Titi limetoboka, nisaidieni
Ni saa kumi jioni napandisha kilima kurejea mahali ninapoishi nikitokea Hospitali ya wilaya ya Kondoa mkoa wa Dodoma, kitengo cha akina mama wanaosubiri kujifungua, nafika katika Mtaa wa Chemchem nasikia nikiitwa, nilipogeuka nikakutana na mzee aliyejitambulisha kwa jina la Azidini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC2C0pPmZLjzNZ3IrseuvQW8KVzTDAeaEWyLMvt8B7GdTC7jpAN2Fl04GMcPb6AZHR*pzA2V4rDnwlPwzA5tdBqZ/PICHAYAKIJANA.jpg?width=650)
WANANCHI NISAIDIENI MWENZENU
Ndugu Peter Mashiku anahitaji msaada wa matibabu ya haraka baada ya kuvimba mkono wa kushoto kwa muda mrefu kutokana na pete alizokuwa amejaa
Ndugu Peter Mashiku mkazi wa Mwatulole mjini hapa anahitaji msaada wa matibabu ya haraka baada ya kuvimba mkono wa kushoto kwa muda mrefu, sasa (kama anavyoonekana pichani) Hali hiyo imesababisha bwana mashiku aishi kwenye mazingira magumu kutokana na familia yake kumtenga baada...
11 years ago
Mwananchi15 May
Nimeteseka miaka 17, Watanzania nisaidieni
Kijana Amos Ng’arare Sasi (21) mkazi wa kijiji cha Kizaru wilayani Musoma Vijijni amepoteza mwelekeo wa maisha baada ya ndoto yake ya kusoma hadi chuo kikuu kuishia njiani kutokana na matatizo ya ugomjwa wa ajabu ambao umemtesa kwa kipindi cha miaka 17.
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Msagati: Nakufa nikijiona, Watanzania nisaidieni
Geofrey Msagati (23), ni Fundi Seremala ambaye ndoto za siku moja kufungua kampuni yake zimezimika na wala hajui hatima ya maisha yake kutokana na maradhi yanayomsibu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaKbPBIekOqTykBdW98cq*yXV7hol7wMo9XPb7q-Gk7RoX8FvGHv00nhFwVLDpa7lM1Tb1ySd0FtdYnP2rF1R93G/Mtoto.jpg?width=640)
MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE
Na Makongoro Oging’ “Nisaidieni mwanangu awe kama watoto wengine,†ni maneno ya mama mzazi wa mtoto Azimina Abdallah (miezi 11), mkazi wa Zanzibar, Unguja anayeishi kwa mateso na maumivu makali kutokana na jicho kuvimba tangu azaliwe. Kwa sasa mama mzazi wa mtoto huyo aitwaye Amina Mbaruku anahangaika naye huku baba yake akidaiwa kutoonekani kwa muda mrefu, hivyo kuchukua uamuzi wa kuiomba jamii imsaidie....
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CohIeY2FGs197WQ9bP2xw96Pi5UXpIuksi*m-IvGERicFWr3Dm7iJzzyqjuQJkHDDw8Iwrg7ThUv4Sb1au-r6qJr/BACKWIKIENDA.gif?width=650)
ANYOFOA TITI LA MKEWE, ATAFUNA!
Dustan Shekidele, Moro My God! Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Nigar, mkazi wa Kijiji cha Kinole, Morogoro Vijijini anadaiwa kumcharanga mapanga mkewe, Halima Abdallah (28) na kummyofoa titi kisha kulitafuna na kumgeukia mwanaye Tausi (3) na kumtenganisha kichwa na kiwiliwili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1EwRaMm
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuumlNWSaf4joyfOi75gVrhBmtO0gyLXTS1gUVyIp9XeV0UQJtbxqgtroX77*qLFbR8Ej6rdvWkaKV39wuUkpOf0/1.jpg?width=650)
MASKINI MAMA HUYU, TITI LIMEOZA!
SOFIA Nsoba (45) mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti hali inayomfanya apoteze matumaini ya kuendelea kuishi kutokana na kukosa msaada wa matibabu. Sofia Nsoba mkazi wa Manzese - Uzuri jijini Dar es Salaam yuko katika mateso mazito kwa mwaka wa nne sasa baada ya kugundulika kuwa ana kansa ya matiti. Akisimulia mkasa huo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLfujG8HdXQccp0yWVbgys6yNa*W7zfpiIm81YnEvTOr7aoGoZVOqtzE9wE1nQ*NShrlX3iTVrBt9oNj4Yxxf*u/kansajamani1.jpg?width=650)
DALILI ZA KUSAMBAA KWA KANSA YA TITI
Wiki iliyopita tuliendelea kueleza matatizo ya kansa ya matiti, leo tunaelezea dalili za kusambaa kwa saratani hii mwilini.Kitendo cha kansa kusambaa mwilini kupitia mkondo wa damu na limfu huitwa metastasis. Kusambaa kwa saratani hadi kwenye viungo na tishu muhimu kama vile ubongo, ini, mifupa au mapafu bado kunaufanya ugonjwa huo kuwa hatari. Dalili za saratani kusambaa mwilini ni maumivu ya mifupa, maumivu kwenye...
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Maumivu katika titi (breast pain)
Tatizo hili huwapata zaidi wanawake kuliko wanaume, hujulikana kitaalamu kama mastalgia, takribani theluthi mbili ya wanawake hukumbwa na tatizo hili. Kwa ufafanuzi ni maumivu yenye ukali wa kumfanya mwanamke atafute matibabu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscYCqGagmsrrONvgTGNjqtrvCOiTMqU6M8ooBbeSlT6yh6LS4di14ySCLa-mZ8uylQoLbhW*0sd3CMEs2-vf6D*h/1titila3.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIPA MILIONI 33 KUONGEZEWA TITI LA TATU
Jasmine Tridevil katika pozi . MWANAMKE aliyejitambulisha kwa jina la Jasmine Tridevil (siyo jina lake halisi) mwenye umri wa miaka 21 amedai kufanyiwa upasuaji na kuongezwa titi la tatu kupitia mahojiano aliyoyafanya redioni. Jasmine ambaye ni raia wa Tampa jijini Florida nchini Marekani anayejishughulisha na utoaji huduma ya massage, alilipa kiasi cha dola za Kimarekani 20,000 sawa na milioni 33.4 za Tanzania kufanyiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania