Mataifa 12 yakutana Dar kuzindua CIRDA
Meneja wa mradi wa CIRDA kutoka UNDP, Bonizella Biagini akizungumza wakati akitambulisha maofisa waliokuwepo katika uzinduzi wa warsha ya siku tatu ya kimataifa ya ukusanyaji na matumizi ya taarifa ya hali ya hewa kwa nchi 12 duniani. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa mataifa la Mipango ya maendeleo duniani (UNDP) Phillippe Poinsot, Mwakilishi wa Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith Mahenge, Bw. Richard Muyungi.
Na Mwandishi wetu
MATAIFA 11...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/315.jpg)
MATAIFA 12 YAKUTANA DAR KUZINDUA CIRDA
Meneja wa mradi wa CIRDA kutoka UNDP, Bonizella Biagini akizungumza wakati akitambulisha maofisa waliokuwepo katika uzinduzi wa warsha ya siku tatu ya kimataifa ya ukusanyaji na matumizi ya taarifa ya hali ya hewa kwa nchi 12 duniani. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa mataifa la Mipango ya maendeleo duniani (UNDP) Phillippe Poinsot, Mwakilishi wa Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Binilith...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s72-c/unnamed+(59).jpg)
TACAIDS yakutana na wanahabari jijini dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-sZIQ8J-a8YE/U7ZekmfFjSI/AAAAAAAFu2Q/xGd8dy_bn4c/s1600/unnamed+(59).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EmZpOnA2L-8/U7Zek1XD3iI/AAAAAAAFu2c/Wf1kOp4f7gA/s1600/unnamed+(61).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c2Dg7fa7sDg/VmFL7czRybI/AAAAAAAAv6k/1G00cWco2mM/s72-c/DSCF9367.jpg)
HUAWEI TANZANIA YAKUTANA NA WADAU WA HABARI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-c2Dg7fa7sDg/VmFL7czRybI/AAAAAAAAv6k/1G00cWco2mM/s640/DSCF9367.jpg)
Kampuni ya Huawei Tanzania leo hii imewakaribisha waandishi wa habari mbalimbali jijini Dar Es Salaam kupata chai ya asubuhi pamoja na mkutano mfupi kuelezea...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OqD_W6vhe20/Vdccm4-ADlI/AAAAAAAAX_w/6Y2td_zs2jo/s72-c/ppf4.jpg)
PPF YAKUTANA NA WAFANYAKAZI WA NOKIA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-OqD_W6vhe20/Vdccm4-ADlI/AAAAAAAAX_w/6Y2td_zs2jo/s640/ppf4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w-nmWlNej4k/Vdccr1FieSI/AAAAAAAAX_8/gBYXsDvzIYw/s640/ppf15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PhKa0FCK3WQ/Vdcc1uwSrPI/AAAAAAAAYAg/bAgQWZcXKmM/s640/ppf19.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 May
Chadema yakutana Dar kujadili kuongoza Seriklali ya Awamu ya Tano
>Chadema, ambayo imekuwa ikieleza matumaini yao ya vyama vya upinzani kutwaa dola mwaka huu, leo inaanza kikao cha Kamati Kuu, huku moja ya ajenda ikiwa ni kuzungumzia kuongoza Serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba
10 years ago
Michuzi02 Oct
SSRA yakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (kulia) akizunguma wakati wa semina ya wahariri wa vyombo vya habari, iliyofanyika kwenye ukumbi wa Hoteli ya Picolo, Kawe jijini Dar es Salaam. Kushoto ni baadhi ya wahariri hao.
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s72-c/2.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAKUTANA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-aU3gwyV8M6g/VjdsiVH0UMI/AAAAAAAAq4g/CnVBXf5NIGg/s640/2.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM iliyokutana leo, Novemba 02,2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM,Rais Jakaya Mrisho Kikwete imejadili kwa kina mapendekezo ya wana CCM walioomba ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo la Handeni mjini.
Kamati Kuu imetengua mapendekezo ya awali na kuagiza kurejewa kwa mchakato wa kura za maoni kwa wana -CCM wawili...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HxPUz5neVbo/U8U0NwJVLMI/AAAAAAAF2Zs/Y-vCLK_mL48/s72-c/11.jpg)
NSSF yakutana na wachezaji wa timu ya Yanga jijini Dar leo
KLABU ya yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba kwa ajili ya wachezaji wake na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) .
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF, Crescentius Magori amewaambia wachezaji hao kuwa "kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari" huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O4zzn9K04uI/VDKMxwsWQiI/AAAAAAAGoSI/dNn5wFz8Gl4/s72-c/unnamed%2B(74).jpg)
Menejiment ya NBC yakutana na Rais Kikwete Ikulu jijini dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-O4zzn9K04uI/VDKMxwsWQiI/AAAAAAAGoSI/dNn5wFz8Gl4/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qpC6ZTgYHuI/VDKMv8voqTI/AAAAAAAGoR8/wXrnivxdIkc/s1600/unnamed%2B(75).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania