Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATONYA AMVAA JAYDEE, KISA PICHA YA UDHALILISHAJI

Stori: Musa mateja/Risasi
STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake. Staa aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ Akizungumza na mwanahabari wetu, Matonya alisema anamtafuta...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Mjeshi amvaa Jaja, kisa mabao

Mshambuliaji wao, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Omary Mdose
YANGA ina pointi tatu katika Ligi Kuu Bara ambapo keshokutwa Jumapili inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Taifa kukipiga na JKT Ruvu, lakini mshambuliaji wao, Geilson Santana ‘Jaja’ amepewa onyo kali. Jaja ambaye bado hajafunga katika ligi hiyo amekuwa gumzo kutokana  na kufunga mabao mawili mazuri katika mechi dhidi ya Azam katika Ngao ya...

 

11 years ago

GPL

PINDA AMVAA DUDE, KISA KUTOFUNGA NDOA

Stori: Erick Evarist na Sifael Paul Neno la mkubwa! Habari ikufikie kwamba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda anadaiwa kumvaa staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, kisa kikielezwa kuwa alikuwa akimhoji kwa nini hataki kufunga ndoa? Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda akiwa kwenye picha ya pamoja na staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuh Mziwanda Amvaa Idris Sultan, Kisa Shilole!

Picha limeanzia kwenye post ya Instagram ya mshindi wa Big Brother Africa Hotshots, Idris Sultan ambayo aliweka picha ya girlfriend wake Samantha wa Afrika Kusini.

Miongoni mwa watu walio comment kwenye picha hiyo ni pamoja na mmiliki wa ‘moyo’ wa Shishi Baby, Nuh Mziwanda ambaye alimchimba ‘biti’ Idris, akidai kuwa amekuwa akimsumbua mpenzi wake Shilole kwa kumtumia ujumbe ambao hapendezwi nao.

“Nikianza kumsumbua demu wako, kaam unavyomsumbua wangu utafurahi, nimekuvumilia sana bro, sasa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Lady Jaydee kufanya collabo na Nameless?

1172219_160953367603974_1540394864_n

Lady Jaydee yupo jijini Nairobi, Kenya pamoja na meneja wake mpya, Seven Mosha.

1172219_160953367603974_1540394864_n
Lady Jaydee na Seven Mosha

Wawili hao wamekuwa wakionekana pamoja tangu waanze kufanya kazi mwishoni mwa mwaka uliopita.

1170250_1014889388553205_1383993073_n
Nameless na Jaydee

Jaydee aliyekaa kimya kwa muda sasa huku akionesha kuwa kwenye mkakati mkubwa wa kurejea kwa kishindo, ameshare picha akiwa amekumbatiana studio na hitmaker wa ‘Nasinzia’ wakiwa studio hali inayoonesha kuwa huenda wakawa wamerekodi wimbo pamoja.

917473_813546168755731_308558682_n

Jide pia ameshare picha...

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu tetesi za kuachana na Gadner kwa picha ya pete ya ndoa kidoleni

Wanasema picha huongea maneno 1,000. Baada ya kuendelea kwa uvumi kuwa ndoa ya Lady Jaydee na Gadner G Habash imevunjika, muimbaji huyo amepost picha akionesha pete ya ndoa kwenye kidole chake. Kupitia ukurasa wake wa Facebook wa Lady Jaydee ameandika ujumba tofauti na picha lakini mashabiki wake wameelewa kuwa ni ujumbe anaoutoa kufuatia tetesi hizo. […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema Amtusi Shemeji wa Zari, Kisa?! Kuvujisha Picha Mtandaoni!

SEKESEKE:  Inadaiwa kuwa mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ amemporomoshea matusi mazito shemeji wa Zarina Hassan ‘Zari’, King Lauwrance akidai amemuudhi sana kwa kitendo cha kuvujisha picha inayomuonesha akiponda raha nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ na mume wa Zari, Ivan Semwanga.

Kama tunavyojua Wema na staa wa Bongo Fleva, Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ walikwenda Sauz  kufanya Le Project ya Video.

Kwa mujibu wa chanzo  cha GPL kilichokuwa Sauz, baada ya Wema na Ommy kutua nchini humo na ‘project’ ...

 

10 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Awapasha Wanaofuatilia Maisha Yake...Kisa Namkasa? Picha Hizi!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Rose Ndauka ambae ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao ni “followers” wake kwenye mtandao wa Instagram ambao walimshambulia sana kwa maneno baada ya yeye kuweka picha hiyo hapo juu akiwa amekaa na “jamaa” huku amemfunika uso.

Chokochoko

Baadhi ya watu hao walichukulia kwamba huyu jamaa pichani ndio “PROJECT” mpya ya Rose hivyo wakaanza kumshabulia mwananadada Rose kwa maneno kuwa hajatulia na ndiomana aliachika kwa bwana,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Aporomosha Maneno Machafu, Kisa Picha Akiwa Kiwanja Anakula Bata!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Aunt ezekiel amejikuta akitoa maneno makali baada ya mashabiki wake kumshabulia kwa maneno baada ya kuweka mtandaoni picha ikimuonyesha amevalia kinguo ambacho kwa maoni ya mashabiki hao hakistahili kuvaliwa na mwanamke mjamzito na kibaya zaidi alionekana mkononi ameshika shupa ambao wengi waliiona kama niyakilevi.

Aunty Ezekiel alibandika picha hiyo hapo juu hivi juzi kati akiwa na jamaa kwenye ukurasa wake mtandaoni na kuandika maneno “My best...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani