Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maswali kumi kwa mbunge Idd Azzan

Halmashauri ya Kinondoni ilibomoa makazi ya watu waliokuwa wakiishi Magomeni Kota kwa madai ya kuanzisha miradi lakini ni zaidi ya miaka minne hakuna kilichofanyika, kwa nini waliwasumbua watu?

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Said Mtanda

Uliahidi ujenzi wa miundombinu ya huduma za kijamii, maji na barabara utekezaji wa ahadi hiyo ukoje?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Said Barwani

Wakati unaomba ubunge ulituahidi kuwa tukikuchagua utahakikisha unasimamia sera ya afya na kwamba wanawake wajawazito wanapewa huduma, lakini hivi sasa wanalazimika kununua vifaa vya kuwasaidia kujifungua.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Dk Faustine Ndugulile

Kwa nini hutembelei baadhi ya maeneo hasa nje ya Tandika, Temeke na Buza naomba ututembelee usisubiri hadi uchaguzi ufike kwani huku maeneo ya Kurasini kuna kero nyingi tunahitaji kukuona siyo hadi wakati wa kampeni.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Gregory Teu

Uliahidi kuwa karibu na wananchi wako lakini hata ulipovuliwa unaibu waziri bado uko Dar je, ulitudanganya?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu Mohammed Dewji

Nitawaagiza wataalamu kutoka ofisi ya mkurugenzi wa manispaa waje kutembelea kikundi chenu na kutoa ushauri na elimu ya ufugaji wa samaki kisasa, pamoja na kukisajili.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu:Ezekia Wenje

Katika miaka minne ya ubunge wako umeleta mendeleo gani kwa wananchi hasa Kata ya Mkolani?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangau:Luckson Mwanjale

Umeongoza kwa kipindi cha miaka minane sasa lakini mbona hatuoni lolote la maana ulilotufanyia wananchi wa Mbalizi?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joseph Mbilinyi

Lini Jiji la Mbeya litapata barabara za njia mbili kupunguza msongamano?

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa Mbunge wangu: Zitto Kabwe

Vijana wengi wamekuwa wakijishughulisha na kazi mbalimbali za kujiajiri kama vile kilimo, kuchimba mawe na mchanga, uvuvi na nyinginezo. Vijana wa Msimba walioamua kujiajiri kwa kufyatua matofali wanatozwa ushuru eti tofali ni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani