Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCRA in Full Participation at Nane-Nane Exhibition, Ngongo ground in Lindi Region

The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is taking an acting participation in the On-going Colourful Nane-Nane Exhibitions 2015 at Ngongo ground in Lindi Region.

SONY DSC

TCRA Eastern Zone Manager, Mr Deo Moyo shakes hands with the Prime Minister Hon. Mizengo Kayanza Pinda.

SONY DSC

Part audience who  flock at TCRA Pavilion at Nane-Nane Exhibition in Lindi Region.

SONY DSC

The Magereza dancers thrill audience at TCRA Pavilion, Ngongo ground in Lindi Region. (Photos by Courtesy of...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

VETA KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NANE NANE VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI

Wafanyakazi na wanafunzi wa Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA kutoka vyuo mbalimbali nchini wapo katika maonesho ya wakulima nane nane yanayofanyika Kitaifa Mkoani Lindi katika viwanja vya maonesho Ngongo kilometya 17 kutoka Lindi mjini. VETA wamesheni vitu mbalimbali na mafunzo kwa wakulima na teknolojia za kisasa. Pia kuna mgahawa wa kisasa upo kibandani kwao na unatoa huduma zote za hoteli kuanzaia chakula na vinywaji vyote. SOURCE: FATHER KIDEVU BLOG Mwanafunzi wa Uashi wa VETA,...

 

11 years ago

Michuzi

Dkt. Shein afungua Maonesho ya Nane Nane Mkoani Lindi leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Maonesho ya kilimo ya nane nane kitaifa mwaka huu katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali wakati alipowasili katika Viwanja vya Ngongo yanapofanyika maonesho ya Kilimo ya nane nane kitaifa Mkoani Lindi. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF WAIBUKA WASHINDI KWENYE MAONYESHO YA NANE NANE MKOANI LINDI

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti NHIF akipokea Kikombe cha Ushindi wa Kwanza kundi la Mifuko ya Jamii Toka kwa Rais Jakaya Kikwete,kushoto na Kulia kwa Rais wakishuhudia tukio hilo Ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi,Mwantumu Mahiza na Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Stephen Wassira katika Ufungaji wa Maonesho hayo katika Viwanja Vya Ngongo LindiMeneja wa Mfuko wa NHIF Mkoa wa Lindi,Fortunata Kullaya(Alieshika kikombe)Kwa Pomoja na Mkurugenzi wa Masoko ,Rehani Athumani (kulia) na Grace Kisinga...

 

10 years ago

GPL

UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI‏

Maafisa Masoko wa UTT-PID, Bi Kilave Atenaka (katikati) na  Bi. Mary Minja (kwanza kulia) wakiongea na mteja aliyefika banda lao lililo chini ya wizara ya Fedha katika Maonyesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayofanyika mkoani Lindi yafikia siku ya sita

01.

Wananchi wote mnakaribishwa kutembela banda la Wizara ya Fedha na taasisi zilizo chini yake ikiwemo UTT AMIS, Mfuko wa Pensheni PPF, GPSA na UTT PID uwanja wa maonesho ya kilimo ya Nane Nane Kitaifa Ngongo mkoani Lindi.

04

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA), Josephat Mwambega akipokea fomu ya kujiunga na Mfumo wa Amana inayotolewa na Mfuko wa Pensheni wa PPF kutoka kwa Afisa Masoko wa Mfuko huo Nelusigwe Mwalugaja wakati alipotembelea banda la Wizara ya Fedha. Wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mhe. Membe atembelea BANDA LA NMB LINDI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akiangalia bidhaa zinazozalishwa na mjasiriamali anayesaidiwa na benki ya NMB kwenye banda la Benki hiyo kwenye Maonesho ya NaneNane mkoani Lindi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe akipata maelezo juu ya  bidhaa zinazozalishwa na mjasiriamali anayesaidiwa na benki ya NMB kwenye banda la Benki hiyo kwenye Maonesho ya NaneNane mkoani Lindi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa...

 

10 years ago

Michuzi

WATEJA WAMIMINIKA BANDA LA NHC NANE NANE, LINDI

image (3)Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akitia saini kwenye kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho la NHC lilikuwapo katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi kulikokuwa kukifanyika maonesho hayo ya Nane Nane kitaifa.image (5)Wateja wakipata maelekezo kutoka kwa maafisa wa mauzo wa Shirika la Nymba la Taifa kwenye maonyesho ya Nane Nane Kitaifa Ngongo, Lindi. image (7)Wateja wakipata maelekezo kutoka kwa maafisa wa mauzo wa Shirika la Nymba la Taifa kwenye maonyesho ya Nane Nane...

 

10 years ago

Michuzi

UTT-PID YASHIRIKI MAONYESHO YA NANE NANE - LINDI

 Muonekano wa viwanja vya Mabano vilivyopimwa na Taasisi ya UTT-PID kwa ushirikiano na Halmashauri vilivyopo Manispaa ya Lindi.
Zaidi ya viwanja 2,500 vilipimwa kwa ajili ya matumizi mbalimbali kama vile Makazi, Biashara, Maeneo ya Umma na sehemu za kupumzika.   Akielezea Afisa Masoko Bi. Kilave Atenaka alisema kuwa kwa sasa wanaendesha huduma ya uuzwaji wa Fomu kwa ajili ya Viwanja, pia wanatarajia kuanza kuuza kwa umaa na taasisi mbali mbali miradi mipya ikiwemo wa Tundwi Songai –...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi wamiminika banda la NHIF Nane Nane Lindi

Ofisa Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Ambrose Manyanda akitoa huduma ya elimu inayohusu Mfuko kwa mdau aliyetembelea banda la Mfuko kwenye maonesho ya Nane Nane Mkoa wa Lindi. Meneja wa NHIF Mkoa wa Lindi Fortunata Raymond akiwakaribisha akina mama kwenye moja ya mabanda ya Mfuko kwa ajili ya kupata huduma ya upimaji wa Saratani huduma inayotolewa na Mfuko kwenye maonesho hayo. Wananchi wakisubiri kupata huduma ya upimaji afya bure katika banda la NHIF ambalo huduma za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani