Maumivu katika titi (breast pain)
Tatizo hili huwapata zaidi wanawake kuliko wanaume, hujulikana kitaalamu kama mastalgia, takribani theluthi mbili ya wanawake hukumbwa na tatizo hili. Kwa ufafanuzi ni maumivu yenye ukali wa kumfanya mwanamke atafute matibabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ggv-BIBQBcE/VDU72lJW9WI/AAAAAAAGos0/UvF7KBEa9Tk/s72-c/image005.png)
FREE CLINICAL BREAST EXAMINATIONS AND BREAST HEALTH AT AGA KHAN HOSPITAL
![](http://4.bp.blogspot.com/-ggv-BIBQBcE/VDU72lJW9WI/AAAAAAAGos0/UvF7KBEa9Tk/s1600/image005.png)
Aga Khan Hospital, Dar es Salaam will offer free clinical breast examination and breast health education on Saturday, October 11th from 9.00 a.m. to 2:00 p.m.
Early Screening helps detect cancers in people who have no symptoms. This is when it's most treatable.
This Saturday, to mark the Breast Cancer Awareness month, Aga Khan Hospital, will offer free breast exams, free ultrasound screening and health education.
The forum will also provide current information on breast cancer treatment as...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eTqiHdGpKVY/VFVLb656l7I/AAAAAAAGu5s/rn9L7wzSsjk/s72-c/45216a6942fff93c7efdb094bea67d7a.jpg)
hoja ya haja: Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET later! Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You?
![](http://4.bp.blogspot.com/-eTqiHdGpKVY/VFVLb656l7I/AAAAAAAGu5s/rn9L7wzSsjk/s1600/45216a6942fff93c7efdb094bea67d7a.jpg)
Today is your future kwa taarifa yako.. Ulipokuwa mdogo ulisema nikiwa mkubwa nitakuwa na gari na nyumba nzuri wazazi wangu wataishi hivi na vile. Je unayo? Je imetokea? Maybe yes. But maybe no.
Kama haijatokea je bado hujawa mkubwa? Basi kama ni mkubwa ujue kuna kitu hujafanya. Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international skul nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z8Ddsi546LU/VMaB4Ee6lMI/AAAAAAAAnMI/SSJ1KYbb_RA/s72-c/yuy.jpg)
Mwanamitindo Millen Magese Alazwa Tena Hospitalini, Atoa Ujumbe Mzito Akiwa Katika Maumivu Makali
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z8Ddsi546LU/VMaB4Ee6lMI/AAAAAAAAnMI/SSJ1KYbb_RA/s640/yuy.jpg)
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Titi limetoboka, nisaidieni
Ni saa kumi jioni napandisha kilima kurejea mahali ninapoishi nikitokea Hospitali ya wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, kitengo cha akina mama wanaosubiri kujifungua, nafika katika Mtaa wa Chemchem nasikia nikiitwa, nilipogeuka nikakutana na mzee aliyejitambulisha kwa jina la Azidini.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CohIeY2FGs197WQ9bP2xw96Pi5UXpIuksi*m-IvGERicFWr3Dm7iJzzyqjuQJkHDDw8Iwrg7ThUv4Sb1au-r6qJr/BACKWIKIENDA.gif?width=650)
ANYOFOA TITI LA MKEWE, ATAFUNA!
Dustan Shekidele, Moro My God! Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Nigar, mkazi wa Kijiji cha Kinole, Morogoro Vijijini anadaiwa kumcharanga mapanga mkewe, Halima Abdallah (28) na kummyofoa titi kisha kulitafuna na kumgeukia mwanaye Tausi (3) na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1EwRaMm
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLfujG8HdXQccp0yWVbgys6yNa*W7zfpiIm81YnEvTOr7aoGoZVOqtzE9wE1nQ*NShrlX3iTVrBt9oNj4Yxxf*u/kansajamani1.jpg?width=650)
DALILI ZA KUSAMBAA KWA KANSA YA TITI
Wiki iliyopita tuliendelea kueleza matatizo ya kansa ya matiti, leo tunaelezea dalili za kusambaa kwa saratani hii mwilini.Kitendo cha kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu huitwa metastasis. Kusambaa kwa saratani hadi kwenye viungo na tishu muhimu kama vile ubongo, ini, mifupa au mapafu bado kunaufanya ugonjwa huo kuwa hatari. Dalili za saratani kusambaa mwilini ni maumivu ya mifupa, maumivu kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuumlNWSaf4joyfOi75gVrhBmtO0gyLXTS1gUVyIp9XeV0UQJtbxqgtroX77*qLFbR8Ej6rdvWkaKV39wuUkpOf0/1.jpg?width=650)
MASKINI MAMA HUYU, TITI LIMEOZA!
SOFIA Nsoba (45) mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti hali inayomfanya apoteze matumaini ya kuendelea kuishi kutokana na kukosa msaada wa matibabu. Sofia Nsoba mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti. Akisimulia mkasa huo wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscYCqGagmsrrONvgTGNjqtrvCOiTMqU6M8ooBbeSlT6yh6LS4di14ySCLa-mZ8uylQoLbhW*0sd3CMEs2-vf6D*h/1titila3.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIPA MILIONI 33 KUONGEZEWA TITI LA TATU
Jasmine Tridevil katika pozi . MWANAMKE aliyejitambulisha kwa jina la Jasmine Tridevil (siyo jina lake halisi) mwenye umri wa miaka 21 amedai kufanyiwa upasuaji na kuongezwa titi la tatu kupitia mahojiano aliyoyafanya redioni. Jasmine ambaye ni raia wa Tampa jijini Florida nchini Marekani anayejishughulisha na utoaji huduma ya massage, alilipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 sawa na milioni 33.4 za Tanzania kufanyiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lCJZTCYCmoI/XlaIclbcdRI/AAAAAAALfjQ/hTkdzsM0q3kZiV-jCjKnJ7HyH9iZDpVSQCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
Upasuaji wa Saratani bila kuondoa titi waanza Mloganzila
Wataalam wa upasuaji, radiolojia, patholojia, tiba ya mionzi na dawa wamekutana kwa lengo la kujengeana uwezo ili kuboresha huduma za upasuaji kwa wagonjwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti mapema ili kupunguza vifo vinavyotokana na ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa takwimu za Hospitali ya Taifa Muhimbili zinaonyesha kuwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti ni kati ya wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 80.
Hayo yamesemwa na Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...
Kwa mujibu wa takwimu za Hospitali ya Taifa Muhimbili zinaonyesha kuwa wanaogunduliwa na saratani ya matiti ni kati ya wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 80.
Hayo yamesemwa na Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania