MAULID YA KUMPONGEZA BI. ZAHRA MUHIDIN MICHUZI YAFANA SANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-S8TLVCYbL-I/VIWGMz-bciI/AAAAAAAG2AY/IO6lf-Iqpe4/s72-c/MMGM1169.jpg)
Ankal Michuzi akimpongeza Binti yake Zahra wakati wa hafla ya Maulid ya Kumpongeza baada ya kulamba Nondozz yake ya kwanza ya Biashara na Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dodoma hivi karibuni.Hafla hii imefanyika jana Nyumbani kwa Kaka wa Ankal,Tabata Kimanga jijini Dar es salaam.
Baba Mkubwa wa Zahra,Ismail Michuzi akiongoza dua ya kuwakumbuka ndugu waliotangulia mbele ya haki kabla ya shereha ya Maulid ya kumpongeza Binti Zahra alielamba Nondozz yake ya Biashara na Uchumi katika Chuo Kikuu cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboZAHARA MUHIDIN MICHUZI KURA HAZIKUTOSHA DHIDI YA IRENE UWOYA TABORA
Leo hii mchana binti ya mpiga picha wa rais Kikwete katika na blogger maarufu hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa...
11 years ago
Dewji Blog18 Jun
Tumetoka Mbali: Wazo La ‘Mjengwablog’ Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Muhidin Michuzi…!
Ndugu zangu,
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food World, nilimwambia Michuzi niwe nachangia...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ivoOCQoozvU/U6FG7cj-GiI/AAAAAAAFraE/5qAI-EybXxk/s72-c/1.jpg)
Tumetoka Mbali: Wazo La 'Mjengwablog' Lilizaliwa Kwenye Mazungumzo Haya Na Ankal Muhidin Michuzi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ivoOCQoozvU/U6FG7cj-GiI/AAAAAAAFraE/5qAI-EybXxk/s1600/1.jpg)
Ndugu zangu,
Septemba kumi, 2006 nilikutana na ndugu na kaka yangu Muhidin Issa Michuzi pale Food World Restaurant, Maktaba Street, Dar es Salaam.
Kaka Michuzi na mimi tulizungumza kwa kirefu juu ya masuala ya kublogu. Wakati huo blogu ilikuwa ni kitu kipya sana hapa nyumbani. Na hakika hapa nyumbani alianza Muhidin Michuzi kuwa na blogu ya habari na picha. Mimi ni kati ya wachache tuliofuatia kwa hapa nyumbani.
Kwenye mazungumzo yetu pale Food...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Kva8JrL_Fcg/VKktCMriyxI/AAAAAAAG7LE/V-W3zzydryI/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
SHEREHE YA MAULID YA MTUME MUHAMAD (SAW) YAFANA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kva8JrL_Fcg/VKktCMriyxI/AAAAAAAG7LE/V-W3zzydryI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P-N6iFMWHYM/VKktDUJx2GI/AAAAAAAG7Lk/cOarjEZS340/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s72-c/DSCF0335.jpg)
SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s640/DSCF0335.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZIeRSeZNaXo/VmaoY2tmiII/AAAAAAAAwCI/TTPeowYMDg4/s640/DSCF9687.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QYeO8E-iGU0/VmaoXte5d8I/AAAAAAAAwBo/IpXZzeulC00/s640/DSCF0252.jpg)
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
10 years ago
MichuziSEND OFF YA BI. ASNA ALLY MUAZINI YAFANA SANA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dgBk6Xc5ZdM/VF9pA8sWs1I/AAAAAAAGwMA/saK2_x1JC6Q/s72-c/IMG_1903.jpg)
pre-wedding party ya jacqueline yafana sana
![](http://4.bp.blogspot.com/-dgBk6Xc5ZdM/VF9pA8sWs1I/AAAAAAAGwMA/saK2_x1JC6Q/s1600/IMG_1903.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DAnw_NZlh-c/VF9pJR_CzgI/AAAAAAAGwMI/cjzWlK5Q0Bo/s1600/IMG_1906.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Feb
AFTER PARTY YA LADY IN RED YAFANA SANA JIJINI DAR
![DSC_0549](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0549.jpg)
Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania.
Na Andrew Chale HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ usiku wa Jumamosi Februari 22, lilikuwa la aina yake kwa kuvutia watu mbali mbali ndani ya...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10