MATUMLA ALIVYOMCHAKAZA MCHINA
        Bondia Mohamed Matumla akitangazwa kuwa mshindi wa pambano hilo baada ya kumchakaza mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua. Konde la Mchina likimuingia…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Mchina ampania Matumla
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Matumla, Mchina Xin Hua kudundana leo
THERESIA GASPER NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
MABONDIA Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wametambiana vikali, huku kila mmoja akijinadi kuibuka mshindi katika pambano la kuwania mkanda wa dunia WBF wa uzani wa Super Bantam Kg 55-57, litakalofanyika leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
Mabondia hao wametambiana walipokuwa wakipima uzito katika ukumbi wa Maelezo jana, ambapo wote wamekutwa na uzito sawa wa Kg.56.4.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, bondia kutoka China,...
10 years ago
GPLMOHAMMED MATUMLA AMCHAPA MCHINA KWA POINTI
10 years ago
GPLMATUMLA NA MCHINA WAPIMA UZITO WAVAANA KESHO
10 years ago
MichuziBondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...
10 years ago
VijimamboMUDY MATUMLA MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
MichuziMUDDY MATUMLA, MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s72-c/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana
![](http://1.bp.blogspot.com/-jl-_FweVJ0Y/VRaRrRgHzmI/AAAAAAAAq4w/kSMGx1c0mk4/s640/MMGL1834.jpg)
Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam na sasa baada ya kushinda atapata nafasi ya kupanda ulingoni Jijini Las Vegas kwenye pamambano la Mayweather na Pacquiao na bondia atakae pangiwa katika mapamabo ya utangulizi siku hiyo ya May 2.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Bondia wa zamani Francois Botha azungumzia mpambano kati ya Mohamed Matumla na Mchina Wang Xin Hua
![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_SXpdnyaI4/VRJ8KMOxiiI/AAAAAAAHNDo/6uBALhp_SHA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)