MWANAMKE ALIPA MILIONI 33 KUONGEZEWA TITI LA TATU
![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscYCqGagmsrrONvgTGNjqtrvCOiTMqU6M8ooBbeSlT6yh6LS4di14ySCLa-mZ8uylQoLbhW*0sd3CMEs2-vf6D*h/1titila3.jpg?width=650)
Jasmine Tridevil katika pozi . MWANAMKE aliyejitambulisha kwa jina la Jasmine Tridevil (siyo jina lake halisi) mwenye umri wa miaka 21 amedai kufanyiwa upasuaji na kuongezwa titi la tatu kupitia mahojiano aliyoyafanya redioni. Jasmine ambaye ni raia wa Tampa jijini Florida nchini Marekani anayejishughulisha na utoaji huduma ya massage, alilipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 sawa na milioni 33.4 za Tanzania kufanyiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAWAMU YA TATU YA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWAJILI YA KUMKOMBOA MWANAMKE WA KITANZANIA YAANZA DAR
Awamu ya Tatu ya Mafunzo ya Ujarisiamali kwa Mkoa wa Dar es salaam yameanza leo. Wanawake 35 wa jiji la Dar es salaam Watanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na mtaalamu wa mambo ya Biashara Bw Felix Maganjila na Shekha Nasser. Mafunzo haya yenye lengo la kumwezesha mwanamke wa Kitanzania kuondokana na tatizo la ukossefu wa ajira kwa kujikita katika kujiajiri...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Wakulima wagawiwa miche milioni tatu ya kahawa
10 years ago
Habarileo26 Oct
China yazipatia nchi tatu dola milioni 85 kukabili ebola
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China imetangaza kuwa, kwa mara ya nne katika kipindi kifupi inapeleka msaada wa dawa, vifaa na mahitaji mengine ya tiba yenye thamani ya dola za Marekani milioni 85 kukabiliana na ugonjwa wa ebola kwa nchi tatu za Afrika Magharibi, ambazo zinapambana na ugonjwa huo, ambao mpaka sasa umeua zaidi ya watu 4,000.
9 years ago
Bongo524 Nov
Millard Ayo awa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni 1 Instagram
![Millard-Ayo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Millard-Ayo-300x194.jpg)
Mtangazaji wa nguvu Millard Ayo kutoka Clouds Fm, amekuwa Mtanzania wa tatu kufikisha followers milioni moja kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram. Hadi leo amefikisha 1,007,912.
Host huyo wa kipindi maarufu cha Amplifaya amekuwa wa tatu kufikisha idadi hiyo baada ya Wema Sepetu, ambaye alifikisha idadi hiyo mwezi huu wa Novemba. Mpaka sasa Wema amefikisha 1,077,859. Mtanzania wa kwanza kufikisha idadi hiyo alikuwa Diamond Platnumz ambaye kwa sasa ana 1,311,940.
Mastaa wengine ambao...
9 years ago
Bongo511 Dec
Album ya Adele ‘25’ yauza zaidi ya nakala milioni 5 wiki ya tatu
![Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Adele-2015-press-Alasdair-McLellan-XL-billboard-650-2-300x194.jpg)
Album ya Adele ‘25’ inaendelea kununuliwa kwa kasi, mpaka sasa imeuza zaidi ya nakala milioni 5 Marekani kwenye wiki ya tatu.
Katika wiki mbili za kwanza ‘25’ iliuza nakala milioni 4.49, na inakadiriwa imeuza nakala 510,000 katika wiki ya tatu ya mauzo hivyo kufanya mauzo ya jumla kufikia zaidi ya milioni 5.
Wataalam wanabashiri kuwa hadi kumalizika kwa wiki ya tatu inaweza kuwa imeuza nakala 650,000 kwa wiki hii.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k0wvR3pzugc/U5st6x30ehI/AAAAAAAFqXc/o49dSPkaf_U/s72-c/Albino+wa+Temeke+wapewa+msaada+na+Times+FM.jpg)
Times Fm yachangia chama cha Albino wilaya ya Temeke shilingi milioni tatu
![](http://2.bp.blogspot.com/-k0wvR3pzugc/U5st6x30ehI/AAAAAAAFqXc/o49dSPkaf_U/s1600/Albino+wa+Temeke+wapewa+msaada+na+Times+FM.jpg)
Katibu wa Kampuni ya Times Fm Radio, Amani Joachim ameukabidhi uongozi wa chama hicho hundi halisi akiwa ameambatana na Aluta Warioba (Meneja Vipindi Msaidizi) na Mzee Chapuo kutoka katika idara ya ubunifu.
Amani Joachim aliwaomba wapokee kiasi hicho kwa kuwa bado Times Fm...
9 years ago
VijimamboMFUKO WA LAPF WATOA SHILINGI MILIONI TATU, KUSAIDIA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Askofu KKAM alipa ushauri Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Titi limetoboka, nisaidieni