MBUNGE WA MBEYA VIJIJINI AANGUKA GHAFLA BUNGENI JANA
Mbunge wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya mchana wa jana baada ya kudondoka ghafla ndani ya jengo la Ukumbi wa Bunge.Chanzo cha kuanguka kwake bado hakijafahamika.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZZ.....: Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale aanguka ghafla bungeni leo
10 years ago
VijimamboMBUNGE WA MBEYA VIJINI LUCKSON MWANJALE (REV) AANGUKA GHAFLA BUNGENI
Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake huko bado hakijafahamika na sasa yupo kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.Taarifa zaidi baadae kidogo. Picha kwa hisani ya Father Kidevu
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Mbunge aanguka ghafla bungeni
MBUNGE wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Lackson Mwanjali ameanguka ghafla katika eneo la Bunge, mjini hapa jana. Mbunge huyu, alipatwa na mkasa huo jana majira ya saa sita mchana. Walioshuhudia tukio...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NgTYX_b80jw/VK6S3s2eHqI/AAAAAAAAA1Q/vSwXWPSuaLQ/s72-c/Sugu7.jpg)
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.
Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpeWYBMdbFS7MlGVoWGkP6x05EP*Q0iX6AYmnN9k7b3EwzgjkzBdvJ8HiAzYfp3fYWrxFrrhQ95*2Kj48z8W1Df/hbaba1.jpg)
H BABA AUGUA GHAFLA SIKU YA JANA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Njt6AfN-OyE/VfpjSyaACOI/AAAAAAAH5eU/gF7jwfjUhHo/s72-c/1.%2BMakonga%2BNewala.jpg)
KAMPENI ZA MGOMBEA MWEZA SAMIA MTWARA VIJIJINI JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Njt6AfN-OyE/VfpjSyaACOI/AAAAAAAH5eU/gF7jwfjUhHo/s640/1.%2BMakonga%2BNewala.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-r81cWdxwQgk/VfpjVjJzOeI/AAAAAAAH5e0/PgRKbiWWJOs/s640/2.jpg)
10 years ago
CloudsFM27 Nov
SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB20 Mar
Hotuba Niliyotaka Kuitoa Bungeni Jana
Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma.
Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza tangu nikiwa na umri wa miaka 16 na kupitia chama hiki nimejifunza mambo mengi sana....