MOHAMMED MATUMLA AMCHAPA MCHINA KWA POINTI
Bondia Mohamed Matumla amemchapa mpinzani wake raia wa China, Wang Xin Hua kwa pointi. Matumla ameshinda pambano hilo la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF la raundi 12 uzani wa Bantam lililopigwa katika Ukumbi wa Diamond Jubilee Jijini Dar es Salaam usiku huu.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-FxrWMrAPzgivnrD0QJRsy2lWHGR-8KZR-GjAzc2F7MFiPwqERxg0jsiEdaVb1ELMJbliVZpcvXoAfRiPfGADr*Hzs4hnffo/1.jpg?width=650)
FLOYD MAYWEATHER AMCHAPA MANNY PACQUIAO KWA POINTI
11 years ago
GPLMOHAMED MATUMLA AMGALAGAZA NASSIBU RAMADHANI KWA POINTI,AIBUKA NA PIKIPIKI
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Mchina ampania Matumla
10 years ago
GPLMATUMLA ALIVYOMCHAKAZA MCHINA
10 years ago
GPLMATUMLA NA MCHINA WAPIMA UZITO WAVAANA KESHO
10 years ago
MichuziBondio Mohamed Matumla kuzichapa na Mchina machi 27
Pambano hilo la raundi 12 la uzani wa Bantam limepangwa kufanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa pia na bingwa wa zamani wa dunia wa uzani wa juu, Francois Botha.
Promota wa pambano hilo, Jay Msangi alisema jana kuwa maandalizi yote yamekamilika na pambano litasimamiwa na Shirikisho la ngumi la dunia la WBF ambaye rais wake atawasili...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Matumla, Mchina Xin Hua kudundana leo
THERESIA GASPER NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
MABONDIA Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wametambiana vikali, huku kila mmoja akijinadi kuibuka mshindi katika pambano la kuwania mkanda wa dunia WBF wa uzani wa Super Bantam Kg 55-57, litakalofanyika leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
Mabondia hao wametambiana walipokuwa wakipima uzito katika ukumbi wa Maelezo jana, ambapo wote wamekutwa na uzito sawa wa Kg.56.4.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, bondia kutoka China,...
10 years ago
MichuziMUDDY MATUMLA, MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE
10 years ago
VijimamboMUDY MATUMLA MCHINA KUPAMBANA LEO IJUMAA DIAMOND JUBILEE