Mh. Mwanjale arejea Bungeni leo
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini,Mchungaji Luckson Mwanjale (kulia) akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi,Mh. David Silinde na Mh. Athuman Mfutakamba wakati akiwasili Bungeni mjini Dodoma leo.Mchungaji Mwanjale alipatwa na ugonjwa wa ghafla uliompelekea kukosa nguvu na kuanguka juzi Novemba 10,2014 wakati vikao vya Bunge vikiendelea,hali iliyopelekea kukimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.sasa yuko vizuri na amerejea Bungeni.
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini,Mchungaji Luckson...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale aanguka ghafla bungeni leo
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MBEYA VIJINI LUCKSON MWANJALE (REV) AANGUKA GHAFLA BUNGENI
Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake huko bado hakijafahamika na sasa yupo kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.Taarifa zaidi baadae kidogo. Picha kwa hisani ya Father Kidevu
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-cwGvojgeDO4/Vm9dzOEu4kI/AAAAAAAAXb8/PmwraiuJQ-Y/s72-c/pic%252Blema.jpg)
GODBLESS LEMA AREJEA BUNGENI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E2KFjjTr4AE/U1c7mpw_u2I/AAAAAAAFcac/CX1-_gB86pI/s72-c/unnamed+(54).jpg)
MWENYEKITI SITTA ASEMA MJADALA UNAENDELEA WAKATI MHE EZEKIEL OLUOCH AREJEA BUNGENI AKITANGAZA HANA KUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-E2KFjjTr4AE/U1c7mpw_u2I/AAAAAAAFcac/CX1-_gB86pI/s1600/unnamed+(54).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA NCHINI RWANDA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-JXqV11zV8PM/VPtdqSh67RI/AAAAAAADboY/lBBgrwWRkow/s1600/j1.jpg)
Wakati akiwa Kigali, miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete ameudhuria mkutano wa tisa wa wakuu wa nchi kujadili...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Maswali kumi kwa Mbunge wangau:Luckson Mwanjale
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgiNbVVVWeE/VNUa9fDuJoI/AAAAAAAHCSI/W3T0qz9Bhm4/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
kutoka bungeni leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgiNbVVVWeE/VNUa9fDuJoI/AAAAAAAHCSI/W3T0qz9Bhm4/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H1im7-5AGJA/VNUa9RcBHII/AAAAAAAHCSM/oflKysT_hko/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ViUCYpdTy28/U4YGk1OV5nI/AAAAAAAFl3M/0zFOObKQ7GQ/s72-c/unnamed+(42).jpg)
BUNGENI DODOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ViUCYpdTy28/U4YGk1OV5nI/AAAAAAAFl3M/0zFOObKQ7GQ/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOWfykfAc-c/U4YGmd2ZqgI/AAAAAAAFl3g/rz4jhN65vw0/s1600/unnamed+(43).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rpz2qVIWzy4/U4TZ5a3rmCI/AAAAAAAFlhU/zMxmkq1itaI/s72-c/aaa.jpg)
KUTOKA BUNGENI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rpz2qVIWzy4/U4TZ5a3rmCI/AAAAAAAFlhU/zMxmkq1itaI/s1600/aaa.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LWJCOtePNWI/U4TZ8O_6EhI/AAAAAAAFlhc/aBoW99hhlTQ/s1600/d.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PxeFjb53qN0/U4TaBWzreVI/AAAAAAAFlhk/Ml9zppfJYcw/s1600/ss.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Moshi Vijijini, Cyrli Chami kwenye viwanja vya...