Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maumivu katika titi (breast pain)

Tatizo hili huwapata zaidi wanawake kuliko wanaume, hujulikana kitaalamu kama mastalgia, takribani theluthi mbili ya wanawake hukumbwa na tatizo hili. Kwa ufafanuzi ni maumivu yenye ukali wa kumfanya mwanamke atafute matibabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FREE CLINICAL BREAST EXAMINATIONS AND BREAST HEALTH AT AGA KHAN HOSPITAL


Aga Khan Hospital, Dar es Salaam will offer free clinical breast examination and breast health education on Saturday, October 11th from 9.00 a.m. to 2:00 p.m.
Early Screening helps detect cancers in people who have no symptoms. This is when it's most treatable.
This Saturday, to mark the Breast Cancer Awareness month, Aga Khan Hospital, will offer free breast exams, free ultrasound screening and health education. 
The forum will also provide current information on breast cancer treatment as...

 

10 years ago

Michuzi

hoja ya haja: Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET later! Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You?

Huo ni msemo wanao waingereza....
Today is your future kwa taarifa yako.. Ulipokuwa mdogo ulisema nikiwa mkubwa nitakuwa na gari na nyumba nzuri wazazi wangu wataishi hivi na vile. Je unayo? Je imetokea? Maybe yes. But maybe no.
Kama haijatokea je bado hujawa mkubwa? Basi kama ni mkubwa ujue kuna kitu hujafanya. Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international skul nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali

Mwanamitindo Maarufu Millen Magese Amepost kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kitandani kwa mara nyingine tena akipata matibabu kuhusu ugonjwa unaomsumbua na kuandika ujumbe huu wa kusikitisha:"
I didn't want to Post any pic this time because Iam exhausted ....but posting this pic today is just to insist ...Endometriosis is real. I truly don't wish to see any young girl/woman go through this pain . It's not just your period pain , it's more than that. May this remind women from all over...

 

11 years ago

Mwananchi

Titi limetoboka, nisaidieni

Ni saa kumi jioni napandisha kilima kurejea mahali ninapoishi nikitokea Hospitali ya wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, kitengo cha akina mama wanaosubiri kujifungua, nafika katika Mtaa wa Chemchem nasikia nikiitwa, nilipogeuka nikakutana na mzee aliyejitambulisha kwa jina la Azidini.

 

9 years ago

GPL

ANYOFOA TITI LA MKEWE, ATAFUNA!

Dustan Shekidele, Moro My God! Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Nigar, mkazi wa Kijiji cha Kinole, Morogoro Vijijini anadaiwa kumcharanga mapanga mkewe, Halima Abdallah (28) na kummyofoa titi kisha kulitafuna na kumgeukia mwanaye Tausi (3) na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1EwRaMm

 

11 years ago

GPL

DALILI ZA KUSAMBAA KWA KANSA YA TITI

Wiki iliyopita tuliendelea kueleza matatizo ya kansa ya matiti, leo tunaelezea dalili za kusambaa kwa saratani hii mwilini.Kitendo cha kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu huitwa metastasis.  Kusambaa kwa saratani hadi kwenye viungo na tishu muhimu kama vile ubongo, ini, mifupa au mapafu  bado kunaufanya ugonjwa huo kuwa hatari. Dalili za saratani kusambaa mwilini ni maumivu ya mifupa, maumivu kwenye...

 

11 years ago

GPL

MASKINI MAMA HUYU, TITI LIMEOZA!

SOFIA Nsoba (45) mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti hali inayomfanya apoteze matumaini ya kuendelea kuishi kutokana na kukosa msaada wa matibabu. Sofia Nsoba mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti. Akisimulia mkasa huo wa...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE ALIPA MILIONI 33 KUONGEZEWA TITI LA TATU

Jasmine Tridevil katika pozi . MWANAMKE aliyejitambulisha kwa jina la Jasmine Tridevil (siyo jina lake halisi) mwenye umri wa miaka 21 amedai kufanyiwa upasuaji na kuongezwa titi la tatu kupitia mahojiano aliyoyafanya redioni. Jasmine ambaye ni raia wa Tampa jijini Florida nchini Marekani anayejishughulisha na utoaji huduma ya massage, alilipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 sawa na milioni 33.4 za Tanzania kufanyiwa...

 

5 years ago

Michuzi

Upasuaji wa Saratani bila kuondoa titi waanza Mloganzila

Wataalam wa upasuaji, radiolojia, patholojia, tiba ya mionzi na dawa wamekutana kwa lengo la kujengeana uwezo ili kuboresha huduma za upasuaji kwa wagonjwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti mapema ili kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa takwimu za Hospitali ya Taifa Muhimbili zinaonyesha kuwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti ni kati ya wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 80.
Hayo yamesemwa na Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani