Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjeshi amvaa Jaja, kisa mabao

Mshambuliaji wao, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Omary Mdose
YANGA ina pointi tatu katika Ligi Kuu Bara ambapo keshokutwa Jumapili inatarajiwa kushuka kwenye Uwanja wa Taifa kukipiga na JKT Ruvu, lakini mshambuliaji wao, Geilson Santana ‘Jaja’ amepewa onyo kali. Jaja ambaye bado hajafunga katika ligi hiyo amekuwa gumzo kutokana  na kufunga mabao mawili mazuri katika mechi dhidi ya Azam katika Ngao ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Jaja amvaa Coutinho mazoezini

Mshambuliaji wa Yanga,Genilson Santana Santos ‘Jaja’ Na Goodluck Ngai na Said Ally
WACHEZAJI wa timu ya Yanga, mshambuliaji Genilson Santana Santos ‘Jaja’ na kiungo Andrey Coutinho mwishoni mwa wiki iliyopita walijikuta wakiwa kwenye wakati wa kutoelewana baada ya mmoja kutegea.
Jaja na Coutinho ni wachezaji waliotua kuitumikia Yanga wakitokea nchini Brazil. Katika mazoezi yaliyofanyika kwenye Uwanja...

 

10 years ago

GPL

MATONYA AMVAA JAYDEE, KISA PICHA YA UDHALILISHAJI

Stori: Musa mateja/Risasi
STAA aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ ameibuka na kumvaa mwanadada Judith Wambura ‘Jide au Lady Jaydee’ akidai amemdhalilisha kwa mashabiki wake. Staa aliyewahi kukamata vilivyo kwenye anga ya muziki wa Bongo Fleva, Shabani Ramadhani ‘Matonya’ Akizungumza na mwanahabari wetu, Matonya alisema anamtafuta...

 

11 years ago

GPL

PINDA AMVAA DUDE, KISA KUTOFUNGA NDOA

Stori: Erick Evarist na Sifael Paul Neno la mkubwa! Habari ikufikie kwamba Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda anadaiwa kumvaa staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, kisa kikielezwa kuwa alikuwa akimhoji kwa nini hataki kufunga ndoa? Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Pinda akiwa kwenye picha ya pamoja na staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuh Mziwanda Amvaa Idris Sultan, Kisa Shilole!

Picha limeanzia kwenye post ya Instagram ya mshindi wa Big Brother Africa Hotshots, Idris Sultan ambayo aliweka picha ya girlfriend wake Samantha wa Afrika Kusini.

Miongoni mwa watu walio comment kwenye picha hiyo ni pamoja na mmiliki wa ‘moyo’ wa Shishi Baby, Nuh Mziwanda ambaye alimchimba ‘biti’ Idris, akidai kuwa amekuwa akimsumbua mpenzi wake Shilole kwa kumtumia ujumbe ambao hapendezwi nao.

“Nikianza kumsumbua demu wako, kaam unavyomsumbua wangu utafurahi, nimekuvumilia sana bro, sasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mjeshi awabeba Watanzania Kili Marathon

MTANZANIA Jackline Sakilu jana aliibuka shujaa katika mashindano ya Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2014, baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika mbio za Km 21 kwa upande wa wanawake. Katika...

 

11 years ago

GPL

KASHESHE BARABARANI; TRAFIK WATWANGANA NA 'MJESHI'!

https://pbs.twimg.com/media/BnCDgQECMAEkZup.jpg:large" />
  Askari wa Usalama barabarani (trafik) eneo la Makumbusho, jijini Dar wakimpiga Dereva wa gari ambaye alijitambulisha kama 'mwanajeshi' ! Tukio hili limetokea mida ya saa 9 mchana huu baada ya askari hao 'kupishana Kiswahili', lol!!. (Picha na…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mongela amvaa JK

WAKATI tuzo ya kuuenzi Muungano iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Jaji Joseph Warioba ikiibua maswali, Rais mstaafu wa Bunge la Afrika, Gertrude Mongela, amekosoa upendeleo uliofanywa na Rais Jakaya...

 

10 years ago

Vijimambo

Kinana amvaa Sefue.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amemuomba Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuwasimamisha kazi watumishi wa serikali wanaihusishwa na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa Benki Kuu Tanzania (Bot) hadi hapo tuhuma dhidi yao zitakamalizika.

Kinana alitoa ombi hilo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Dodoma juzi jioni ikiwa ni sehemu...

 

9 years ago

GPL

SHOMBESHOMBE AMVAA DIAMOND

Richard Bukos
Mambo ya uchaguzi! Ama kweli nyota ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ inazidi kung’aa ambapo Ijumaa iliyopita mrembo mwenye asili ya Kiarabu ‘shombeshombe’ aliwazidi kete mabaunsa wa msanii huyo na kumvaa mzimamzima. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au ‘Baba Tiffah’ akivamiwa na mrembo huyo. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani