Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa Mbunge wangau:Luckson Mwanjale

Umeongoza kwa kipindi cha miaka minane sasa lakini mbona hatuoni lolote la maana ulilotufanyia wananchi wa Mbalizi?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA MBEYA VIJINI LUCKSON MWANJALE (REV) AANGUKA GHAFLA BUNGENI


Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake huko bado hakijafahamika na sasa yupo kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.Taarifa zaidi baadae kidogo.  Picha kwa hisani ya Father Kidevu

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ.....: Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale aanguka ghafla bungeni leo

Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chango cha kuanguka kwake huko bado hakijafahamika na sasa huko kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.Taarifa zaidi baadae kidogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan

Halmashauri ya Kinondoni ilibomoa makazi ya watu waliokuwa wakiishi Magomeni Kota kwa madai ya kuanzisha miradi lakini ni zaidi ya miaka minne hakuna kilichofanyika, kwa nini waliwasumbua watu?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Tundu Lissu

Umewaagiza wananchi wasichangie miradi yao ya maendeleo kwa madai Serikali ina fedha za kutosha za kugharamia, mbona hadi sasa hujahimiza Serikali ilete hizo fedha pamoja na za ujenzi wa maabara?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu Aliko Kibona

Wewe na Rais Jakaya Kikwete wakati wa kampeni za 2010 mliahidi kujenga barabara ya lami kutoka Mpemba hadi Isongole, lakini hivi sasa hakuna dalili wala maelezo kwa nini jambo hilo halijatekelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Mustapha Akunaay

Tangu niwe Mbunge wananchi wa jimbo la Mbulu wamejua haki zao za kikatiba na wamekuwa jasiri kutetea na kudai haki hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Israel Natse

1. Agnes Michael, mkazi wa Kijiji cha Gongali, Kata ya Qurus.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani