Matukio katika Picha Nane Nane Lindi
Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florence Turuka kuhusu masuala ya Maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika Mkoani Dodoma, Tarehe 3 Agosti, 2014.
Mratibu Msaidizi wa Tovuti ya TAYOA Bw. John J. Mindu akimweleza Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dr. Florence Turuka kuhusu tovuti ya vijana ya vijanatz. Com inayoelezea masuala ya Biashara, Afya, Ajira kwa vijana ili waweze...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMhe. Membe atembelea BANDA LA NMB LINDI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE
11 years ago
MichuziVETA KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI
10 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU YAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KWA WIZARA ZA HUDUMA ZA JAMII KATIKA MAONESHO YA NANE NANE KITAIFA - LINDI
10 years ago
MichuziNHIF WAIBUKA WASHINDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI
11 years ago
MichuziDkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo
10 years ago
GPLUTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI
10 years ago
Dewji Blog05 Aug
TCRA in Full Participation at Nane-Nane Exhibition, Ngongo ground in Lindi Region
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is taking an acting participation in the On-going Colourful Nane-Nane Exhibitions 2015 at Ngongo ground in Lindi Region.
TCRA Eastern Zone Manager, Mr Deo Moyo shakes hands with the Prime Minister Hon. Mizengo Kayanza Pinda.
Part audience who flock at TCRA Pavilion at Nane-Nane Exhibition in Lindi Region.
The Magereza dancers thrill audience at TCRA Pavilion, Ngongo ground in Lindi Region. (Photos by Courtesy of...
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita
Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...
11 years ago
MichuziPPF YASHIRIKI MAONYESHO YA WAKULIMA NANE NANE LINDI
Mkulima huyu akionyesha furaha wakati akihudumiwa na Mfanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, alipotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya wakulima 88 mkoni Lindi juzi. Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, (Kulia), wakiwasikiliza wananchi hawa waliotembelea banda la Mfuko huo, kwenye maonyesho ya wakulima 88 mkoani Lindi juzi. Afisa wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, (Kushoto), akiwahudumia wananchi waliotembelea banda la Mfuko huo kwenye maonyesho ya wakulima Nane Nane, mkoani Lindi juzi....