAJI WADOGO WA DHAHABU (2020-205)

Na.Faustine Gimu,Dodoma.Serikali kwa kushirikiana na wadau imeandaa na kuanza kutekeleza Mpango-Kazi wa Kitaifa wa Kupunguza Matumizi ya Zebaki kwa Wachimbaji Wadogo wa Dhahabu  (2020 – 2025).
Hayo yamesemwa  jana April 16 Bungeni jijini Dodoma  na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Makamu Wa Rais Muungano na Mazingira  Mhe. Mussa Azzan Zungu  wakati akiwasilisha hotuba Kuhusu Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Kwa Mwaka 2020/21 . Waziri Zungu amebainisha kuwa Mpango-Kazi  huo unalenga kupunguza matumizi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wembley Don yavurugwa

Mkurugenzi wa uwanja wa Wembley Don Roger Maslin anausikitiakia uwanja wake kwa jinsi ulivyovurugwa na wacheza Ragby..

 

5 years ago

Pound Sterling Forecast

Pound to Euro Exchange Rate: What Factors are Likely to Affect the Pound to Euro Rate Ahead?

Pound to Euro Exchange Rate: What Factors are Likely to Affect the Pound to Euro Rate Ahead?  Pound Sterling ForecastGBP/USD Forecast: UK-EU trade negotiations loom  FXStreetEUR/USD Bottom Found? Euro and British Pound Outpace US Dollar  DailyFXPound to Euro Exchange Rate: Can the Euro's Late Rally Trigger a Rebound?  Pound Sterling ForecastEUR/USD: Is This Short Term Correction Or Fresh Increase?  Action ForexView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Vijimambo

Kocha apinga Football ya Marekani ,Wembley

Kocha wa timu ya soka ya England Roy Hodgson amehoji uamuzi wa chama cha soka nchini humo FA kuruhusu mechi ya mchezo wa Football ya marekani kuchezwa kwenye uwanja wa Wembley siku sita tu kabla ya mapambano ya soka kuwania kufuzu katika fainali za kombe la Ulaya kati ya England na Slovenia

Mchuano wa jumapili hii kati ya Jacksonville Jaguars na Dallas Cowboys ni wa tatu kuchezwa katika huo mwaka huu.


Hodgson analalamika kuwa mchezo wa Football ya marekani unaharibu uwanja na hivyo kuna...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MASHARTI WALIYOPEWA CHELSEA KUHAMIA WEMBLEY STADIUM

Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Chelsea, inatarajia kutumia uwanja wa Wembley kwa muda ili kupisha marekebisho ya uwanja wao wa Stamford Bridge.
Chelsea itapewa uwanja wa Wembley kama itakidhi vigezo vilivyotolewa na uongozi husika wa uwanja huo ikiwemo kuhakikisha mashabiki watakaoingia uwanjani hawapungui elfu 50. Mchakato wa marekebisho ya Stamford Bridge yalianza mwaka mmoja uliopita chini ya mmiliki wa klabu hiyo Roman Ibramovich, lengo kuu likiwa ni kuongeza viti ili...

 

9 years ago

Dewji Blog

Klabu ya mchezo wa draft Wembley manispaa ya Singida, yaendesha shindano la kugombea Mbuzi

IMG_1833

Diwani wa kata ya Kisaki (CCM) manispaa ya Singida, Mosses Ikaku (kushoto) akimkabidhi Rajabu Nkungu zawadi ya Beberu la Mbuzi, kilo 10 za mchele na kreti ya soda, baada ya kuwa mshindi wa kwanza kwenye shindano la draft lililoshirikisha wachezaji 86. Shindano hilo liliandaliwa na kufadhiliwa na klabu ya draft ya Wembley ya mjini hapa. IMG_1849 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley wakicheza mchezo wa draft. IMG_1855 Baadhi ya wanachama wa klabu ya wachezaji wa draft ya Wembley...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani