MBUNGE WA MBEYA VIJINI LUCKSON MWANJALE (REV) AANGUKA GHAFLA BUNGENI
Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake huko bado hakijafahamika na sasa yupo kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.Taarifa zaidi baadae kidogo. Picha kwa hisani ya Father Kidevu
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale aanguka ghafla bungeni leo
10 years ago
GPLMBUNGE WA MBEYA VIJIJINI AANGUKA GHAFLA BUNGENI JANA
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge aanguka ghafla bungeni
MBUNGE wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Lackson Mwanjali ameanguka ghafla katika eneo la Bunge, mjini hapa jana. Mbunge huyu, alipatwa na mkasa huo jana majira ya saa sita mchana. Walioshuhudia tukio...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangau:Luckson Mwanjale
10 years ago
Michuzi12 Nov
Mh. Mwanjale arejea Bungeni leo
![](https://3.bp.blogspot.com/-AQ6qzK9QwVE/VGOFOywzvZI/AAAAAAAGwy0/5xbSYv5vU_U/s640/IMG-20141112-WA0003.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DaPq7n9rgpY/VGOFQNMB60I/AAAAAAAGwy8/qkG1f3H8-1M/s640/IMG-20141112-WA0004.jpg)
10 years ago
CloudsFM27 Nov
SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s72-c/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA KWA KUSHILIKIANA NA BENKI YA NMB YAMWAGA MADAWATI 84 SHULE ZA MSINGI ITIJI NA IVUMWE JINI MBEYA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-eDYrPX9u4Tc/VMDKFfw6pYI/AAAAAAAACJI/epOhsY4Mxr4/s1600/TUMAINI%2BSEMA.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ndeL_cgZELs/VMDJ0Y5wfnI/AAAAAAAACIw/kmARkGFEgXw/s1600/NMB%2Bna%2BMwanjelwa.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Mbunge azomewa bungeni
MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Dk. Godluck Ole Medeye (CCM), amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa na baadhi ya wabunge wenzake kutokana na kushindwa kuuliza swali la nyongeza. Hali hiyo...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mbunge Chadema atinga bungeni